Thursday, October 19, 2017

Biblia haijapotoshwa bali Waislamu ndio wamepotoshwa


Mungu wa Waislamu anasema:

Enyi mlio amini! Muaminini Mwenyezi Mungu, na Mtume wake, na Kitabu alicho kiteremsha juu ya Mtume wake, na Kitabu alicho kiteremsha kabla yake. (Al-Nisa 4:136)

Vilevile anasema:
Na ikiwa unayo shaka katika tuliyo kuteremshia, basi waulize wasomao Kitabu kabla yako. (Yunus 10:94).

Anasema kuwa aliteremsha vitabu kabla ya quran.
Tunajua kuwa anadai kwamba vitabu hivyo ni Taurati, Zaburi na injili.

Tuchukulie kwamba anachosema ni kweli.