Friday, November 3, 2017

Je, ni kweli Ibrahimu alijenga kaabah?




Uislamu (au tuseme Muhammad), anadai kuwa Ibrahimu ndiye aliyejenga Kaabah.

Mtu anapochunguza kwa makini jambo hili, ni vigumu sana kuamini kuwa Uislamu uko sahihi. Badala yake mtu unasukumwa kuwaza kwamba yamkini Muhammad alianzisha hadithi kama hizi ili kujipa uhalali wa kuwa mtume.
 
Hebu tutazame hadithi ifuatayo kisha tutajihoji wenyewe maswali kadhaa: