Friday, October 13, 2017

Kwa nini tunasema ISIS ni Waislamu swafi?


Ndugu zetu husema kwa msisitizo kabisa kwamba Muhammad ndio kipimo chao cha ucha Mungu wao.
Kwa hiyo, kila mwislamu angependa kufikia ngazi ya mtume wao, Muhammad kwa:
-       kusema aliyosema
-       kufanya aliyofanya
-       kuwaza aliyowaza
maana hayo si ndiyo mema?