Wednesday, June 26, 2013

Swali kwa Waislamu Kuhusu Kupotoshwa kwa Biblia




Je, Biblia ni Kitabu Kilichopotoshwa na Wanadamu?



Waislamu wanashikilia SANA kwamba Biblia imepotoshwa; na kwamba Quran ndicho kitabu cha kweli chenye ujumbe wa kweli wa Mungu aliye hai.

Baada ya Yesu kuondoka Duniani, Quran ilikuja miaka zaidi ya 600 baadaye. Biblia ilishakuwapo kwa maelfu ya miaka kabla ya hapo.

Baada ya Quran kuandikwa, ikasema mengi kuhusiana na Biblia, yakiwamo machache yafuatayo: