Sunday, June 2, 2013

Akef Tayem, Mwislamu Kutoka Palestina Akutana na Bwana Yesu na Kuokoka - Sehemu ya 1





Yafuatayo ni mahojiano kati ya mtangazaji, Sid Roth na Akef Tayem. Akef Tayem anatokea Palestina. Alikuwa ni Mwislamu lakini sasa anamwamini Yesu kama Bwana na Mwokozi wake. Pia anawapenda sana Wayahudi ambao zamani aliwachukia kwa moyo wake wote. Je, nini kilitokea? Hakika Bwana Yesu anahusika humo! Karibu ukutane na Bwana wa mabwana anayeweza kubadilisha maisha yako kwa namna ya kushangaza.