Mpendwa msomaji na mpenzi
wa blog hii, naamini ulishasoma sehemu ya 1 na ya 2 za ushuhuda huu wa Akef. Hii
ni sehemu ya 3 na ya mwisho inayoonyesha ukuu, upendo na uweza wa Mungu wa
Ibrahimu, Isaka na Yakobo, yaani Yesu Kristo. Karibu usome sehemu hii na Bwana
Yesu akubariki.
Showing posts with label akef. Show all posts
Showing posts with label akef. Show all posts
Sunday, June 9, 2013
Sunday, June 2, 2013
Akef Tayem, Mwislamu Kutoka Palestina Akutana na Bwana Yesu na Kuokoka - Sehemu ya 1
Yafuatayo ni mahojiano kati ya mtangazaji, Sid Roth na
Akef Tayem. Akef Tayem anatokea Palestina. Alikuwa ni Mwislamu lakini sasa
anamwamini Yesu kama Bwana na Mwokozi wake. Pia anawapenda sana Wayahudi ambao
zamani aliwachukia kwa moyo wake wote. Je, nini kilitokea? Hakika Bwana Yesu
anahusika humo! Karibu ukutane na Bwana wa mabwana anayeweza kubadilisha maisha
yako kwa namna ya kushangaza.
Subscribe to:
Posts (Atom)