Thursday, May 16, 2013

Injili ya Yesu na Muujiza wa Yesu Vyamfanya Nadereh Aachane na Uislamu





Nadereh ni mwanamke aliyekuwa Mwislamu ambaye aliishi kulingana na sheria na taratibu za dini ya Kiislamu. Lakini katika maisha yake ya kumtafuta Mungu, alikutana na vikwazo au upungufu kadhaa. Hatimaye, alijikuta akibadili mwelekeo wake na kupokea wokovu wa Yesu Kristo. Je, ni nini kilitokea? Ni kwa nini hajutii uamuzi wake huo? Ungana naye ili uweze kujifunza jinsi Mungu anavyokupenda na kile alichokuandalia kwa ajili ya maisha haya na yale yajayo.