Monday, May 13, 2013

Kutoka Kwenye Uislamu Hadi Kumkubali Yesu Kristo





Naeem alikuwa ni Mwislamu tangu utoto wake. Ulifika wakati ambapo alikutana na Yesu Kristo. Matokeo yake, aliweza kuyajua makusudi ya kuumbwa kwake. Na sasa anamshangilia Mwokozi na Muumba wake ampendaye, yaani Yesu Kristo. Je, ilikuwaje? Tafadhali soma ushuhuda wake ufuatao: