FREE E-BOOKS

1. Shuhuda za Waislamu walioijua kweli na kumkimbilia
   Mwokozi Yesu Kristo; na sasa wanafurahia uhakika walio
   nao ya kwamba wao ni wana wa Mungu Aliye Hai; na 
   kwamba HAKIKA wanakwenda Mbinguni. Bofya HAPA.


2. Hivi ni kweli kwamba Qur'an haisemi chochote juu ya
    Uungu wa Yesu Kristo? Mbona wengine tukiangalia humo
    ndani tunakuta kwamba Qur'an inamwonyesha Yesu kuwa
    ni Mungu? Sina haja ya kukwambia. Soma mwenyewe. 
    Bofya HAPA.

6 comments:

  1. Ubarikiwe mtumishi kwa kuweka maarifa.

    ReplyDelete
  2. Barikiwa sana kadiri ya Mwanzo 12

    ReplyDelete
    Replies
    1. Amen. Nawe pia Innocent ubarikiwe na Bwana wetu Yesu Kristo.

      Delete
  3. YESU ANATUMA MALAYKA.
    Quran Inajaribu Kusema Jambo Hapa.
    Angalizo Quran Hatupaswi Kukiamini Kama Wakristo Ila Kinatumiwa Kama Kitabu Cha Rejea.
    Inasema.
    Quran Yenye
    Sura 114
    Juzuu 30
    aya 6,236
    katika Juzuu 17,Suratal Al-Hajj(22:75 Quran)
    inasema "Mwenyezi Mungu Huchagua Mitume Miongoni Mwa Malaika na Miongoni Mwa Binadamu.kwa yakini Mwenyezi Mungu ni Mwenye Kusikia {na} Mwenye Kuona".
    Quran Yasema Mwenyezi Mungu Anachagua Mitume miongoni Mwa Malaika Na Miunguni Mwa binadam.
    SASA TUTAZAME BIBLIA YASEMA NINI?
    YESU ANATUMA MITUME HAPA "28:19-20 MATHAYO"
    BASI ENENDEN MKAWAFANYE MATAIFA YOTE KUWA WANAFUNZI MKIWABATIZA KWA JINA LA BABA NA MWANA NA ROHO MTAKATIFU.
    20.na KUWAFUNDISHA KUYASHIKA YOTE NILIYOWAAMURU NINYI NA TAZAMA,MIMI NIPO NANYI NA TAZAMA, MIMI NIPO PAMOJA NANYI SIKUZOTE, HATA UKAMILIFU WA DAHARI"
    YESU ANATUMA MALAIYKA.
    22:16 Ufunuo.
    Inasema "MIMI YESU NIMEMTUMA MALAIYKA WANGU KUWASHUHUDIA NINYI MAMBO HAYO KATIKA MAKANISA. MIMI NDIMI NILIYE SHINA NA MZAO WA DAUDI ILE NYOTA YENYE KUNG'AA YA ASUBUHI"
    KAMA YESU AMETUMA MITUME PIA MALAIYKA KWANINI WATU WANAPINGA UUNGU WA YESU??.
    WaTafakarii waChukue Hatua!!!

    ReplyDelete
  4. wakristo manaenda motoni, mnamwita yesu mtoto wa mungu.....

    ReplyDelete