Friday, May 3, 2013

Mwanamke wa Kiislamu Kutoka Palestina Aliyetokewa na Bwana Yesu na Sasa Ameokoka





Khalida ni mwanamke aliyekuwa Mwislamu, lakini baada ya kukutana na Bwana Yesu na kutembelea mbinguni, kila kitu kilibadilika kwake. Je, ni kitu gani kilitokea maishani mwake hadi kufikia kupelekwa mbinguni na Bwana Yesu? Tafadhali soma au sikiliza ushuhuda huu wa kweli wenye nguvu ambao utakuonyesha upendo, uweza, mamlaka na nguvu za Bwana Yesu, ambavyo vyote viko kwa ajili yako pia. Khalida anafanyiwa mahojiano na Sid Roth.