Ufuatao ni ushuhuda wa Toufik, ambaye alikuwa ni Mwislamu lakini alikutana na injili ya Bwana Yesu na kubadili welekeo ambao hajaujutia; na hata anapoelezea neema hii ya wokovu wa Yesu aliyoipata, machozi yanamtoka. Pia machozi yanamtoka zaidi anapowafikiria ndugu zake Waislamu ambao wanapambana kwa jitihada nyingi wakijaribu kumpendeza Mungu kwa njia ya matendo yao ya kidini. Toufik analia anapotambua kuwa yote hiyo wanayofanya ni kazi bure kwa kuwa hawajagundua ziri ambayo na yeye, miaka mingi iliyopita, alikuwa hakuijua.
Sunday, July 14, 2013
Thursday, July 11, 2013
Kufa kwa Yesu Kristo Maana Yake Nini?
Utakatifu
Mungu ni
mtakatifu. Kutenda dhambi ni kukosa utii kwa Mungu. Mungu anasema kwenye Neno
lake: Basi mtakuwa watakatifu, kwa kuwa mimi ni
Mtakatifu. (Walawi 11:45).
Pia imeandikwa: Bali kama yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, ninyi nanyi
iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote; kwa maana imeandikwa, Mtakuwa
watakatifu kwa kuwa mimi ni mtakatifu (1 Petro
1:15).
Kwa
kifupi, kuwa mtakatifu maana yake ni kutokuwa na dhambi yoyote. Mungu kamwe
hawezi kufumbia macho dhambi hata iwe ni moja. Kamwe! Hafumbii macho hata zile
dhambi ambazo sisi tunaziona ni ndogo sana.
Saturday, July 6, 2013
Je, ni Kweli Quran Haijawahi Kubadilika na Wala Haina Mkono wa Mwanadamu Ndani Yake?
Utangulizi
Rafiki yangu Ibra, amekuwa akinishambulia sana kwa kusema
kuwa Biblia ni kitabu kisichoaminika bali Quran ndiyo inayopaswa kuaminiwa.
Hoja yake kuu, kama ilivyo kwa Waislamu wengine wengi ni kwamba, Biblia
imeingizwa maneno ya kibinadamu kiasi kwamba yale ambayo Mungu aliyateremsha ni
kama hayapo tena leo.
Katika makala haya ninapenda tuangalie swali kwamba:
Je, ni kweli Quran ni kitabu ambacho hakijawahi kubadilika? Je, ujumbe wake
ndio uleule ambao aliteremshiwa Muhammad na Allah? Je, ni kitabu cha kuaminika
kuliko Biblia kama wanavyosema Waislamu?
Friday, July 5, 2013
Je, Biblia Ina Vitabu Vingapi?
Vitabu 73 au 66?
Leo duniani
kuna Biblia yenye vitabu 73 na yenye vitabu 66. Waislamu wamekuwa wakitumia
suala hili kama silaha ya kushambulia Biblia kwamba ni kitabu kisichoaminika,
wala hakiwezi kumfikisha mtu mbinguni.
Kwa mfano,
ndugu yangu Ibra ambaye amekuwa msomaji na mchangiaji mzuri sana wa blog hii
ameniuliza kama ifuatavyo:
James,
naomba majibu kwa maswali yafuatayo:
-Biblia original kabisa iliyoandikwa na roho mtakatifu ina vitabuvingapi?
-Kitabu cha Danieli kina sura 12 au 14?
-Biblia yenye vitabu 73 na ile ya 66 ipi ya kweli? Je! Hapa kuna mkono wa roho mtakatifu au ubinadamu?
Ukweli unabaki palepale kwamba biblia sio kitabu cha kutegemea sana kwa mambo ya mungu. Hapa duniani biblia ninazojua mimi ziko zaidi ya tano. Na zote zimepishana kwa namba ya vitabu vilivyopo.
Sasa hapo mimi nabaki nashangaa, niamini biblia gani kati ya hizi? Ubabaishaji, kweli haimo.
Tafakari. Jihoji. Kweli imo ndani yako! Soma Qur'ani tukufu.
-Biblia original kabisa iliyoandikwa na roho mtakatifu ina vitabuvingapi?
-Kitabu cha Danieli kina sura 12 au 14?
-Biblia yenye vitabu 73 na ile ya 66 ipi ya kweli? Je! Hapa kuna mkono wa roho mtakatifu au ubinadamu?
Ukweli unabaki palepale kwamba biblia sio kitabu cha kutegemea sana kwa mambo ya mungu. Hapa duniani biblia ninazojua mimi ziko zaidi ya tano. Na zote zimepishana kwa namba ya vitabu vilivyopo.
Sasa hapo mimi nabaki nashangaa, niamini biblia gani kati ya hizi? Ubabaishaji, kweli haimo.
Tafakari. Jihoji. Kweli imo ndani yako! Soma Qur'ani tukufu.
Wednesday, June 26, 2013
Swali kwa Waislamu Kuhusu Kupotoshwa kwa Biblia
Je, Biblia ni Kitabu Kilichopotoshwa na Wanadamu?
Waislamu wanashikilia SANA kwamba Biblia imepotoshwa;
na kwamba Quran ndicho kitabu cha kweli chenye ujumbe wa kweli wa Mungu aliye
hai.
Baada ya Yesu kuondoka Duniani, Quran ilikuja miaka
zaidi ya 600 baadaye. Biblia ilishakuwapo kwa maelfu ya miaka kabla ya hapo.
Baada ya Quran kuandikwa, ikasema mengi kuhusiana na
Biblia, yakiwamo machache yafuatayo:
Sunday, June 9, 2013
Akef Tayem, Mwislamu Kutoka Palestina Akutana na Bwana Yesu na Kuokoka – Sehemu ya 3
Mpendwa msomaji na mpenzi
wa blog hii, naamini ulishasoma sehemu ya 1 na ya 2 za ushuhuda huu wa Akef. Hii
ni sehemu ya 3 na ya mwisho inayoonyesha ukuu, upendo na uweza wa Mungu wa
Ibrahimu, Isaka na Yakobo, yaani Yesu Kristo. Karibu usome sehemu hii na Bwana
Yesu akubariki.
Sunday, June 2, 2013
Akef Tayem, Mwislamu Kutoka Palestina Akutana na Bwana Yesu na Kuokoka - Sehemu ya 1
Yafuatayo ni mahojiano kati ya mtangazaji, Sid Roth na
Akef Tayem. Akef Tayem anatokea Palestina. Alikuwa ni Mwislamu lakini sasa
anamwamini Yesu kama Bwana na Mwokozi wake. Pia anawapenda sana Wayahudi ambao
zamani aliwachukia kwa moyo wake wote. Je, nini kilitokea? Hakika Bwana Yesu
anahusika humo! Karibu ukutane na Bwana wa mabwana anayeweza kubadilisha maisha
yako kwa namna ya kushangaza.
Thursday, May 16, 2013
Injili ya Yesu na Muujiza wa Yesu Vyamfanya Nadereh Aachane na Uislamu
Nadereh ni mwanamke
aliyekuwa Mwislamu ambaye aliishi kulingana na sheria na taratibu za dini ya Kiislamu.
Lakini katika maisha yake ya kumtafuta Mungu, alikutana na vikwazo au upungufu
kadhaa. Hatimaye, alijikuta akibadili mwelekeo wake na kupokea wokovu wa Yesu
Kristo. Je, ni nini kilitokea? Ni kwa nini hajutii uamuzi wake huo? Ungana naye
ili uweze kujifunza jinsi Mungu anavyokupenda na kile alichokuandalia kwa ajili
ya maisha haya na yale yajayo.
Monday, May 13, 2013
Kutoka Kwenye Uislamu Hadi Kumkubali Yesu Kristo
Naeem alikuwa ni Mwislamu tangu
utoto wake. Ulifika wakati ambapo alikutana na Yesu Kristo. Matokeo yake,
aliweza kuyajua makusudi ya kuumbwa kwake. Na sasa anamshangilia Mwokozi na
Muumba wake ampendaye, yaani Yesu Kristo. Je, ilikuwaje? Tafadhali soma
ushuhuda wake ufuatao:
Friday, May 3, 2013
Mwanamke wa Kiislamu Kutoka Palestina Aliyetokewa na Bwana Yesu na Sasa Ameokoka
Khalida ni mwanamke
aliyekuwa Mwislamu, lakini baada ya kukutana na Bwana Yesu na kutembelea
mbinguni, kila kitu kilibadilika kwake. Je, ni kitu gani kilitokea maishani
mwake hadi kufikia kupelekwa mbinguni na Bwana Yesu? Tafadhali soma au sikiliza
ushuhuda huu wa kweli wenye nguvu ambao utakuonyesha upendo, uweza, mamlaka na
nguvu za Bwana Yesu, ambavyo vyote viko kwa ajili yako pia. Khalida anafanyiwa
mahojiano na Sid Roth.
Sunday, April 21, 2013
Mamilioni ya Waislamu Afrika Wanamkimbilia Yesu Kristo Isivyo Kawaida
“Tena habari njema ya ufalme itahubiriwa
katika
ulimwengu wote, kuwa ushuhuda kwa mataifa
yote; hapo ndipo ule mwisho
utakapokuja”
(Mathayo 24:14).
Ukisoma kurasa mbalimbali za kwenye mtandao juu ya
kukua kwa dini ya Kiislamu, utakuta wengi wanasema kwamba Uislamu ni dini inayokua
kwa kasi sana. Je, hilo ni kweli? Ni jambo gani linaloonyesha ukweli wa hoja
hiyo?
Lakini tunao ushahidi wa Neno la Kristo kwamba siku za
mwisho (yaani hizi tulizo nao), Injili itahubiriwa ulimwenguni kote. Pia, Mungu
Yehova anaahidi kuwa hizi ni siku za kumwaga Roho wake kwa wanadamu wote.
Hakika hizi ni nyakati za Injili ya Yesu Kristo kusonga mbele na kushinda na
kubomoa kila upinzani na ukuta uliojengwa na adui ili kuwazuia wanadamu kumjua
Mungu wa kweli na Mwokozi pekee, Yesu Kristo.
Je, Mtume Muhammad Yuko Wapi Hivi Leo?
Mungu
hutufunulia mambo mbalimbali kupitia watumishi wake mbalimbali ili kutujulisha
yale yaliyopo na hata yajayo; katika ulimwengu huu na pia ule ujao. Wapo watu
wengi ambao Mungu amewatumia kutufahamisha juu ya mbingu na hata juu ya kuzimu.
Bo Ra Choi
ni mchungaji kutoka Korea ya Kusini. Mchungaji huyu amekuwa akionyeshwa maono
mbalimbali na Mungu kuhusu mambo ya ulimwengu wa roho. Mojawapo ya maono
aliyoonyeshwa yanamhusu Muhammad, mtume wa Uislamu.
Je, Muhammad
yuko wapi hivi leo? Katika video hii, mchungaji Bo Ra Choi anafikisha kwetu
ujumbe kwa namna ambavyo alisikizishwa Muhammad akisema kule aliko sasa.
Kwa maana
nyingine, ananukuu moja kwa moja maneno ya Muhammad ili kwamba iwe ni kama vile
tunamsikia Muhammad akizungumza.
Tafadhali
zikiliza kwa makini video hii, kisha utaupata ujumbe wa Mungu anaouleta kwetu
kupitia mtumishi wake, Mchungaji Bo Ra Choi.
........................
Lakini
anachosema Muhammad humo ni nini hasa?
Kifuatacho ndicho
anachokisema Muhammad humo
kwa kilio kikubwa:
...........................
kwa kilio kikubwa:
...........................
Mnajua mimi ni
naniiiiiii?
Mimi ni Muhammad
Nilitenda dhambi kubwa sana
Nilifanya makosa makubwa
mno
Nilikuwa mjinga
Nimetenda dhambi kubwa sana
Watu wengi sana wamekuwa
wakitumbukia kuzimu kwa sababu yangu.
Nilitenda uhalifu mkubwa
kuliko wote
Nilitenda dhambi kubwa
kuliko zote
Nilitenda makosa
Nilitenda makosa
Yesu, nilifanya makosa.
Nilifanya hivyo kwa sababu
nilikuwa maskini sana.
Nilitaka kuwa kiongozi wa
watu wengi na nilitaka kuwa kama Yesu.
Nilifanya uhalifu mwingi
sana wa kiovu
Niliua watu wengi sana
Msijikusanye pamoja
Mtakufa kama mkikusanyika
kwa ajili yangu, Muhammad.
Tawanyikeni! Msijikusanye
pamoja!
Kama mkijikusanya pamoja,
shetani atawatumia!
Shetani atawatumia zaidi
kama mkikusanyika kwa ajili ya Muhammad.
Bila ya Yesu, wote
wanaishia kuzimu
Kuna joto kali!
Kuna joto kali!
Kuna joto kali!
Nitoe humu!
Nitoe humu!
Hakuna pepo ambayo
mnaifikiria.
Kuna mbinguni na kuzimu tu.
Mafundisho hayo yamesambazwa
kwa uongo.
Uislamu umebadilishwa.
Haiwezekani!
Msipoteze maisha yenu namna
hiyo.
Hakuna pepo ambayo Waislamu
wanaiamini.
Mimi sikuzungumza juu ya
mafundisho hayo ya uongo.
Yamebadilishwa.
Someni Biblia.
Inaonyesha namna ya kwenda
mbinguni.
Hakuna mbingu katika
Uislamu.
Mimi sikuandika theolojia
hizo za uongo.
Mambo hayo yaliandikwa na
watu waliokuwa wakijaribu kuniiga mimi.
Mambo hayo yamekuwa ni
Biblia ya Uislamu ambayo inadhoofisha neno la Yesu.
Haiwezekani!
Sikuyaandika hayo!
Tafadhali, nisikilizeni!
Niko hapa kuzimu.
Niko hapa kwenye moto wa
kuzimu.
Ninateseka kwa adhabu hii
kubwa sana kwa sababu shetani alinitumia.
Msitupe maisha yenu kwa
shetani!
Msiwe watii kwangu mimi,
Muhammad.
Hiyo ni njia ya kwenda
kuzimu.
Shetani atawatumia.
Tokeni humo kwenye Uislamu.
Mimi sikutaka haya.
Nilitaka tu kuwa mtawala wa
taifa.
Lakini mambo yalienda
vingine.
Hiki sicho nitakacho.
Sitaki vita.
Nilianzisha mapigano mengi
ili kuunda taifa langu mwenyewe.
Mnajua ni kwa nini?
Ni kwa sababu nilikuwa
maskini sana nilipokuwa mtoto.
Nilianzisha vita nyingi
sana ili kuunda taifa langu.
Nilitaka tu kuongeza nguvu
zangu ili kushinda vita.
Kwa nini Uislamu
umebadilika hivyo?
Kama kweli mnataka kuwa
watii kwangu,
Tawanyikeni na
msiwasikilize viongozi wenu (wa dini).
Wanawaongoza kuelekea
kwenye njia mbaya sana.
Wanaharibu
maisha ya watu.
…………………………………….
Tafakari
Pima
mambo
Chukua
hatua
Subscribe to:
Posts (Atom)




