Thursday, May 16, 2013

Injili ya Yesu na Muujiza wa Yesu Vyamfanya Nadereh Aachane na Uislamu





Nadereh ni mwanamke aliyekuwa Mwislamu ambaye aliishi kulingana na sheria na taratibu za dini ya Kiislamu. Lakini katika maisha yake ya kumtafuta Mungu, alikutana na vikwazo au upungufu kadhaa. Hatimaye, alijikuta akibadili mwelekeo wake na kupokea wokovu wa Yesu Kristo. Je, ni nini kilitokea? Ni kwa nini hajutii uamuzi wake huo? Ungana naye ili uweze kujifunza jinsi Mungu anavyokupenda na kile alichokuandalia kwa ajili ya maisha haya na yale yajayo.

Monday, May 13, 2013

Kutoka Kwenye Uislamu Hadi Kumkubali Yesu Kristo





Naeem alikuwa ni Mwislamu tangu utoto wake. Ulifika wakati ambapo alikutana na Yesu Kristo. Matokeo yake, aliweza kuyajua makusudi ya kuumbwa kwake. Na sasa anamshangilia Mwokozi na Muumba wake ampendaye, yaani Yesu Kristo. Je, ilikuwaje? Tafadhali soma ushuhuda wake ufuatao:

Friday, May 3, 2013

Mwanamke wa Kiislamu Kutoka Palestina Aliyetokewa na Bwana Yesu na Sasa Ameokoka





Khalida ni mwanamke aliyekuwa Mwislamu, lakini baada ya kukutana na Bwana Yesu na kutembelea mbinguni, kila kitu kilibadilika kwake. Je, ni kitu gani kilitokea maishani mwake hadi kufikia kupelekwa mbinguni na Bwana Yesu? Tafadhali soma au sikiliza ushuhuda huu wa kweli wenye nguvu ambao utakuonyesha upendo, uweza, mamlaka na nguvu za Bwana Yesu, ambavyo vyote viko kwa ajili yako pia. Khalida anafanyiwa mahojiano na Sid Roth.