Friday, January 11, 2013

Je, Muhammad Ametabiriwa Kwenye Biblia? – Sehemu ya II




Katika makala yaliyopita tuliona hoja za ndugu wa Kiislamu wanavyojaribu kwa juhudi nyingi kuonyesha kwamba Muhammad ametabiriwa kwenye Biblia.

Katika makala hayo niliahidi kuwa nitaeleza jinsi ambavyo hoja zao hazina ukweli wowote. Licha ya kwamba Mungu wanayemwamini amewahakikishia kwamba Muhammad ametajwa kwenye Biblia, ukweli ni kwamba hajatajwa hata kidogo!

Katika sehemu ya kwanza ya mfululizo huu, nilimalizia kwa kunukuu kile ambacho Yehova, Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo,  anasema juu ya Neno lake. Hebu tuangalie tena baadhi ya maneno hayo. Imeandikwa:

Lakini sisi hatukuipokea roho ya dunia, bali Roho atokaye kwa Mungu, makusudi tupate kuyajua tuliyokirimiwa na Mungu. Nayo twayanena, si kwa maneno yanayofundishwa kwa hekima ya kibinadamu, bali yanayofundishwa na Roho, tukiyafasiri mambo ya rohoni kwa maneno ya rohoni.

Basi mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya Roho wa Mungu; maana kwake huyo ni upuzi, wala hawezi kuyafahamu, kwa kuwa yatambulikana kwa jinsi ya rohoni. Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu. (1 Wakorintho 2:12-15).

Tatizo mojawapo kubwa ninaloliona mara nyingi kwenye Uislamu na Waislamu ni kutazama mambo kwa jinsi ya mwili. Hapo ndipo penye shida kubwa yanapokuja masuala ya rohoni.

Kama uko kwenye safari ya kimaisha katika ulimwengu wa kimwili na unalenga kuishia kwenye ulimwengu wa kiroho (jambo ambalo ndilo linaloendelea kwa wanadamu wote), basi ni lazima utafute maana ya mambo ya ulimwengu wa mwilini kulingana na ulimwengu wa rohoni. Ukiishia tu kutazama mambo katika mwili, una hasara kubwa!!

Ni lazima kutambua kuwa Mungu hatupi ujumbe wake ili tuweze kuwa matajiri, maarufu na wenye vyeo wa hapa duniani. Kama hayo ndiyo malengo yako makuu katika maisha haya, basi wewe una hasara kuliko watu wote. Hayo si mambo ya msingi. Mungu ametuweka duniani kwa makusudi makubwa zaidi ya hayo. Yeye analenga mambo yadumuyo; si mambo ya kupita. Hivyo, kiini hasa cha ujumbe wa Mungu wa kweli ni maisha ya milele yajayo kwenye ulimwengu wa roho.

Sasa, kwa kuwa ndugu zangu hawa, wao wako zaidi katika mambo ya hapa duniani, ya kimwili, haishangazi basi kumwona Ahmed Deedat na wenzake wakiishia kuangalia tabia za kimwili za Musa na kuzilinganisha na tabia za kimwili za Muhammad na kusema kwamba eti, huo ndio uthibitisho kwamba maandiko ya Biblia wanayonukuu yanamzungumzia Muhammad.

Inasikitisha sana kuwa na juhudi kubwa hivyo ambayo mwisho wake ni uangamivu. Na inasikitisha zaidi kwa sababu uko msururu mrefu nyuma yao wa watu wanaowaamini akina Deedat.

Hata hivyo, nina uhakika kabisa kwamba nia yao ya ndani kabisa ni nzuri sana. Ni watu waliojitoa kwa moyo mkuu sana kwa Mungu wao na kwa dini yao. Suala tu linabaki kwamba, Je, wako sahihi?

Lakini mara zote unapowaangalia ndugu hawa wanavyojitahidi katika kuhalalisha Uislamu, tena kupitia Biblia, kwa kweli unawahurumia. Wanahangaika kwa kweli. Kisaikolojia, ni dalili za mtu ambaye nafsi inamsuta usiku na mchana juu ya jambo ambalo nafsi hiyo hailikubali, lakini anajaribu kila njia kuituliza kwa kufunika hali halisi, ili angalau apate amani fulani ya ndani.

Naamini umeshaona mtu ambaye amepatwa na jambo zito, kwa mfano kufiwa na mtu wake wa karibu. Kwa sababu nafsi inakataa kukubali ukweli huo, basi ataanza kuongea mambo mengi. Kwa mfano, anaweza kusema, “Haiwezekani! Musa, tulikuwa naye jana tu. Musa mbona alikuwa mtu mzuri tu? Kwa nini afe? Hii si sawa. Hapana. Musa yupo. Hizi ni njama tu za watu!” n.k, n.k.

Mtu huyu atahangaika huku nafsi yake ikitamani sana kwamba lile lililotokea lisiwe kweli, bali liwe kama asemavyo yeye. Lakini mwisho wake ni nini? Itambidi akubali tu.

Hicho ndicho ninachokitafsiri kwa hawa ndugu ambao wanajaribu kwa juhudi kubwa kutafuta kumhalalisha Mtume wao kupitia Biblia. Lakini haitawezekana! Ukiikataa kweli, jitihada zozote za kujaribu kuhalalisha uongo, haziwezi kuzaa matunda unayotarajia; hata kama nia yako ni nzuri. Nia nzuri haigeuzi uongo kuwa kweli hata siku moja!

Na ni jambo la kushangaza sana kwamba Mungu wao amewaambia kuwa Mtume huyo ametajwa kwenye Biblia, jambo ambalo si kweli kabisa! Hili peke yake linatosha kumfanya kila Mwislamu aliye na nia ya kuwa na uzima wa milele kujiuliza mara mbilimbili. Shida tu ni kwamba, wamefundishwa kuogopa kuliko kuuliza na kuhoji mambo.

Quran inasema kuwa Allah atawarehemu watu mbalimbali, lakini wakiwamo:

...those that shall follow the Apostle – the Unlettered Prophet – whom they shall find mentioned in the Torat and the Gospel. (Sura 7:157).

Kwa tafsiri ya jumla ni kuwa anasema, atawarehemu pia wale (Wakristo) wanaomfuata Mtume (Muhammad) ambaye ametajwa kwenye Torati na Injili (Biblia). Ndiyo! Hivyo ndivyo anavyosema.

Labda kama watasema kuwa andiko hilo limeongezwa na watu – jambo ambalo hawawezi  kulisema maana ni wepesi sana kung’ang’ania kwamba Biblia imebadilishwa na kupotoshwa, lakini si Quran.

Kutokana na andiko hili, Waislamu wamejitahidi kwelikweli kutafuta ni wapi humo kwenye Torati na Injili ambako Muhammad ametajwa kama Allah alivyowaambia.

Ndio sasa juhudi na bidii yao ikaangukia kwenye maandiko kadhaa yakiwamo Kumbukumbu 18:18 na Isaya 29:12. Kwa hiyo wametoa hoja nyingi (ambazo kama nilivyosema, ni za kimwili tu) ili kujaribu kutimiza hamu yao ya kuona kwamba kile ambacho Mungu wao amewaambia, ni kweli kipo kwenye Biblia. [Waislamu amkeni; tafakarini; mhoji yale mnayoamini].

Kama hujasoma hoja zao hizo, tafadhali tazama kwenye sehemu ya kwanza ya makala haya.

Nini kinazifanya hoja hizi za Waislamu zikose mantiki?

Hata Waswahili husema: Siri ya mtungi aijuaye kata. Yehova, ambaye ndiye mwenye Biblia, tumeona kuwa anasema katika Wakorintho ya kwamba twayanena maneno: yanayofundishwa na Roho, tukiyafasiri mambo ya rohoni kwa maneno ya rohoni.

Yule mwenye Neno kaweka msimamo juu ya Neno lake mwenyewe – kwamba ukitaka kumwelewa anachomaanisha, ni lazima ufasiri Neno lake kwa namna ya rohoni. Itakuwa ni ajabu kama wewe usiye mhusika uje na sheria zako kwa ajili ya kuendesha mambo ya nyumbani kwa mwingine ambazo mwenye nyumba hakuzipanga. Kisha unataka watu wengine wasimwamini mwenye nyumba, bali wakuamini wewe!

Dunia hii inapita. Siku zijazo dunia hii pamoja na vitu yote tunavyoviona kwenye anga havitakuwapo kabisa. Kutakuwapo, badala yake, ulimwengu mpya utakaodumu milele.

Mungu katika kujishughulisha kwake na mwanadamu, analenga kwenye mambo ya MILELE. Haya mambo ya ugali na nguo na wake na waume, n.k. ni mambo tu ya hapa duniani ambayo yanatuwezesha kuishi tu hapa ili tufikie ile hatima kuu – yaani kuishi MILELE!

Mambo yote anayoongea Mungu kwenye Biblia yanalenga maisha hayo yajayo ya milele. Hii ni kusema kuwa, yanalenga kwenye ulimwengu ujao wa roho; si ulimwengu huu wa mwili.

Mungu anatumia maisha yetu ya kimwili ili kutengeneza au kuandaa maisha yetu ya kiroho yajayo. Pia, ametumia maisha ya kimwili ya taifa na watu wa Israeli kuelezea ujumbe wa mambo ya rohoni. Biblia si kitabu cha historia juu ya taifa la Israeli. Biblia ni kitabu chenye ujumbe wa rohoni wa sasa na baadaye ambao unawasilishwa kupitia maisha ya kimwili ya taifa la Israeli.

Kwa hiyo, kama utasoma Biblia na ukaishia kuona tu kwamba:

  • Kulikuwa na mwanadamu anaitwa farao.
  • Kulikuwa na watu wanaitwa Waisraeli. Hawa walikuwa utumwani Misri baadaye wakatoka kwenda Israeli.
  • Wayahudi walipita jangwani na baadhi wakafia humo.
  • Musa alikuwa na mke.
  • Aliishi Nuhu akajenga safina. Watu wengi walikufa kwa gharika.
  • Yesu alivua viatu kila alipoingia kwenye sinagogi.
  • Wayahudi waliwatahiri watoto wao.
  • Mtu akikamatwa kwenye uzinzi alipigwa mawe hadi kufa.
  • Wayahudi walinawa mikono kabla ya kula.
  • Wayahudi walifuga ndevu.
  • Musa alikufa kama wanadamu wengine, n.k., n.k.

Kama haya ndiyo tu unayoyaona, wewe hauna tofauti na mwanafunzi wa shule ya msingi au sekondari anayesoma somo la Historia ya mambo yaliyotokea zamani. Hapo hujajua kamwe kwamba Mungu si mwalimu au mwandishi wa historia. Kufunza Historia si jambo ambalo Mungu anajishughulisha nalo hata kidogo. Hata kidogo!!

Ndugu zangu Waislamu, Mungu yuko kwenye kazi inayoamua UZIMA na MAUTI kwa wanadamu. Ujumbe wa Mungu unahusiana na wapi kila mwanadamu atakuwa MILELE! Je, ni mbinguni milele; au ni jehanamu milele?

Ni lazima uvuke ngazi ya kimwili ya kutazama mambo, uingie kwenye ngazi ya rohoni. Hapo TU ndipo utaanza kuzungumza mambo ya Mungu ambaye ni Roho; na si damu na nyama kama sisi wanadamu. Ni muhimu sana kutafuta ujumbe wa milele ndani ya ujumbe wa kupita.

Hebu tusome tena andiko hilo la Biblia wanalotumia Waislamu kumhalalisha mtume wao:

Mimi nitawaondokeshea nabii miongoni mwa ndugu zao mfano wako wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia yote nitakayomwamuru. (Kumbukumbu 18:18).

Tutaangalia andiko hili hatua kwa hatua na jinsi ambavyo kamwe halimhusu Muhammad.

  1. Maneno ‘miongoni mwa ndugu zao’
Yehova alimwambia Musa kuwa atawaletea Israeli nabii ambaye angetokea miongoni mwa ndugu zao.

Ni wazi kabisa kwamba katika andiko hili, Mungu wa Israeli  anamlenga nabii mmoja tu, licha ya kwamba Israeli kumekuwako na manabii wengi. Kwa hiyo, ili lisimhusu kila nabii basi nabii huyo ni lazima awe tofauti na manabii wengine kwa jinsi atakavyokuwa anafanana na Musa. Na Ahmed Deedat na Waislamu wenzake wanasema kuwa nabii huyo ni Muhammad kulingana na sababu ambazo tuliziona kwenye sehemu ya kwanza ya makala haya.

Hebu tuanze kwa kuweka msingi. Mungu aliweka amri inayohusu watawala wa Israeli. Amri hiyo inasema kwamba: Utakapokwisha kuingia katika nchi akupayo Bwana, Mungu wako ukaimiliki, na kukaa humo; nawe utakaposema, Nitaweka mfalme juu yangu mfano wa mataifa yote yaliyo kando-kando yangu; usiache kumweka yule atakayechaguliwa na Bwana, Mungu wako, awe mfalme juu yako; umweke mmoja katika ndugu zako awe mfalme juu yako; usimtawaze mgeni juu yako, ambaye si ndugu yako. (Kumbukumbu 17:14-15).

Ahmed Deedat anadai kwamba maneno ndugu zao kwenye Kumbukumbu 18:18 yanamaanisha uzao wa Ishmaeli (yaani Waarabu). Katika karne na karne za watawala wa Israeli,  je, ni lini alishawahi kuwako mfalme wa Israeli aliye Mwishmaeli (Mwarabu)? Jibu ni HAIJAWAHI KUTOKEA!

Andiko hili tu peke yake linatosha kabisa kumwondolea mbali Muhammad katika uhusiano na Kumb. 18:18. Lakini hata hivyo, ngoja tuendelee.

Hebu tazama maandiko yafuatayo:

  • Lakini Benyamini hawakukubali kuisikia sauti ya ndugu zao wana wa Israeli. (Waamuzi 20:13)
  • Kisha itakuwa, hapo baba zao au ndugu zao, watakapokuja kushitaki, sisi tutawaambia, Kwa ihisani yenu tupeni sisi; kwa kuwa hatukumtwalia kila mtu mkewe katika vita; wala ninyi hamkuwapa wao, au kama sivyo ninyi sasa mngekuwa na hatia. (Waamuzi 21:22)
  • Basi itakuwa hata lini usijewaamuru watu warudi na kuacha kuwafuatia ndugu zao? (2 Samweli 2:26)
  • Ndipo kukatokea kilio kikuu cha watu, na wake zao, juu ya ndugu zao Wayahudi. (Nehemia 5:1)
  • lakini watatumika pamoja na ndugu zao katika hema ya kukutania, kushika ulinzi, lakini wasitumike katika huo utumishi tena. (Hesabu 8:26).
  • Na wazao wako utakaozaa baada ya hawa watakuwa wako; kwa jina la ndugu zao wataitwa katika urithi wao. (Mwanzo 48:6).
  • lakini hiyo nusu ya pili Yoshua aliwapa urithi kati ya ndugu zao, ng'ambo ya Yordani upande wa kuelekea magharibi. (Yoshua 22:7).

Maandiko haya yanataja maneno ‘ndugu zao.’ Lakini yote yanamaanisha Waisraeli na si Waarabu. Ninachotaka kuonyesha hapa ni kwamba, maneno ‘ndugu zao’ yametumika mara nyingi sana katika Biblia. Pamoja na kwamba kuna sehemu chache ambako yametumika kumaanisha wana wa Ishmaeli, lakini kwa ujumla yanamaanisha Waisraeli wenyewe.

Na uzuri ni kwamba, katika Kumbukumbu 18 hiyohiyo ambayo Waislamu wanainukuu, maneno hayo yametumika. Mungu anaeleza kuhusu kabila la Walawi kwamba watakuwa ni makuhani. Anasema: Wala wasiwe na urithi kati ya ndugu zao; Bwana ndiye urithi wao, kama alivyowaambia. (Kumb. 18:2). Je, hapa nako akina Ahmed Deedat wanataka kutuambia kuwa hawakutakiwa kuwa na urithi kati ya Waarabu?

Kwa kifupi ni kuwa nabii yule alitabiriwa kuwa angetoka kwenye mojawapo ya makabila ya Israeli na si nje ya hapo. Yesu Kristo alitoka kwenye kabila la Yuda.

  1. Maneno ‘mfano wako wewe’
Ni kwa vipi Yesu Kristo ni mfano wa Musa? Kama nilivyosema, Mungu analeta ujumbe wa kiroho na wala si wa kimwili katika Biblia. Ufuatao ni baadhi tu ya ulinganisho kati ya Musa na Yesu:

  • Musa aliacha maisha ya kitajiri na kifalme nyumbani kwa farao na kwenda kuishi pamoja na ndugu zake Waisraeli waliokuwa maskini na watumwa. Imeandikwa:

Kwa imani Musa alipokuwa mtu mzima, akakataa kuitwa mwana wa binti Farao; akaona ni afadhali kupata mateso pamoja na watu wa Mungu kuliko kujifurahisha katika dhambi kwa kitambo; akihesabu ya kuwa kushutumiwa kwake Kristo ni utajiri mkuu kuliko hazina za Misri; kwa kuwa aliyatazamia hayo malipo. (Waebrania 11:24-26).

Yesu naye aliacha utukufu mkuu mbinguni. Imeandikwa:

Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu; ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho; bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu; tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba. (Wafilipi 2:5-8).

  • Musa alitumwa na Mungu kwenda kuwatoa Israeli kwenye nchi ya utumwa wa farao na watesi wake ili kuwapeleka kwenye nchi ya ahadi. Yesu alitumwa na Mungu kuja kuwatoa wanadamu kwenye utumwa wa ibilisi (farao wa kiroho) ili kuwaingiza kwenye mbingu.

  • Musa alikuwa ni mpatanishi kati ya wana wa Israeli na Mungu pale walipotenda dhambi. Maombi yake ndiyo yaliyoepusha mapigo kutoka kwa Mungu. Yesu ndiye mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu. Yeye huwaombea wale wanaomwamini ili hatimaye wasije kuingia jehanamu ya moto.

  • Musa aliwakomboa wana wa Israeli kutoka kwenye utumwa wa Misri kupitia sadaka ya damu. Waisraeli waliambiwa wachinje mwanakondoo wa Pasaka na kupaka damu yake kwenye miimo ya milango ya nyumba zao. Kisha Biblia inasema:
 
Na ile damu itakuwa ishara kwenu katika zile nyumba mtakazokuwamo; nami nitakapoiona ile damu, nitapita juu yenu, lisiwapate pigo lo lote likawaharibu, nitakapoipiga nchi ya Misri. Kwa kuwa Bwana atapita ili awapige hao Wamisri; na hapo atakapoiona hiyo damu katika kizingiti cha juu, na katika ile miimo miwili, Bwana atapita juu ya mlango, wala hatamwacha mwenye kuharibu aingie nyumbani mwenu kuwapiga ninyi. (Kutoka 12:13, 23)

Bwana Yesu naye aliwakomboa wanadamu wote kutoka kwenye utumwa wa shetani kupitia sadaka ya damu. Biblia inasema:

Lakini Kristo akiisha kuja, aliye kuhani mkuu wa mambo mema yatakayokuwapo, kwa hema iliyo kubwa na kamilifu zaidi, isiyofanyika kwa mikono, maana yake, isiyo ya ulimwengu huu, wala si kwa damu ya mbuzi na ndama, bali kwa damu yake mwenyewe aliingia mara moja tu katika Patakatifu, akiisha kupata ukombozi wa milele. (Waebrania 9:11-12).


  • Musa aliwaagiza Waisraeli waokote mana iliyodondoka jangwani kila siku ili wapate kula na kuishi jangwani. Imeandikwa:
Basi wakaokota asubuhi baada ya asubuhi, kila mtu kama ulaji wake ulivyokuwa … (Kutoka 16:21).

Kwa kuwa hayo yalikuwa ni ishara ya mambo yajayo, alipokuja Bwana wa uzima mwenyewe, Yesu Kristo, akawa ameleta kile halisi ambacho kilikuwa kinasubiriwa. Imeandikwa: Baba zetu waliila mana jangwani kama vile ilivyoandikwa, Aliwapa chakula cha mbinguni ili wale. Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambieni, Siye Musa aliyewapa chakula kile cha mbinguni, bali Baba yangu anawapa ninyi chakula cha kweli kitokacho mbinguni. Kwa maana chakula cha Mungu ni kile kishukacho kutoka mbinguni na kuupa ulimwengu uzima. (Yohana 6:31-33).

  • Watu waliumwa na nyoka jangwani. Mungu akamwambia Musa atengeneze nyoka wa shaba. Amwinue juu ili mtu aliyeumwa na nyoka akitaka kupona, ainue macho yake na kumtazama yule nyoka wa shaba. Waliofanya hivyo walipona. Walioshindwa kufanya hivyo walikufa. Imeandikwa:

Musa akafanya nyoka ya shaba, akaiweka juu ya mti, hata ikiwa nyoka amemwuma mtu, alipoitazama ile nyoka ya shaba, akaishi. (Hesabu 21:9).

Yesu alipokuja naye kafanya yaleyale. Nyoka ni ishara ya ibilisi na mashetani wote. Kuumwa na nyoka ni ishara ya kuwa na dhambi. Kila mwenye dhambi anatakiwa kumtazama Yesu kwa imani, naye atapona mauti – yaani kutupwa jehanamu ya moto. Anayekataa kumtazama Yesu anakuwa amechagua kufa! Imeandikwa:

Na kama vile Musa alivyomwinua yule nyoka jangwani, vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa; ili kila mtu aaminiye awe na uzima wa milele katika yeye. (Yohana 3:14-15)


  • Musa alikataliwa na watu wake. Walimwambia: Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu wetu, na mwamuzi juu yetu? Je! Wataka kuniua mimi kama ulivyomwua yule Mmisri? Musa akaogopa, akasema, Kumbe! Jambo lile limejulikana. (Kutoka 2:14).

Kisha aliondoka na kwenda nchi ya Midiani. Huko alioa mke ambaye hakuwa Mwisraeli. (Tazama: Kut. 2:16-21). Lakini baada ya hapo alirudi tena Misri na kuwatoa Israeli utumwani.

Yesu naye alikataliwa na watu wake. Imeandikwa: Alikuja kwake, wala walio wake hawakumpokea. (Yohana 1:11). Ni jambo lililo wazi kuwa hadi sasa Wayahudi hawamtambui Yesu kama Masihi wao. Lakini kama ilivyokuwa kwa Musa, Bwana Yesu akatoka kwa hao walio wake akaja kwa Mataifa, yaani watu wengine wote wasio Wayahudi. Huko amejipatia na anaendelea kujipatia ‘bibi harusi’ – maana Kanisa la Yesu, kwa ujumla wake, linaitwa ni bibi harusi wa Bwana Yesu (Tazama 2 Wakorintho 11:2). Na tena imeandikwa: Nitawaita watu wangu wale wasiokuwa watu wangu, Na mpenzi wangu yeye asiyekuwa mpenzi wangu. (Warumi 9:25).

Lakini kabla ya kuingia Kanaani (yaani dunia kufika mwisho), Bwana Yesu, kama Musa, atamrudia Israeli. Imeandikwa: Kwa maana, ndugu zangu, sipendi msiijue siri hii, ili msijione kuwa wenye akili; ya kwamba kwa sehemu ugumu umewapata Israeli, mpaka utimilifu wa Mataifa uwasili. Hivyo Israeli wote wataokoka; kama ilivyoandikwa, Mwokozi atakuja kutoka Sayuni; Atamtenga Yakobo na maasia yake. (Warumi 11:25-26).


  • Musa aliteua watu kumi na mbili akawatuma Kanaani. Imeandikwa: Neno hili likanipendeza sana; nikatwaa watu kumi na wawili, mtu mmoja wa kila kabila. (Kumbukumbu 1:23). Bwana Yesu naye aliteua mitume kumi na mbili akawatuma. Imeandikwa: Akaweka watu kumi na wawili, wapate kuwa pamoja naye, na kwamba awatume kuhubiri. (Marko 3:14).

  • Musa aliteua watu sabini kwa ajili ya kusimama mbele za Bwana. Imeandikwa:  Kisha Bwana akamwambia Musa, Nikusanyie watu sabini, miongoni mwa wazee wa israeli, ambao wewe wawajua kuwa ndio wazee wa watu hawa, na maakida juu yao; ukawalete hata hema ya kukutania, wasimame huko pamoja nawe. (Hesabu 11:16). Bwana Yesu naye alifanya vivyo hivyo. Imeandikwa: Basi, baada ya hayo Bwana aliweka na wengine, sabini, akawatuma wawili wawili wamtangulie kwenda kila mji na kila mahali alipokusudia kwenda mwenyewe. (Luka 10:1).

  • Musa alikuwa kuhani. Imeandikwa:  Musa na Haruni miongoni mwa makuhani wake, Na Samweli miongoni mwao waliitiao jina lake, Walipomwita Bwana aliwaitikia (Zaburi 99:6). Bwana Yesu naye ni kuhani. Imeandikwa kumhusu Yeye kwamba: bali yeye, kwa kuwa akaa milele, anao ukuhani wake usioondoka. (Waebrania 7:24).

  • Musa aliwapa watu wake maji katikati ya jangwa. Imeandikwa: Musa akainua mkono wake akaupiga ule mwamba kwa fimbo yake mara mbili; maji yakatoka mengi, mkutano wakanywa na wanyama wao pia. (Hesabu 20:11). Yesu naye anafanya jambo lilelile. Imeandikwa:  Hata siku ya mwisho, siku ile kubwa ya sikukuu, Yesu akasimama, akapaza sauti yake akisema, Mtu akiona kiu, na aje kwangu anywe. (Yohana 7:37).
 
  • Musa alibeba dhambi ya watu wake, hivyo akaadhibiwa yeye kwa niaba yao. Imeandikwa: Wakamghadhibisha penye maji ya Meriba, Hasara ikampata Musa kwa ajili yao (Zaburi 106:32). Kila mtu anafahamu kuwa Bwana wetu Yesu naye alibeba dhambi ya ulimwengu wote. Aliadhibiwa kwa niaba yetu. Imeandikwa: Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu, Alichubuliwa kwa maovu yetu; Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona. Sisi sote kama kondoo tumepotea; Kila mmoja wetu amegeukia njia yake mwenyewe; Na Bwana ameweka juu yake Maovu yetu sisi sote. (Isaya 53:5-6).

Tungeweza kuendelea zaidi na zaidi, lakini mifano hii michache inatosha kuonyesha kwamba kweli Musa alikuwa ni mfano wa nabii aliyekuwa anasubiriwa. Alikuwa ni mfano kwa sababu yeye alikuwa akitenda wajibu wake kimwili, ilhali Yule aliyekuwa anasubiriwa angeyatenda kiroho, ambalo hasa ndilo kusudi la Mungu.

  1. Maneno ‘nitatia maneno yangu kinywani mwake’

Nabii Yeremia anasema: Ndipo Bwana akaunyosha mkono wake, akanigusa kinywa changu; Bwana akaniambia, Tazama, nimetia maneno yangu kinywani mwako (Yeremia 1:9). Kwa hiyo, kama Kumbukumbu 18:18 inahusu nabii ambaye Mungu aliweka neno kinywani mwake, kwa nini tudhani kuwa ni Muhammad, ambaye ni mgeni wa mbali, na si Yeremia ambaye ni Mwisraeli?

Vipi kuhusu Isaya? Imeandikwa: Nami nimetia maneno yangu kinywani mwako, nami nimekusitiri katika kivuli cha mkono wangu, ili nizipande mbingu, na kuiweka misingi ya dunia, na kuuambia Sayuni, Ninyi ni watu wangu. (Isaya 51:16).

Kila nabii wa kweli wa Mungu alisema maneno ambayo Mungu aliyatia ndani yake. Hayakuwa ni maneno yao waliyotunga; wala hayakuwa ni maneno waliyoenda kuyasomea kwenye shule au vyuo fulani. Yalikuwa ni maneno ambayo Roho wa Mungu alikuwa anasema kutokea ndani yao. Kwa kifupi ni kuwa, maneno haya hayamtambulishi Muhammad kamwe. Kwa nini asiwe Yeremia? Kwa nini asiwe Isaya?

Lakini Bwana Yesu naye anasemaje?  Kwa kuwa maneno uliyonipa nimewapa wao; nao wakayapokea, wakajua hakika ya kuwa nalitoka kwako, wakasadiki ya kwamba wewe ndiwe uliyenituma. (Yohana 17:8).

Kwa hiyo, kama ambavyo Deedat alimpa changamoto yule mchungaji kwamba Uyahudi na unabii unaweza kumhusu nabii yeyote, si lazima awe Yesu, kanuni ileile inamfunga yeye. Kuwekewa maneno kinywani kunaweza kumhusu nabii yeyote na wala huo si ushahidi kwamba anayesemwa ni Muhammad. Na haiingii akilini kwamba Mungu ambaye ametumia maelfu ya miaka kuandaa hili taifa teule aje aishie kumweka mgeni juu yao!!

  1. Maneno ‘sina maarifa’

Nabii Isaya ameandika kwamba: Kisha chuo hiki apewa mtu asiye na maarifa, akaambiwa, Kisome hicho tafadhali, akasema, Sina maarifa mimi (Isaya 29:12).

Waislamu walipoona andiko hili wakadhani kuwa tayari wameshapata ushahidi kuwa Muhammad ametabiriwa kwenye Biblia kwa kuwa Muhammad alikuwa ni mtu ambaye hakuwa amesoma.

Ukifuatilia sura nzima ya 29 na mantiki iliyozaa mstari huu wa 12, unaweza kuishia kucheka tu, ingawaje hili si jambo la kucheka.

Wanachofanya Waislamu ni upotovu mkubwa ambao unaangamiza mamilioni ya watu wa Mungu milele katika jehanamu ya moto. Watu wanaaminishwa uongo na wao wanaukumbatia kana kwamba ni ukweli.

Kwa ujumla, ukisoma sura ya 29 ni sura ambayo inatamka hukumu juu ya Ariel (Yerusalemu) kutokana na uasi wao juu ya sheria na maagizo ya Mungu, Yehova. Hebu tusome sura hiyo kwa karibu:

1  Ole wa Arieli, Arieli, mji ambao Daudi alifanya kituo chake ndani yake; ongezeni mwaka baada ya mwaka; sikukuu na zirudi wakati wake,

2  ndipo nitamwudhi Arieli; kutakuwapo maombolezo na kilio; naye atakuwa kwangu kama Arieli.

3  Nami nitapiga kimo juu yako pande zote, nitakuhusuru kwa ngome, nami nitajenga maboma yakuzunguke.

4  Nawe utashushwa, nawe utanena toka chini ya nchi, na maneno yako yatakuwa chini toka mavumbini; na sauti yako itakuwa kama sauti ya mtu mwenye pepo, ikitoka katika nchi, na matamko yako yatanong'ona toka mavumbini.

5  Lakini wingi wa adui zako utakuwa kama mavumbi membamba, na wingi wao watishao utakuwa kama makapi yapitayo; naam, itakuwa mara na kwa ghafula.

6  Naye atajiliwa na Bwana wa majeshi kwa ngurumo, na tetemeko la nchi, na sauti kuu, na chamchela, na tufani, na mwali wa moto uteketezao.

7  Na wingi wa mataifa wapiganao na Arieli, wote wapiganao naye na ngome yake, nao wamwudhio, watakuwa kama ndoto, na maono ya usiku.

8  Tena itakuwa kama mtu mwenye njaa aotapo, kumbe, anakula; lakini aamkapo, nafsi yake haina kitu; na kama mtu mwenye kiu aotapo, kumbe, anakunywa; lakini aamkapo, kumbe, anazimia, na nafsi yake inatamani; hivyo ndivyo utakavyokuwa huo wingi wa mataifa waletao vita juu ya mlima Sayuni.

9  Ngojeni mstaajabu; fanyeni anasa zenu na kuwa vipofu; wamelewa wala si kwa mvinyo; wamewaya-waya wala si kwa sababu ya kileo.

10  Kwa maana Bwana amewamwagieni roho ya usingizi, amefumba macho yenu, yaani, manabii; amefunika vichwa vyenu, yaani, waonaji.

Maneno yaliyo katika wino mwekundu ndizo hukumu zenyewe. Mbali na hukumu hizo hapo juu, Mungu bado akaendelea kusema kuwa, kutokana na uasi wao, hata neno lake hawatalielewa. Yaani hawataweza kusikia au kujua Mungu anasema nini hata kama watasoma au kusikia neno lake. Hii ni pamoja na wale ambao ndio wanatarajiwa kuwa wenye kuelewa neno hili – yaani manabii na waonaji – ukiachilia mbali wale wasio na maarifa juu ya neno la Mungu, yaani watu wa kawaida. Kwa hiyo, anaendelea kusema:

11  Na maono yote yamekuwa kwenu kama maneno ya chuo kilichotiwa muhuri, ambacho watu humpa mtu aliye na maarifa, wakisema, Tafadhali ukisome hiki; akasema, Siwezi, kwa kuwa kimetiwa muhuri;

12  kisha chuo hiki apewa mtu asiye na maarifa, akaambiwa, Kisome hicho tafadhali, akasema, Sina maarifa mimi.

Sasa basi, kama kweli Muhammad ndiye anayetajwa kwenye Isaya 29:12, kimantiki ina maana kuwa yeye ni kati ya wasioelewa lolote kwa kuwa wako chini ya hukumu ya Mungu; maana kama tulivyoona, sura hii ni tamko la hukumu ya Mungu kutokana na uasi. Si vibaya hata hivyo! Ndiyo maana nikasema kwamba unaposoma hoja hii ya Waislamu unaweza kuishia kucheka tu.

Hata hivyo, kwa kuwa sasa Muhammad ni nabii asiyeelewa chochote kutokana na kuwa chini ya hukumu ya Mungu kulingana na mantiki ya andiko hili, maana yake ni kuwa ujumbe alioleta kwa wanadamu hautoki kwa Mungu aliyeumba mbingu na nchi. Ndiyo! Labda kama, kwa makusudi tu, hutaki mantiki iliyopo. Kwa nini basi umfuate mtu wa namna hiyo?

*******************

Enyi Waislamu, swali langu hapa ni moja. Kwa mtu yeyote anayependa kweli atatambua kwamba Kumbukumbu la Torati 18:18 au Isaya 29:12 hazimhusu Muhammad hata kidogo licha ya kwamba Wanazuoni wa Kiislamu kwa makundi wanajaribu kuwaambia hivyo.

Shida moja kubwa kuhusiana na maarifa ya aina yoyote ni pale unapokuwa mtu wa kumeza tu kila unachoambiwa bila kuchunguza ukweli wa mambo. Hata haya ambayo mimi nimekuambia katika makala haya, itakuwa ni vema usiyameze tu. Fanya uchunguzi wako mwenyewe juu ya ukweli na uongo wa hoja za pande zote mbili. Kama wanazuoni wanasema kweli, basi shika kweli. Kama makala haya yanasema kweli, basi shindana na hofu yako na ukatae uongo.

Sasa, swali langu ni kwamba, kama kweli Allah amesema kuwa Muhammad ametajwa katika Torati na Injili wakati sio kweli, hiyo maana yake nini? Kazi kwako!

Yesu anakupenda. Njoo kwa Yesu kungali mapema. Hakuna wokovu nje ya Yesu. Jitihada zako zote unazofanya kujaribu kumpendeza Mungu wakati huna Yesu nina uhakika asilimia mia moja kuwa hujafanikiwa. Na kila unapojitahidi, unajikuta unatafunwa na hatia na hofu moyoni mwako. Hauko tayari kukiri hilo wazi, lakini huwezi kuudanganya moyo wako. Moyo wako unajua wazi kwamba umeshindwa vibaya sana!

Na kadiri unavyozidi kumkataa Yesu, kushindwa kwako huko kuishi maisha matakatifu ndilo litakuwa fungu lako hadi mwisho.

Yesu anakupenda MNO! Alikufa kwa ajili yako. Njoo kwa Yesu sasa.

Waweza kuniandikia maoni yako pia kupitia: ijuekweli77@yahoo.co.uk


79 comments:

  1. MUHAMMAD S.A.W. KATIKA BIBLIA
    Kuja kwa Nabii Muhammad s.a.w. si jambo geni kwa watu wa Kitabu maana kumebashiriwa mara nyingi katika Biblia. Haya yanathibitishwa na Qur’an Tukufu inayosema hivi juu ya waaminio kwamba ni wale “Ambao wanamfuata Mtume, Nabii aliye Ummi, ambaye wao humkuta ameandikwa kwao katika Taurati na Injili.
    Huwaamuru yaliyo mema na kuwakataza yaliyo mabaya.” (7:158). Maneno haya “Ameandikwa kwao katika Taurati na Injili”,yanaonyesha kwamba Nabii Muhammad s.a.w. si Mtume wa kitaifa bali ametumwa kwa mataifa yote ya wanadamu. Mtume Muhammad s.a.w. kwa kuwa ni m’bora wa mitume wote(Sura 33:41) naye alitumwa kwa watu wote (Sura 7:159) bishara
    zinazotabiri kuja kwake zinapatikana katika vitabu vya dini zote. Hapa vimetajwa Taurati na Injili. Katika vitabu hivyo mna bishara nyingi zenye kuwawezesha Mayahudi na Wakristo kumtambua Mtume Muhammad s.a.w. Hapa tutaeleza baadhi ya misingi iliyowekwa na mungu juu ya ujio wa Muhammad s.a.w.
    Muhammad s.a.w. Biblia na Kurani tukufu vyote vinasema nabii Muhammad ni wa damu ya Nabii Ibrahim a.s. Biblia yasema nabii Ibrahim alikuwa na wake Watatu-Sarah. Hajira na Katura. Hajira alimzaa Ismaili na Sarah akamzaa Isihaka.
    Mwanzo 16:11 ''Malaika wa Bwana akamwambia, Tazama! Wewe una mimba, utazaa mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Ishmaeli, maana Bwana amesikia kilio cha mateso yako.
    12 Naye atakuwa kama punda-mwitu kati ya watu, mkono wake utakuwa juu ya watu wote na mkono wa watu wote utakuwa juu yake, naye atakaa mbele yao ndugu zake wote.
    13 Akaliita jina la Bwana aliyesema naye, Wewe U Mungu uonaye, kwani alisema, Hata hapa nimemwona yeye anionaye?
    14 Kwa hiyo kisima kile kiliitwa Beer-lahai-roi.Tazama,kiko kati ya kadeshi na beredi.
    15 Hajiri akamzalia Abramu mwana wa kiume; Abramu akamwita jina lake Ishmaeli, yule mwanawe, ambaye Hajiri alimzaa.''

    MWANZO 17:18-20 ''Ibrahimu akamwambia Mungu, Lau kwamba Ishmaeli angeishi mbele yako.
    19 Mungu akasema, Sivyo, lakini Sara mkeo atakuzalia mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Isaka. Nami nitafanya agano langu imara kwake kuwa agano la milele kwa ajili ya uzao wake baada yake.
    20 Na kwa habari za Ishmaeli nimekusikia, nimembariki, nitamzidisha, nami nitamwongeza sana sana. Atazaa maseyidi kumi na wawili, nami nitamfanya awe taifa kuu''.
    Katika vifungu hivi tujifunze yafuatayo:
    1-MKONO WA ISHMAELI, UTAKUWA JUU YA WATU WOTE NA MKONO WA WATU WOTE UTAKUWA JUU YA ISHMAELI;
    2-ISHMAELI ATAKAA MBELE YA NDUGU ZAKE;
    3-ISHMAELI AMEBARIKIWA;
    4-ISHMAELI, MUNGU ATAMFANYA KUWA TAIFA KUU;
    5-ISAKA ATAZALIWA KWA AHADI YA MUNGU;
    6-ISAKA, MUNGU ATAFANYA AGANO LAKE LA MILELE KWA AJILI YA UZAO WAKE TU, WALA SI KWA WATU WOTE. Ndio maana Yesu akasema, sikutumwa ila, kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya israel.
    HAYA (ISHMAELI NA ISAKA) NI MAAGANO MAWILI YA MUNGU MWENYEZI. ISHMAELI KWA AJILI YA WATU WOTE NA ISAKA KWA AJILI YA UZAO WAKE.
    WAGALATIA 4:21-26 ''Niambieni, ninyi mnaotaka kuwa chini ya sheria, je! Hamwisikii sheria?
    22 Kwa maana imeandikwa ya kuwa, Ibrahimu alikuwa na wana wawili mmoja kwa mjakazi, na mmoja kwa mwungwana.
    23 Lakini yule wa mjakazi alizaliwa kwa mwili, yule wa mwungwana kwa ahadi.
    24 Mambo haya husemwa kwa mfano; kwa maana hawa ndio kama maagano mawili, moja kutoka mlima Sinai, lizaalo kwa utumwa, ambalo ni Hajiri.
    25 Maana Hajiri ni kama mlima Sinai ulioko Arabuni, umelingana na Yerusalemu wa sasa; kwa kuwa anatumika pamoja na watoto.''

    ReplyDelete
    Replies
    1. Ibra asante sana kwa maoni yako. Kuna mambo kadhaa ya msingi uliyotaja kwenye maoni haya. Mambo hayo ni pamoja na kwamba:
      1. Muhammad ametajwa kwenye Taurati na Injili (yaani Biblia).
      2. Muhammad ni wa uzao wa Ibrahimu.
      3. Muhammad alitumwa kwa ajili ya watu wote.
      4. Muhammad huwaamuru watu kufanya mema.
      5. Yesu alisema kuwa alikuja kwa ajili ya Waisraeli tu.
      ***************
      Nikianza na hilo la kwanza, yaani Muhammad kutajwa kwenye Biblia. Sijui kama umesoma makala yangu yote, yaani makala hayahaya uliyoyatolea maoni? Katika makala haya nimeongelea juu ya Isaya 29:12, ambayo ni mojawapo ya maandiko mnayotumia ninyi Waislamu kuhalalisha hoja yenu kwamba Muhammad ametajwa kwenye Biblia. Nimeonyesha jinsi ambavyo walengwa kwenye andiko hilo ni watu walio chini ya hukumu ya Mungu. Na kama Muhammad naye ni mmojawapo, basi ni wazi kuwa yuko chini ya hukumu ya Mungu na ujumbe wake hautoki kwa Mungu kabisa kulingana na andiko hilo. Hebu soma tena makala hayo Ibra, yenye kichwa: Je, Muhammad ametabiriwa kwenye Biblia – Sehemu ya II. Ninao uhakika asilimia 100 kwamba Muhammad hajatajwa kamwe kwenye Biblia. Umesema kuwa kuja kwa Muhammad “kumebashiriwa mara nyingi katika Biblia.” Ibra, hebu nitajie sehemu hizo ili tuweze kuziangalia. Kama mwisho wa siku tutakuta kwamba anachokisema Allah ni cha kweli, naahidi kuwa nitaacha Ukristo na kuwa Mwislamu.
      ******************
      Kuhusu suala la kwamba Muhammad ni wa uzao wa Ibrahimu, hilo sina ubishi nalo hata kidogo. Ni jambo la kweli kwamba Waarabu ni uzao wa Ishmaeli, ilhali Wayahudi ni uzao wa Isaka. Na hawa wote wawili ni ndugu japo wanapingana vikali hadi hivi sasa.
      Lakini usisahau jambo la muhimu sana katika kitabu cha Mwanzo ambacho umekinukuu. Imeandikwa kwamba: ''Ibrahimu akamwambia Mungu, Lau kwamba Ishmaeli angeishi mbele yako.
      Mungu akasema, Sivyo, lakini Sara mkeo atakuzalia mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Isaka. Nami nitafanya agano langu imara kwake kuwa agano la milele kwa ajili ya uzao wake baada yake.” Mwanzo 17:18-20.
      Ni kweli Ishamaeli alikuwa mtoto wa kwanza wa Ibrahimu. Na Ibrahimu kama baba ni lazima alimpenda mwanawe huyo. Kumbuka kwamba Mungu alishamwahidi Ibrahimu tangu siku nyingi kwamba angempa uzao mwingi sana. Imeandikwa mwamba: Bwana akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha; nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe Baraka (Mwanzo 12:1-2).
      Sasa, baada ya kukaa muda mrefu sana bila mtoto, Ibrahimu akaamua kuzaa na mjakazi wake. Ndipo akampata Ishmaeli. Hivyo, katika Mwanzo 17:18-20 uliyonukuu, Ibrahimu anamwomba Mungu kwamba zile baraka alizokuwa ameahidiwa miaka mingi iliyopita, zipitie kwa Ishamaeli.

      Ndipo sasa Mungu akamjibu kwamba: Sivyo, lakini Sara mkeo atakuzalia mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Isaka. Nami nitafanya agano langu imara kwake kuwa agano la milele kwa ajili ya uzao wake baada yake.” Mwanzo 17:18-20.
      Ibra, mambo ya kiroho na uhusiano kati ya mwanadamu na Mungu au hata mwanadamu na shetani ni mambo yanayohusu maagano. Hata ukienda kwa mganga wa kienyeji anayetumia majini, atakuambia ulete damu (kuku), n.k. Hiyo yote ni kwa ajili ya kukufanya uwe na agano na wale viumbe unaotaka wakufanyie mambo yako.
      Kwa hiyo, agano LA MILELE kati ya Mungu na Ibrahimu halikumhusisha Ishameli hata kidogo japokuwa alikuwa naye ni mwana wa Ibrahimu. Kwa maana hiyo, halimhusu Muhammad. Agano linatoka kwa Mungu – Ibrahimu – Isaka – Yakobo – Yesu. SI ISHMAEL WALA MUHAMMAD!
      Maana yake ni nini? Maana yake ni kuwa mwanadamu yeyote akitaka kuingia kwenye agano la kulindwa, kubarikiwa, kuponywa na kupata uzima wa milele, NI LAZIMA apitie upande wa Isaka na SI upande wa Ishameli.

      Delete
    2. Kuhusiana na kwamba Muhammad alitumwa kwa watu wote, hilo nalo silikatai hata kidogo. Ni jambo la kweli pia. Lakini swali la msingi ni kwamba, je, katumwa na nani? Mungu wa Biblia anaitwa Yehova, au Yesu Kristo, au Roho Mtakatifu. Ukiniambia kwamba huyu ndiye aliyemtuma Muhammad, hapo ndipo nitakwambia bila kumung’unya maneno kwamba jibu ni HAPANA!
      ****************
      Umesema kwamba Muhammad huwaamuru watu kutenda mema. Ndugu yangu Ibra, kati ya mambo ambayo ni ya kushangaza sana katika ulimwengu huu ni kitendo cha Waislamu kukataa kukiri hali halisi iliyo kwenye dini yao. Labda kama tunatafsiri tofauti neno “kufanya mema.” Hivi, si Quran inayoamuru muwaue watu wasioamini? Si Quran inayoruhusu kukata watu vichwa? Si Quran inayoruhusu kuwateka watu na kudai kikombozi? Si Quran inayosababisha mateso makubwa sana kwa wanawake walio kwenye nchi za Kiislamu? Si Quran inayoagiza kwamba msifanye urafiki na Wayahudi na Wakristo?
      Je, unamaanisha nini unaposema mambo mema? Je, hayo maagizo nayo ni kati ya mema? Ibra, katika hili bado una kazi kubwa ya kunishawishi kwamba ni kweli Muhammad huwaagiza watu kufanya mema. Mimi bado sijayaona. Picha inayoonekana kwa ujumla ni kinyume kabisa na hicho unachokisema. Bwana Yesu anasema kuhusu wanadamu kwamba: Mtawatambua kwa matunda yao (Mathayo 7:16). Kile mnachosema na kile tunachokiona ni tofauti. Matunda (au matendo) yenu yanadhihirisha uhalisia wenu zaidi kuliko maneno yenu. Unajua Ibra, (ukimwacha Mungu), tunaposema mtu fulani ni mwema, haina maana hata kidogo kwamba hana mabaya. Anayo. Lakini mema yake ni mengi kiasi kwamba mabaya yake hayaonekani. Na tunaposema mtu fulani ni mwovu au mbaya, haina maana kwamba hana mema. Anayo. Ila mabaya yake ni mengi kiasi kwamba yanafunika mema aliyo nayo. Sasa, matunda yanayoonekana katika Uislamu na nchi za Kiislamu, yanaleta ugumu sana kuamini kuwa Muhammad ni mtu anayeagiza mema. Huenda wewe utanielewesha nini maana ya mema anayoagiza Muhammad.

      Delete
    3. Kuhusiana na hoja kwamba Yesu alisema kwamba alitumwa kwa ajili ya Waisraeli tu, ningependa nirudie majibu ambayo nilimpatia Mahmudi kwenye makala niliyoiita: Majibu yangu kwa Hamudi – Sehemu ya III. Majibu hayo yalihusu swali hilihili.
      Mahmudi aliuliza: Kwa nini Wakristo wanasema kwamba Yesu alikuja kwa ajili ya ulimwengu mzima wakati yeye alisema kuwa alitumwa kwa Mayahudi tu? Alimwambia yule mwanamke Mkananayo aliyemuomba amtibie bintiye aliyekuwa anasumbuliwa na mapepo: “Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.” na pia alisema; Si vyema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.” (Matayo 15:21-28).

      Jibu ni kuwa: Ni vizuri kwamba unamnukuu Yesu ili kujenga hoja yako. Basi, ni vizuri usiishie hapo. Hebu tazama pia maneno yake haya mengine:

      Basi, enendeni, mkawafanye MATAIFA YOTE kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu (Mathayo 28:19).

      Akawaambia, Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na kufufuka siku ya tatu; na kwamba MATAIFA YOTE watahubiriwa kwa jina lake habari ya toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu Yerusalemu. (Luka 24:46-47).

      Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ULIMWENGU uokolewe katika yeye. (Yohana 3:17).

      Na mtu akiyasikia maneno yangu, asiyashike, mimi simhukumu; maana sikuja ili niuhukumu ulimwengu, ila niuokoe ulimwengu. (Yohana 12:47).

      Nami nautoa uhai wangu kwa ajili ya kondoo. NA KONDOO WENGINE NINAO, AMBAO SI WA ZIZI HILI; na hao nao imenipasa kuwaleta; sauti yangu wataisikia; kisha kutakuwako kundi moja na mchungaji mmoja. (Yohana 10:15-16).

      Sasa unaweza kuamua. Kama ingekuwa ni kupiga kura, kati ya andiko ulilonukuu na haya niliyokupa, upi ambao ungeuita kuwa ni msimamo wa Yesu? Ni ule wenye andiko moja au ni ule wenye maandiko mengi? Lakini huenda bado utauliza, “Kwa nini basi alimwambia maneno hayo mwanamke yule Mkananayo?” Jibu ni kuwa, Mungu amekuwa na kawaida ya kuanza jambo na mtu mmoja.

      • Aliumba mwanadamu mmoja, kisha tukatokea humo wote.
      • Alijifunua kwa taifa moja, kisha tukamjua wote.
      • Alianza na Mwana mmoja (Yesu), kisha tunazaliwa wote kwa imani katika huyo.
      • Vivyo hivyo, alileta wokovu Israeli, kisha ukasambaa kote – ndiyo maana anasema na mwanamke mwingine pale kisimani – “Wokovu watoka kwa Wayahudi.” (Yohana 4:22).

      Hali hii ya kuanza na mtu au sehemu moja, ni ushahidi kuwa wale wote wanaojifariji kwa maneno eti “dini mbalimbali ni njia tofauti ambazo zote zinaishia kwa Mungu”, wanapoteza muda na uzima wao wa milele. “Wokovu watoka kwa Wayahudi” – yaani KWA YESU PEKEE!

      Sasa, kwa kuwa muda wa kusambaa kwa wokovu huo ulikuwa haujatimia (maana Mungu anakwenda kwa ratiba ya majira na nyakati), ndiyo maana akamwambia yule mwanamke Mkananayo (yaani asiye Myahudi) kuwa hakutumwa ila kwa Israeli.

      Lakini utimilifu wa majira ulipofika, yaani alipokufa na kufufuka, tunaona akiwaagiza sasa mitume wake waende ulimwenguni kote.

      Na Biblia inasema wazi: Kwa ajili ya hayo kumbukeni ya kwamba zamani ninyi, mlio watu wa Mataifa kwa jinsi ya mwili, mnaoitwa Wasiotahiriwa na wale wanaoitwa Waliotahiriwa, yaani, tohara ya mwilini iliyofanyika kwa mikono; kwamba zamani zile mlikuwa hamna Kristo, mmefarakana na jamii ya Israeli, wageni wasio wa maagano ya ahadi ile. Mlikuwa hamna tumaini, hamna Mungu duniani. Lakini sasa, katika Kristo Yesu, ninyi mliokuwa mbali hapo kwanza mmekuwa karibu kwa damu yake Kristo. Kwa maana yeye ndiye amani yetu, aliyetufanya sisi sote tuliokuwa wawili kuwa mmoja; akakibomoa kiambaza cha kati kilichotutenga. Naye akiisha kuuondoa ule uadui kwa mwili wake; ndiyo sheria ya amri zilizo katika maagizo; ili afanye hao wawili kuwa mtu mpya mmoja ndani ya nafsi yake; akafanya amani. Akawapatanisha wote wawili na Mungu katika mwili mmoja, kwa njia ya msalaba, akiisha kuufisha ule uadui kwa huo msalaba. (Waefeso 2:11-16).

      Delete
    4. Mr.John
      Mithali 30:5 Kila neno la Mungu limehakikishwa; Yeye ni ngao yao wamwaminio.
      6 Usiongeze neno katika maneno yake; Asije akakulaumu, ukaonekana u mwongo.

      Yeremia 23:14 Katika manabii wa Yerusalemu nimeona neno linalochukiza sana; hufanya zinaa; huenenda katika maneno ya uongo, hutia nguvu mikono ya watendao maovu, hata ikawa hapana mtu arejeaye na kuuacha uovu wake; wote pia wamekuwa kama Sodoma kwangu, na wenyeji wake kama Gomora.
      15 Basi Bwana wa majeshi asema hivi, katika habari ya manabii, Tazama, nitawalisha pakanga, nitawanywesha maji ya uchungu; kwa kuwa kutoka kwa manabii hao wa Yerusalemu kukufuru kumeingia katika nchi yote.
      16 Bwana wa majeshi asema hivi, Msisikilize maneno ya manabii wakiwatabiria; huwafundisha ubatili; hunena maono ya mioyo yao wenyewe; hayakutoka katika kinywa cha Bwana.

      Yeremia 17:5 Bwana asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha Bwana.

      Mi sijui kwanini wewe ni mgumu wa kuelewa maandiko, na pia unatafsiri kama unavyotaka wewe. Kwanini lakini unapingana na mungu? Maandiko yako wazi kabisa we unamn'gan'gania ISAKA kivipi. MUNGU ATAFANYA AGANO LAKE IMARA NA LA MILELE KWA ISAKA KWA AJILI YA UZAO WAKE. Sasa hapo wewe unahusika kivipi hapo. We ni uzao wa ISAKA?
      MKONO WA ISHMAELI UTAKUWA JUU YA WATU WOTE NA MKONO WA WATU WOTE UTAKUWA JUU YAKE, NAYE ATAKAA MBELE YA NDUGU ZAKE. Tafsiri basi na aya hiyo, mungu anamaanisha nini hapo? Ndugu yangu MAAGANO YA MUNGU (SIO YA SHETANI KAMA ULIVYODAI) YAPO MAWILI. LA ISAKA KWA AJILI YA UZAO WAKE NA ISHMAELI KWA AJILI YA WATU WOTE AMBALO, AMERITHI KUTOKA KWA BABA.

      MWANZO 15:4 Nalo neno la Bwana likamjia likinena, Huyu hatakurithi, bali atakayetoka katika viuno vyako ndiye atakayekurithi.
      ISHMAELI NI MTOTO WA KIUNO NA ISAKA NI MTOTO WA AHADI, KWA HIYO MRITHI ATATOKA KATIKA VIUNO.

      SASA BASI, ISHMAELI ANARITHI NINI KUTOKA KWA BABA:
      MWANZO 17:2 Nami nitafanya agano langu kati ya mimi na wewe, nami nitakuzidisha sana sana.
      3 Abramu akaanguka kifudifudi. Mungu akamwambia, akasema,
      4 Mimi, agano langu nimefanya nawe, nawe utakuwa baba wa mataifa mengi,

      MWANZO 12:2 nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka;

      MWANZO 17:20 Na kwa habari za Ishmaeli nimekusikia, nimembariki, nitamzidisha, nami nitamwongeza sana sana. Atazaa maseyidi kumi na wawili, nami nitamfanya awe taifa kuu.

      WAGALATIA 4:21-26 ''Niambieni, ninyi mnaotaka kuwa chini ya sheria, je! Hamwisikii sheria?
      22 Kwa maana imeandikwa ya kuwa, Ibrahimu alikuwa na wana wawili mmoja kwa mjakazi, na mmoja kwa mwungwana.
      23 Lakini yule wa mjakazi alizaliwa kwa mwili, yule wa mwungwana kwa ahadi.
      24 Mambo haya husemwa kwa mfano; kwa maana hawa ndio kama maagano mawili, moja kutoka mlima Sinai, lizaalo kwa utumwa, ambalo ni Hajiri.
      25 Maana Hajiri ni kama mlima Sinai ulioko Arabuni, umelingana na Yerusalemu wa sasa; kwa kuwa anatumika pamoja na watoto.''HAPO NAPO INAHITAJI CHUO?

      Delete
    5. Ibra, habari za leo. Asante sana tena kwa changamoto zako, ambazo zinanifanya niwe makini kweli na kile ninachojibu. Maana kama ulivyosema mwenyewe, nikiwa mpotoshaji na nabii wa uongo, cha moto nitakiona kwa kweli.

      Kwa kuwa maswali haya yanajitokeza tena na tena kutoka kwa watu wengi, nimeona niyajibu kama makala kabisa badala ya kuweka majibu yake kwenye sehemu hii ya maoni. Tafadhali tazama majibu hayo kwenye makala inayosema: Majibu Yangu Kwa Ibra Juu ya Isaka na Ishmaeli.

      Tuendelee kufundishana maana hili ni jambo jema.Bila shaka mwisho wa siku ukweli utajulikana mioyoni mwetu.

      Mungu akubariki.

      Delete
    6. Muhamad aliwakimbia ndugu zake Maquraish walikuwa wakimwona kama mzushi, hivyo kwa kujisalimisha akakimbilia Madina kwa Wansar, laiti asingekataliwa kwao asinge kimbia

      Delete
  2. Mr. James
    Kitu kibaya kwako ulichokiona kimeandikwa ndani ya qurani ni juu kuwachinja watu waovu?
    Sasa kama ndio hivyo, wewe ujasoma biblia au biblia hauijui vizuri. Unafanana na mtu wa kucopy na kupaste.
    Luka 19:27 Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa mwachinje mbele yangu.
    Na swala ya Yesu kuwa mungu, mimi nasema hivi, hawezi kuwa mungu, si mungu, hana mpango wa kuwa mungu, hatakuwa mungu ila, ni mtume tu wa mungu kwa wana waisrael peke yao kwa ushahidi wa maandiko yafuatao:
    Yohana 17:3-4 Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.
    4 Mimi nimekutukuza duniani, hali nimeimaliza kazi ile uliyonipa niifanye.

    Yohana 17:6-9 6 Jina lako nimewadhihirishia watu wale ulionipa katika ulimwengu; walikuwa wako, ukanipa mimi, na neno lako wamelishika.
    7 Sasa wamejua ya kuwa yote uliyonipa yatoka kwako.
    8 Kwa kuwa maneno uliyonipa nimewapa wao; nao wakayapokea, wakajua hakika ya kuwa nalitoka kwako, wakasadiki ya kwamba wewe ndiwe uliyenituma.
    9 Mimi nawaombea hao; siuombei ulimwengu; bali hao ulionipa, kwa kuwa hao ni wako;
    KAULI YA YESU INASEMA HAUOMBEI ULIMWENGU, BALI WALE ALIOPEWA.

    Matendo 13:23 Katika uzao wake mtu huyo Mungu amewaletea Israeli Mwokozi, yaani, Yesu, kama alivyoahidi;
    Matendo 5:31 Mtu huyo Mungu amemtukuza kwa mkono wake wa kuume, awe Mkuu na Mwokozi, awape Waisraeli toba na msamaha wa dhambi.
    Matayo 15:24 Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.
    Hapa Yesu hajakosea kwa sababu msingi umeshawekwa na mungu katika ISAKA ya kwamba atafanyanae agano kwa ajili ya uzao wake tu baada yake.

    Marco 16:15 Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.
    16 Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.

    matayo 28:19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;
    Mr. iko wapi kauli sahihi ya yesu?
    Alafu ukisikia neno mataifa, kibiblia ina maana nyingi:
    1 makabila 12 ya waisraeli:
    2 nchi,.
    fungua biblia za kale utaona ramani ya ulimwengu, tanzania haipo na nchi nyingine pia.
    YESU KRISTO NI MTUME MWEZIMUNGU KWA WANA WA ISRAELI.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Habari Ibra.
      Nimekujibu hoja zako hizi kwa kutumia makala niliyoiita: Je, Yesu Aliagiza Wafuasi Wake Wawaue Maadui wa Yesu?
      Mungu akubariki.

      Delete
    2. Kwaio Kama Tanzania haipo kwenye orodha hiyo ya Wana wa izilaeli maana yake ime wekea lenye oroza ya uarabuni to ?

      Delete
  3. kwa kweli nyie wa upande wakushoto, lakina emu angalia hapa, japo kiswahili changu sio kizuri, bwana james John.

    "... Mungu alisema:" Subiri Mohammed; kwa ajili yako mimi kuunda peponi, dunia, na umati mkubwa wa viumbe, ambayo mimi nitakufanya sasa, hata mtu yeyote akubariki watabarikiwa, na Yeyote kulaani nawe atalaaniwa. Wakati mimi atawatuma nawe katika dunia nami nitakupeleka kama mjumbe ya wokovu wangu, na neno lako litakuwa kweli, hata mbinguni na duniani, kushindwa, lakini imani yako kamwe kushindwa ". Mohammed jina lake ni heri. ' Kisha umati wakainua sauti zao, wakisema: `Ee Mungu, tutumie wako mjumbe: O unaokubalika Mmoja, kuja haraka kwa ajili ya wokovu wa ulimwengu" (Injili ya Barnaba 97:9-10)!

    kwa kingeleza.

    "...God said: "Wait Mohammed; for thy sake I will to create paradise, the world, and a great multitude of creatures, whereof I make thee a present, insomuch that whoso bless thee shall be blessed, and whoso shall curse thee shall be accursed. When I shall send thee into the world I shall send thee as my messenger of salvation, and thy word shall be true, insomuch that heaven and earth shall fail, but thy faith shall never fail." Mohammed is his blessed name.' Then the crowd lifted up their voices, saying: `O God, send us thy messenger: O Admirable One, come quickly for the salvation of the world!'" (Gospel of Barnabas 97:9-10)

    ReplyDelete
    Replies
    1. Asante rafiki yangu kwa maoni yako na kwa kutembelea blog hii. Mbona reference unayotoa haipo kwenye Biblia wala kwenye Quran?

      Please, read the article titled: INJILI YA BARNABA - BELESHI LINALOCHOTA WAISLAMU NA KUWATUPIA KWENYE SHIMO LA KUZIMU. http://www.waislamukwayesu.blogspot.com/2013/03/injili-ya-barnaba-beleshi-linalochota.html

      I am sure you wouldn't be ready to build the foundation of your life upon a lie; a fake gospel called the Gospel of Barnaba' and risk your eternal life.

      Life is too precious to squander. We live only once. So, its better to be sure of our decisions pertaining to eternal life.

      God bless you.

      Delete
    2. hasante kwakuni karibisha sasa nipe nafasi niku zihilishie kwani wewe utakuwa ndugu yangu katika imani siku moja na hata uki baki kwenye giza sawa kwani ukweli usha ujuwa. kiswahili changu sio kizuri lakini soma kwa umakini utaelewa kwa uwezo wa mwenyezi mungu.

      BIBLIA KUHUSU UNABII ujio wa MUHAMMAD

      braham ni kumjali sana kama dume ya Monotheism na baba ya kawaida ya Wayahudi, Wakristo na Waislamu. Kupitia mwana wake wa pili, Isaka, alikuja manabii wote wa Israeli ikiwa ni pamoja na takwimu vile towering kama Yakobo, Yusufu, Musa, Daudi, Sulemani na Yesu. Mei amani na baraka kuwa juu yao wote. ujio wa manabii hawa kubwa ilikuwa ni kutimia nusu ya ahadi za Mungu kubariki mataifa ya dunia kwa njia ya kizazi cha Ibrahimu (Genesis12 :2-3) kutimiza hayo. ni moyo wote kukubaliwa na Waislamu ambao imani anser imani katika na heshima ya manabii wote makala ya imani.

      kwakingeleza hapo chini.

      Delete
    3. A braham is widely regarded as the Patriarch of monotheism and the common father of the Jews, Christians and Muslims. Through His second son, Isaac, came all Israelite prophets including such towering figures as Jacob, Joseph, Moses, David, Solomon and Jesus. May peace and blessings be upon them all. The advent of these great prophets was in partial fulfillment of God's promises to bless the nations of earth through the descendents of Abraham ( Genesis12:2-3 ).Such fulfillment is wholeheartedly accepted by Muslims whose faith considers the belief in and respect of all prophets an article of faith.

      Delete
    4. BARAKA ZA Ishmaeli na Isaka

      W kama mwana mzaliwa wa kwanza wa Ibrahimu (Ishmaeli) na kizazi chake ni pamoja na katika agano la Mungu na ahadi? mistari michache toka Biblia inaweza kusaidia kumwaga baadhi mwanga juu ya swali hili;

      1) Mwanzo 12:2-3 anazungumzia ahadi ya Mungu kwa Ibrahimu na uzao wake kabla ya mtoto yeyote aliyezaliwa.

      2) Mwanzo 17:04 upprepar ahadi ya Mungu baada ya kuzaliwa kwa Ishmaeli na kabla ya kuzaliwa kwa Isaka.

      3) Katika Mwanzo, ch. 21. Isaka ni hasa heri lakini Ishmaeli pia alikuwa hasa heri na ahadi kwa Mungu kuwa "taifa kubwa" hasa katika Mwanzo 21:13, 18.

      4) Kwa mujibu wa Kumbukumbu la Torati 21:15-17 haki jadi marupurupu na ya mwana mzaliwa wa kwanza si kuathirika na hali ya kijamii ya mama yake (kuwa "bure" mwanamke kama vile Sara, mama wa Isaka, au mwanamke mtumwa " "kama vile Hajiri, mama Ishmaeli). Hii ni tu thabiti na misingi ya kimaadili na kibinadamu wa imani zote wazi.

      5) uhalali kamili wa Ishmaeli kama mwana wa Ibrahimu na "mbegu" na uhalali kamili ya mama yake, Hagari, kama mke wa Ibrahimu ni wazi katika Mwanzo 21:13 na 16:03. Baada ya Yesu, mwisho Mwisraeli mjumbe na nabii, ilikuwa muda kwamba ahadi ya Mungu kubariki Ishmaeli na wazao wake yatimie. Chini ya 600years baada ya Yesu, alikuja mjumbe wa mwisho wa Mungu, Muhammad, kutoka uzao wa Ibrahimu kupitia Ishmaeli. Baraka ya Mungu wa wote wa matawi makuu ya familia mti wa Ibrahimu alikuwa sasa fullfilled. Lakini ni kuna ziada corroborating ushahidi kwamba Biblia alivyofanya katika ukweli wanatabiri ujio wa nabii Muhammad?

      kwa kingeleza hapo chini:

      Delete
    5. BLESSINGS OF ISHMAEL AND ISAAC

      Was the first born son of Abraham (Ishmael) and his descendants included in God's covenant and promise? A few verses from the Bible may help shed some light on this question;

      1) Genesis 12:2-3 speaks of God's promise to Abraham and his descendants before any child was born to him.

      2) Genesis 17:4 reiterates God's promise after the birth of Ishmael and before the birth of Isaac.

      3) In Genesis, ch. 21 . Isaac is specifically blessed but Ishmael was also specifically blessed and promised by God to become "a great nation" especially in Genesis 21:13, 18.

      4) According to Deuteronomy 21:15-17 the traditional rights and privileges of the first born son are not to be affected by the social status of his mother (being a "free" woman such as Sarah, Isaac's mother, or a "Bondwoman" such as Hagar, Ishmael's mother). This is only consistent with the moral and humanitarian principles of all revealed faiths.

      5) The full legitimacy of Ishmael as Abraham's son and "seed" and the full legitimacy of his mother, Hagar, as Abraham's wife are clearly stated in Genesis 21:13 and 16:3 . After Jesus, the last Israelite messenger and prophet, it was time that God's promise to bless Ishmael and his descendants be fulfilled. Less than 600years after Jesus, came the last messenger of God, Muhammad, from the progeny of Abraham through Ishmael. God's blessing of both of the main branches of Abraham's family tree was now fullfilled. But are there additional corroborating evidence that the Bible did in fact foretell the advent of prophet Muhammad?

      MUHAMMAD:
      The Prophet Like Unto Moses

      Long time after Abraham, God's promise to send the long-awaited Messenger was repeated this time in Moses' words.
      In Deuteronomy 18:18 , Moses spoke of the prophet to be sent by God who is:

      1) From among the Israelite's "brethren", a reference to their Ishmaelite cousins as Ishmael was the other son of Abraham who was explicitly promised to become a "great nation".

      2) A prophet like unto Moses. There were hardly any two prophets ,who were so much alike as Moses and Muhammad . Both were given comprehensive law code of life, both encountered their enemies and were victors in miraculous ways, both were accepted as prophets/statesmen and both migrated following conspiracies to assassinate them. Analogies between Moses and Jesus overlooks not only the above similarities but other crucial ones as well (eg the natural birth, family life and death of Moses and Muhammad but not of Jesus, who was regarded by His followers as the Son of God and not exclusively a messenger of God, as Moses and Muhammad were and as Muslim belief Jesus was).

      THE AWAITED PROPHET WAS TO COME FROM ARABIA

      Deuteronomy 33:1-2 combines references to Moses, Jesus and Muhammad. It speaks of God (ie God's revelation) coming from Sinai, rising from Seir (probably the village of Sa'ir near Jerusalem) and shining forth from Paran. According to Genesis 21:21 , the wilderness of Paran was the place where Ishmael settled (ie Arabia, specifically Mecca).

      Indeed the King James version of the Bible mentions the pilgrims passing through the valley of Ba'ca (another name of Mecca) in Psalms 84:4-6 .

      Isaiah 42:1-13 speaks of the beloved of God. His elect and messenger who will bring down a law to be awaited in the isles and who "shall not fail nor be discouraged till he have set judgement on earth." Verse 11, connects that awaited one with the descendants of Ke'dar. Who is Ke'dar? According to Genesis 25:13 , Ke'dar was the second son of Ishmael, the ancestor of prophet Muhammad .

      Delete
    6. I agree totally that Abraham is the father of monotheism. You are saying: “The advent of these great prophets was in partial fulfillment of God's promises to bless the nations of earth through the descendents of Abraham ( Genesis 12:2-3 ). Such fulfillment is wholeheartedly accepted by Muslims whose faith considers the belief in and respect of all prophets an article of faith.”

      First of all, it’s ironic that you are quoting from the Bible that is supposedly corrupted as you, Moslems, claim. Why do you trust these words?

      If then you have decided to trust the Bible in this, I think it’s fair you trust the whole of it. This is because, the one who speaks in Genesis speaks in other books too. So, let’s go on and see what He has to say.

      ……………………………………………
      Concerning the blessings of Ishmael, please read here: http://waislamukwayesu.blogspot.com/2013/03/majibu-yangu-kwa-ibra-kuhusu-wana-wa.html

      …………………………………….
      Concerning Muhammad being a prophet like Moses (Deuteronomy 18:18), I wonder why you are raising this issues again here. Did you read this same article that you have given your comments under? Please, read it again here: http://waislamukwayesu.blogspot.com/2013/01/je-muhammad-ametabiriwa-kwenye-biblia_11.html Any Moslems who reads and understands it will realize that Mohammad is completely unlike Moses.

      Delete
  4. kwakiswahili kuanzia......
    MUHAMMAD:
    Mtume Kama Kuendea Musa

    L Ong wakati baada ya Ibrahimu, ahadi ya Mungu kwa kutuma Mtume muda awaited lilirudiwa mara hii katika maneno ya Musa.
    Katika Kumbukumbu la Torati 18:18, Musa akanena ya nabii kutumwa na Mungu ambaye ni:

    1) Kutoka kati ya Israeli ya "ndugu", akimaanisha binamu zao Mwishmaeli kama Ishmaeli mwana wa Ibrahimu mengine ambaye alikuwa wazi aliahidi kuwa "kubwa taifa".

    2) Nabii kama Musa. Kulikuwa na shida yoyote manabii wawili, ambao walikuwa ni sawa kama Musa na Muhammad. Wote walipewa pana sheria kanuni za maisha, wote wamekutana adui zao na walikuwa washindi katika njia kimiujiza, wote walikuwa kukubalika kama manabii / wa nchi na wote wamehamia hila zifuatazo kumuua yao. Analojia kati ya Musa na Yesu overlooks si tu yanayofanana juu lakini wengine ndio muhimu kama vizuri (km asili kuzaliwa, maisha ya familia na kifo cha Musa na Muhammad lakini si wa Yesu, ambaye alichukuliwa na wafuasi wake kama Mwana wa Mungu na si peke mjumbe wa Mungu, kama Musa na Muhammad walikuwa na imani kama Waislamu Yesu alikuwa).

    MTUME awaited ILIKUWA kuja kutoka Arabia

    Kumbukumbu 33:1-2 unachanganya marejeo ya Musa, Yesu na Muhammad. Inazungumzia juu ya Mungu (yaani ufunuo wa Mungu) kuja kutoka Sinai, kupanda kutoka Seiri (pengine kijiji cha Sa'ir karibu na Yerusalemu) na kuangaza toka Parani. Kulingana na Mwanzo 21:21, jangwa la Parani ilikuwa mahali ambapo Ishmaeli makazi (yaani Arabia, hasa Makka).

    Hakika King James version ya Biblia inataja mahujaji kupitia bonde la Ba'ca (jina la mtu mwingine wa Makka) katika Zaburi 84:4-6.

    Isaya 42:1-13 inazungumzia mpendwa wa Mungu. Wateule wake na mjumbe ambaye ataleta sheria kuwa chini awaited katika visiwa na ambao "atakuwa wala hatakata tamaa hata atakapoweka hukumu duniani." Mst 11, unajumuisha kwamba moja awaited kwa wazao wa Ke'dar. Nani ni Ke'dar? Kulingana na Mwanzo 25:13, Ke'dar ni mwana wa pili wa Ishmaeli, babu wa nabii Muhammad.

    ReplyDelete
  5. TUNAENDELEA KUANGALIA BIBLIA ILIVYO TABILI KUJA KWA MUHAMMAD.
    MUHAMMAD KUTOKA MAKKAH KWENDA MEDINA:
    PROPHECIED KATIKA BIBLIA?

    Habakuki 3:03 inazungumzia Mungu (msaada wa Mungu) kuja kutoka Te'man (North Oasis wa Madina kulingana na Kamusi J. Hasting ya Biblia), na moja takatifu (kuja) kutoka Parani. Hiyo takatifu mmoja ambaye chini ya mateso wamehamia kutoka Parani (Makka) na kupokewa kwa shauku katika Madina ilikuwa hakuna lakini nabii Muhammad.
    Hakika tukio la uhamiaji wa nabii na wafuasi wake wanaoteswa ni vividly ilivyoelezwa katika Isaya 21:13-17. Hiyo sehemu alitabiri vilevile kuhusu vita ya Badr ambayo wachache mgonjwa-silaha mwaminifu kimiujiza kushindwa "mashujaa" watu wa Ke'dar, waliotaka kuharibu Uislamu na kuwatisha wao folks wenyewe ambao akageuka-kwa Uislamu.

    Qur'an (Koran) ilivyotabiriwa katika BIBLIA?

    Miaka F au ishirini na tatu, maneno ya Mungu (Qur'an) walikuwa truely bugia Muhammad. Hakuwa "mwandishi" ya Qur'an. Qur'an dictated kwake na Malaika Gabriel ambaye aliuliza Muhammad tu kurudia maneno ya Qur'an kama kwamba hakuzisikia. Maneno haya basi nia ya kumbukumbu na kwa maandishi na wale ambao kuwasikia wakati wa uhai wa Muhammad na chini ya usimamizi wake.

    Ilikuwa ni bahati mbaya kuwa nabii "kama Musa" kutoka "ndugu" wa Israeli (yaani kutoka lshmaelites) alikuwa pia kama ilivyoelezwa moja katika Vinywa Mungu nitatia maneno yake na kwamba yeye kusema kwa jina la Mungu, (Kumbukumbu 18:18-20). Ilikuwa ni bahati mbaya pia "Paraclete" ambayo Yesu ametabiri kuja baada yake ilikuwa kama ilivyoelezwa moja ambao "hutasema mwenyewe, ila yeye yo watasikia kwamba atakaposema (Yohana 16:13)

    Ilikuwa ni bahati mbaya kwamba mahusiano mwingine Isaya kati ya mjumbe kushikamana na Ke'dar na wimbo mpya (andiko katika lugha mpya) kuwa aliimba Bwana (Isaya 42:10-11). Uwazi zaidi, unabii Isaya "Kwa maana kwa kigugumizi midomo, ulimi na mwingine, atasema na watu hawa" (Isaya 28:11). Hii aya ya mwisho inaelezea kwa usahihi "midomo ya watu wageni" ya Mtume Muhammad kuonyesha hali ya mvutano na ukolezi alipitia wakati wa ufunuo. Suala jingine ni kwamba Qur'an kuhusiana iliteremshwa katika kipande milo-juu ya muda wa miaka ishirini tatu. Ni ya kuvutia kulinganisha hii na Isaya 28:10 whichspeaks ya jambo hilo.

    ReplyDelete
  6. KWAKINGELEZA.
    MUHAMMAD'S MIGRATION FROM MECCA TO MEDINA:
    PROPHECIED IN THE BIBLE?

    Habakkuk 3:3 speaks of God (God's help) coming from Te'man (an Oasis North of Medina according to J. Hasting's Dictionary of the Bible), and the holy one (coming) from Paran. That holy one who under persecution migrated from Paran (Mecca) to be received enthusiastically in Medina was none but prophet Muhammad .
    Indeed the incident of the migration of the prophet and his persecuted followers is vividly described in Isaiah 21:13-17 . That section foretold as well about the battle of Badr in which the few ill-armed faithful miraculously defeated the "mighty" men of Ke'dar, who sought to destroy Islam and intimidate their own folks who turned -to Islam.

    THE QUR'AN (KORAN) FORETOLD IN THE BIBLE?

    F or twenty-three years, God's words (the Qur'an) were truely put into Muhammad's mouth. He was not the "author" of the Qur'an. The Qur'an was dictated to him by Angel Gabriel who asked Muhammad to simply repeat the words of the Qur'an as he heard them. These words were then committed to memory and to writing by those who hear them during Muhammad's life time and under his supervision.

    Was it a coincidence that the prophet "like unto Moses" from the "brethren" of the Israelites (ie from the lshmaelites) was also described as one in whose mouth God will put his words and that he will speak in the name of God, ( Deuteronomy 18:18-20 ). Was it also a coincidence the "Paraclete" that Jesus foretold to come after Him was described as one who "shall not speak of himself, but whatsoever he shall hear, that shall he speak ( John 16:13 )

    Was it another coincidence that Isaiah ties between the messenger connected with Ke'dar and a new song (a scripture in a new language) to be sang unto the Lord ( Isaiah 42:10-11 ). More explicitly, prophesies Isaiah "For with stammering lips, and another tongue, will he speak to this people" ( Isaiah 28:11 ). This latter verse correctly describes the "stammering lips" of Prophet Muhammad reflecting the state of tension and concentration he went through at the time of revelation. Another related point is that the Qur'an was revealed in piece-meals over a span of twenty three years. It is interesting to compare this with Isaiah 28:10 whichspeaks of the same thing.

    ReplyDelete
    Replies
    1. You say that Habakkuk 3:3 mentions the Holy One and you claim that is Mohammad. Are you joking? How can Mohammad be holy. What does "holy" mean in Islam, anyway? Well, if to be holy is to be like Mohammad, then my friend, may the Lord God keep me forever away from such kind of holiness. Neither do I want to go to heaven whose God has such standards for holiness.

      You know as much as I do that Mohammad was not holy whatsoever.

      The Holy One in Habakkuk 3:3 refers to Jehovah – the God of Abraham, Isaac and Jacob and not to Mohammad. Am I reading you right or am I dreaming??!! And are you serious in this or are you just joking??

      Delete
    2. You say: “For twenty-three years, God's words (the Qur'an) were truely put into Muhammad's mouth. He was not the "author" of the Qur'an. The Qur'an was dictated to him by Angel Gabriel who asked Muhammad to simply repeat the words of the Qur'an as he heard them. These words were then committed to memory and to writing by those who hear them during Muhammad's life time and under his supervision.”

      Do you realize that Mohammad used to collapse and become unconscious when wahyi came to him? What kind of true God would bring His message in that way? And you say the words were written under Mohammad’s supervision. Please, do your homework again. That is not true.

      Don’t you guys tell the whole world that Mohammad was illiterate? How could he then supervise the writing of the Quran? And how can you convince me to become your brother in faith as you say, if you write things that are untrue, my friend?

      Read this:
      [Zaid b. Thabit said:] “The Prophet died and the Qur’an had not been assembled into a single place.” (Ahmad b. Ali b. Muhammad al ’Asqalani, ibn Hajar, Fath al Bari [13 vol., Cairo 1939], vol. 9, p. 9; italic emphasis ours). Read more here: http://www.answering-islam.org/authors/shamoun/quran_compilation.html

      Delete
  7. KWAMBA MTUME-Paraclete-MUHAMMAD

    Mpaka wakati wa Yesu (amani iwe juu yake), Waisraeli bado walikuwa wanasubiri kwa nabii kama Musa prophecied katika Kumbukumbu 18:18. Wakati Yohana Mbatizaji na Yesu, walimwuliza kama alikuwa na Kristo alisema "hapana". Wao wakamwuliza kama alikuwa na Elias alisema "hapana". Kisha, akimaanisha dhahiri Kumbukumbu 18:18, wakamwuliza "Je, wewe ni kwamba Mtume" na yeye akajibu, "hapana". (Yohana 1: 09-02 Januari 1).

    Katika Injili kulingana na Yohana (Sura ya 14, 15, 16) Yesu alisema "Paraclete" au mfariji ambaye atakuja baada yake, nani atapelekwa na Baba kama Paraclete mwingine, ambaye atawafundisha mambo mapya ambayo contemporaries wa Yesu angeweza kuvumilia. Wakati Paraclete ni kama ilivyoelezwa Roho wa kweli, (ambao maana hufanana Muhammad maarufu cheo Al-Amin, mwaminifu), yeye ni kutambuliwa katika aya moja kama Roho Mtakatifu (Yohana 14:26). Wajibu vile ni hata hivyo haiendani na hadhi ya Paraclete kwamba. Katika maneno ya Kamusi ya Biblia (ed. J. Mackenzie) "Hizi vitu, ni lazima alikubali wala kutoa picha kabisa kamili."

    Hakika historia inatuambia kwamba Wakristo wengi mapema kueleweka Paraclete kuwa mtu na si roho. Hii inaweza kueleza yafuatayo ambao waliitikia baadhi ambao walidai, bila mkutano vigezo kinachokadiriwa na Yesu, kwa kuwa awaited "Paraciete".

    Ilikuwa Mtume Muhammad (SAW) ambaye alikuwa Msaidizi, Msaidizi, msaidizi, admonisher kutumwa na Mungu baada ya Yesu. Alishuhudia ya Yesu, alifundisha mambo mapya ambayo hakuweza kuchukuliwa wakati wa Yesu, aliongea nini aliposikia (ufunuo), yeye anaishi na waumini (kupitia mafundisho yake zihifadhiwe vizuri). Mafundisho hayo utabaki milele kwa sababu alikuwa Mtume wa mwisho wa Mungu, tu Universal Mtume kuunganisha wote wa ubinadamu chini ya Mungu na katika njia ya kweli salama. Aliiambia ya mambo mengi ambayo kuja "Ikawa" katika mkutano minutest undani, kigezo uliotolewa na Musa kutofautisha kati ya nabii wa kweli na manabii wa uongo (Kumbukumbu 18:22). Yeye alifanya kukaripia ulimwengu wa dhambi, uadilifu na hukumu ya (Yohana 16:8-11)

    KWAKIZUNGU HAPOCHINI

    ReplyDelete
  8. THAT PROPHET- PARACLETE- MUHAMMAD

    U p to the time of Jesus (peace be upon him), the Israelites were still awaiting for that prophet like unto Moses prophecied in Deuteronomy 18:18 . When John the Baptist came, they asked him if he was Christ and he said "no". They asked him if he was Elias and he said "no". Then, in apparent reference to Deuteronomy 18:18 , they asked him "Art thou that Prophet" and he answered, "no". ( John 1: 1 9-2 1 ).

    In the Gospel according to John (Chapters 14, 15, 16) Jesus spoke of the "Paraclete" or comforter who will come after him, who will be sent by Father as another Paraclete, who will teach new things which the contemporaries of Jesus could not bear. While the Paraclete is described as the spirit of truth, (whose meaning resemble Muhammad's famous title Al-Amin, the trustworthy), he is identified in one verse as the Holy Ghost ( John 14:26 ). Such a designation is however inconsistent with the profile of that Paraclete. In the words of the Dictionary of the Bible , (Ed. J. Mackenzie) "These items, it must be admitted do not give an entirely coherent picture."

    Indeed history tells us that many early Christians understood the Paraclete to be a man and not a spirit. This might explain the followings who responded to some who claimed, without meeting the criteria stipulated by Jesus, to be the awaited "Paraciete".

    It was Prophet Muhammad (peace be upon him) who was the Paraclete, Comforter, helper, admonisher sent by God after Jesus. He testified of Jesus, taught new things which could not be borne at Jesus' time, he spoke what he heard (revelation), he dwells with the believers (through his well-preserved teachings). Such teachings will remain forever because he was the last messenger of God, the only Universal Messenger to unite the whole of humanity under God and on the path of PRESERVED truth . He told of many things to come which "came to pass" in the minutest detail meeting, the criterion given by Moses to distinguish between the true prophet and the false prophets ( Deuteronomy 18:22 ). He did reprove the world of sin, of righteousness and of judgement ( John 16:8-11 )

    ReplyDelete
    Replies
    1. You say that Mohammad was the promised comforter. Well, I don’t know what kind of meanings do you assign to words!! Just as Mohammad can’t be holy in any standard, he can’t be a comforter. He never was. How do you get comfort from someone who comes to kill you? Why is it that all your meanings of words so twisted? How? By the same standard you mean that Osama bin Laden was a comforter; all Moslems who blow themselves and others with bombs are comforters, etc. Is that so? Can you explain what comfort means to you? Maybe we understand this word differently, my friend.

      You say about Mohammad: He told of many things to come which "came to pass" in the minutest detail. Can you tell me at least one or two?

      You say: He did reprove the world of sin, of righteousness. How can you be a sinner and reprove the world of sin? What is to reprove of sin, by the way? What does righteousness mean?

      Delete
  9. WAS MABADILIKO YA UONGOZI DINI PROPHECIED?

    F ollowing kukataa mwisho Mwisraeli nabii, Yesu, ilikuwa ni kuhusu wakati kwamba ahadi ya Mungu kwa kufanya Ishmaeli kuwa taifa kubwa kutimizwa (Mwanzo 21:13, 18)

    Katika Mathayo 21:19-21, Yesu alisema mti wa mtini zimeharibika (symbol ya Biblia ya urithi wa kinabii) kusafishwa baada ya kupewa nafasi ya mwisho ya miaka mitatu (muda wa huduma ya Yesu) kutoa matunda. Katika aya ya baadaye katika sura hiyo hiyo, Yesu alisema: "Kwa hiyo, nawaambieni, Ufalme wa Mungu utaondolewa mbali na wewe, na kupewa taifa kuzaa matunda yake" (Mathayo 21:43). Taifa kwamba wazao Ishmaeli (jiwe kukataliwa katika Mathayo 21:42) ambayo ilikuwa ushindi dhidi ya nguvu super-wote wa wakati wake kama prophecied na Yesu: "Na ye yote kuanguka juu ya jiwe hilo atavunjika, lakini yeyote utaanguka, itakuwa saga kwake poda "(Mathayo 21:44).

    OUT la bahati mbaya WACHANGA?

    Mimi s inawezekana kwamba unabii mbalimbali alitoa hapa wote ni mmoja mmoja na pamoja nje ya misinterpretations muktadha? Ni kinyume kweli, kwamba vile infrequently alisoma mistari fit pamoja na mfululizo wazi uhakika na ujio wa mtu ambaye iliyopita mwendo wa historia ya binadamu, Mtume Muhammad (SAW). Je, ni busara kwa kuhitimisha kwamba unabii hizi zote, kuonekana katika vitabu mbalimbali ya Biblia inayozungumzwa na manabii mbalimbali kwa nyakati tofauti walikuwa wote bahati mbaya? Kama hili ni hivyo hapa ni mwingine ajabu "bahati mbaya"!

    Moja ya ishara ya nabii kuja kutoka Parani (Makka) ni kwamba yeye atakuja na "maelfu kumi ya watu wa Mungu" (Kumbukumbu 33:2 KJV). Hiyo ilikuwa ni idadi ya waamini ambao waliandamana Mtume Muhammad Parani (Makka) katika kurudi kwake ushindi, bloodless kwa watani wake kuharibu alama iliyobaki ya ibada ya sanamu katika Ka'abah.

    Mungu anasema kama ilivyonukuliwa na Musa:
    Na itakuwa, mtu kutomsikiliza maneno yangu atakayosema yule kwa jina langu, nitalitaka kwake. (Kumbukumbu 18:19)

    Wapendwa Wasomaji:
    Naomba mwanga wa ukweli uangaze katika moyo wako na akili. Hata itakuongoza amani na certitude katika maisha haya na neema ya milele katika Akhera.

    Ameen

    ReplyDelete
  10. WAS THE SHIFT OF RELIGIOUS LEADERSHIP PROPHECIED?

    F ollowing the rejection of the last Israelite prophet, Jesus, it was about time that God's promise to make Ishmael a great nation be fulfilled ( Genesis 21:13, 18 )

    In Matthew 21:19-21 , Jesus spoke of the fruitless fig tree (A Biblical symbol of prophetic heritage) to be cleared after being given a last chance of three years (the duration of Jesus' ministry) to give fruit. In a later verse in the same chapter, Jesus said: "Therefore, say I unto you, The Kingdom of God shall be taken away from you, and given to a nation bringing forth the fruit thereof" ( Matthew 21:43 ). That nation of Ishmael's descendants (the rejected stone in Matthew 21:42 ) which was victorious against all super-powers of its time as prophecied by Jesus: "And whosoever shall fall on this stone shall be broken, but on whomsoever it shall fall, it will grind him to powder" ( Matthew 21:44 ).

    OUT OF CONTEXT COINCIDENCE?

    I s it possible that the numerous prophecies cited here are all individually and combined out of context misinterpretations? Is the opposite true, that such infrequently studied verses fit together consistently and clearly point to the advent of the man who changed the course of human history, Prophet Muhammad (peace be upon him). Is it reasonable to conclude that all these prophecies, appearing in different books of the Bible and spoken by various prophets at different times were all coincidence? If this is so here is another strange "coincidence"!

    One of the signs of the prophet to come from Paran (Mecca) is that he will come with "ten thousands of saints" ( Deuteronomy 33:2 KJV ). That was the number of faithful who accompanied Prophet Muhammad to Paran (Mecca) in his victorious, bloodless return to his birthplace to destroy the remaining symbols of idolatry in the Ka'bah.

    Says God as quoted by Moses:
    And it shall come to pass, that whosoever will not hearken unto my words which he shall speak in my name, I will require it of him. ( Deuteronomy 18:19 )

    Dear Readers:
    May the light of truth shine in your heart and mind. May it lead you to peace and certitude in this life and eternal bliss in hereafter.

    AMEEN

    ReplyDelete
    Replies
    1. You say: In Matthew 21:19-21 , Jesus spoke of the fruitless fig tree (A Biblical symbol of prophetic heritage) to be cleared after being given a last chance of three years (the duration of Jesus' ministry) to give fruit.

      This is a lie. You twisted the scriptures in order that it agrees with quranic desires. The real meaning of it is given just right there. The Lord was teaching a lesson about faith. He cursed the fruitless tree and it weathered. It is written:
      And when the disciples saw it, they marvelled, saying, How soon is the fig tree withered away!

      Jesus answered and said unto them, Verily I say unto you, If ye have faith, and doubt not, ye shall not only do this which is done to the fig tree, but also if ye shall say unto this mountain, Be thou removed, and be thou cast into the sea; it shall be done. And all things, whatsoever ye shall ask in prayer, believing, ye shall receive.
      ………………………………..

      You say: In a later verse in the same chapter, Jesus said: "Therefore, say I unto you, The Kingdom of God shall be taken away from you, and given to a nation bringing forth the fruit thereof" ( Matthew 21:43).

      This is another obvious lie.

      It is written: For I would not, brethren, that ye should be ignorant of this mystery, lest ye should be wise in your own conceits; that blindness in part is happened to Israel, until the fulness of the Gentiles be come in. And so all Israel shall be saved: as it is (Romans 11:25-26).

      The “nation” being spoken of here is all non-Israelite races. They are generally called “Gentiles” The Bible says, because Israelites rejected the Messiah, then Kingdom of God has been taken away from them. And this is just for a short time. In the end, God will go back to them again and save them. By that time they will accept Jesus Christ for what He is – their god and Messiah.

      Matthew 21:43 is NOT referring to the Ishmaelites at all.

      Delete
    2. You claim that the stone that the builders refused is the Ishmaelites, saying: That nation of Ishmael's descendants (the rejected stone in Matthew 21:42 )

      Friend, that’s a lie. Read here: Be it known unto you all, and to all the people of Israel, that by the name of Jesus Christ of Nazareth, whom ye crucified, whom God raised from the dead, even by him doth this man stand here before you whole. THIS IS THE STONE which was set at nought of you BUILDERS, which is BECOME THE HEAD OF THE CORNER. Neither is there salvation in any other: for there is none other name under heaven given among men, whereby we must be saved. (Acts 4:10-12).

      Delete
  11. SASA KAMA HUJAELEWA NA HAPO NAKUAPATIA LINK HII HAPA USOME VIZURI THE UNIJIBU VIZURI NI MTUGANI BIBLIA ILIKUWA INA ONGELEA HAPO NA MATUKIO YAKU LIZISHA.
    http://www.islamicity.com/mosque/muhammad_bible.htm

    ReplyDelete
    Replies
    1. My advice to you: If you wish for me to become your brother in faith, you might succeed if you help me to understand the Quran. Your attempts to use the Bible will not bear any fruits because EVERY ONE SCRIPTURE that you use is falsified.

      However, I assure and promise you,if you convince me of the goodness of the quran, Islam and Mohammad, I shall willingly accept Islam. Why should I reject a path to heaven and embrace another that will lead me to hell. That'll be very strange, isn't it?

      Delete
    2. MUHAMMAD S.A.W. KATIKA BIBLIA
      Kuja kwa Nabii Muhammad s.a.w. si jambo geni kwa watu wa Kitabu maana kumebashiriwa mara nyingi katika Biblia. Haya
      yanathibitishwa na Qur’an Tukufu inayosema hivi juu ya waaminio kwamba ni wale “Ambao wanamfuata Mtume, Nabii aliye Ummi,ambaye wao humkuta ameandikwa kwao katika Taurati na Injili. Huwaamuru yaliyo mema na kuwakataza yaliyo mabaya.” (7:158).
      Maneno haya “Ameandikwa kwao katika Taurati na Injili”,
      yanaonyesha kwamba Nabii Muhammad s.a.w. si Mtume wa kitaifa
      bali ametumwa kwa mataifa yote ya wanadamu.
      Mtume Muhammad s.a.w. kwa kuwa ni m’bora wa mitume wote
      (Sura 33:41) naye alitumwa kwa watu wote (Sura 7:159) bishara zinazotabiri kuja kwake zinapatikana katika vitabu vya dini zote.
      Hapa vimetajwa Taurati na Injili. Katika vitabu hivyo mna bishara nyingi zenye kuwawezesha Mayahudi na Wakristo kumtambua Mtume Muhammad s.a.w. Hapa tutaeleza baadhi ya bishara hizo.

      Delete
  12. BISHARA YA KWANZA.
    Siku ya mkutano katika Horeb, wana wa Israeli walipokataa kusikia sauti ya Mwenyezi Mungu. Mungu alimwambia Musa. "Wametenda vema kusema walivyosema, mimi nitawaondokeshea nabii
    miongoni mwa ndugu zao mfano wako wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake. naye atawaambia yote nitakayomwamuru.
    "Hata itakuwa, mtu asiyeyasikiliza maneno yangu atakayoyasema yule kwa jina langu, nitalitaka kwake. Lakini nabii atakayenena neno kwa kujikinai kwa jina langu, ambalo sikumwagiza kulinena,au atakayenena kwa jina la miungu wengine, nabii yule atakufa."
    (Kumbukumbu la Torati 18.16-20).
    Bishara hii tukufu inaonyesha mambo haya yafuatayo.
    (i) Wana wa Israeli hawatasikia tena sauti yenye nguvu ya Mwenyezi Mungu.
    (ii) Anayebashiriwa kufika ni Nabii.
    (ill) Ataondokeshwa miongoni mwa ndugu wa Waisraeli.
    (iv) Atakuwa mfano wa Musa.
    (v) Maneno atakayoyasema yatakuwa ufunuo wa Mungu.
    (vi) Atawaambia yote atakayoambiwa na Mungu.
    (vii) Atanena hayo kwa jina la Mungu.
    (viii) Asiyetaka kusikia maneno hayo ataadhibiwa.
    (ix) Nabii wa uwongo atakayesingizia kutumwa na Mungu
    atakufa.
    (x) Atakayesema kwa jina la miungu wengine atauawa.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Jinsi ulivyochambua aya hizi hapa Ibra ni sawasawa kabisa. Isipokuwa tu kipengele cha (x) si sawa. Hajasema kuwa 'atauawa' bali 'atakufa'

      Delete
    2. Mr.John, nakusikitikia sana juu ya imani yako, sasa hebu nithibitishie kitu kimoja, kwa kuwa andiko linalosema yesu ni nabii ndani ya biblia umelitoa, sasa nitolee andiko kama hilo ambalo yesu anajitangaza kuwa mungu.
      Jingine uniambie kama mungu ana ndugu kama inavyosema hiyo aya.
      Alafu ukasisitiza kabisa ya kwamba nabii ni yule aletae ujumbe wa mungu kwa wanadamu. Safi sana na ndivyo ilivyo. Sasa nyinyi wenzetu kimewakuta nini mpaka binadamu mwenzenu mnantaja kuwa mungu na huku ushahidi wa maandiko uko wazi? "'WAKUJUWE WEWE MUNGU WA PEKEE NA YESU KRISTO ULIENTUMA''
      ''NAENDA ZANGU KWA BABA NAYE NI BABA YENU KWA MUNGU WANGU NAYE NI MUNGU WENU''
      Mr. John, hili swala la unabii kwa ndugu wa wana wa israeli lina msingi wake, ndio maana kama unakumbuka majadiliano ya nyuma mimi nilijaribu kukuelekeza juu ya msingi alioweka mwenyewe mungu kupitia kwa Mzee Ibrahim.
      Kwa Isaka tumeona kile ambacho mungu alihaidi kimetokea, sasa ilibidi kwa upande wa Ishmaeli juu ya kuwa TAIFA KUBWA AU TAIFA KUU kama ilivyokuwa kwa baba yake nalo litokee. Mr. John unaposikia TAIFA KUU lazima ukae chini na ulitafakari nini maana yake. usije ukadhani Taifa kuu kuwa labda eneo la nchi bali ni kiroho.
      ''MKONO WAKE UTAKUWA JUU YA WATU WOTE NA MKONO WA WATU WOTE UTAKUWA JUU YAKE NAYE ATAKAA MBELE YA NDUGU ZAKE.'' Mr.John, unaposikia mkono usije ukadhani ule mkono wenye viganja la hasha bali ni mamlaka ya mbinguni. Ndio maana akamalizia na kusema atakaa mbele ya ndugu zake, sasa sio kukaa mbele kama mkutanoni, bali mamlaka yake ni juu ya yote waliopewa wengine , kama vile Isaka alipewa kwa ajili ya uzao wake pekee.
      Kwa mantiki hiyo ndugu John habari ya Kumbukumbu la torati ina msingi wake. Ndugu wa wana wa Israeli ni Ishmaelia.
      John, wewe umeongea kile ulichoandika, lakini mimi siwezi kukubaliana na wewe kwamba we ni mwerevu sana wa maandiko. Sana sana wewe, nukuu zako zote 98% ni za Paulo, ambae anapingana na yesu na mungu (shetani)

      Delete
    3. Ibra habari za leo tena ndugu yangu. Shida yako wewe rafiki yangu (au nyie waislamu) ni kwamba mnatunga vigezo nyie wenyewe halafu mnataka kila mtu avifuate kana kwamba hivyo ndio vigezo pekee.

      Kwa hili swali lenu la siku zote kwamba: “Nitolee andiko ambalo Yesu anajitangaza kuwa Mungu,” au “Ni wapi ambako Yesu anajitangaza kuwa Mungu?” mnataka kuaminisha watu kuwa ili Yesu aaminike kuwa ni Mungu, basi ni lazima ajitangaze kuwa Mungu.

      Biblia ni Neno la Mungu lote!! Awe anasema Yohana, au Paulo mwenyewe, au Yesu au mwandishi mwingine yeyote ina maana kuwa NI MUNGU NDIYE ANASEMA. Hicho kigezo chenu ni unbiblical. Pamoja na kwamba kigezo si cha kibiblia, lakini bado nitakupa ushahidi wa kutosha tu.

      Sasa, ufuatao ni ushahidi kwamba Yesu ni Mungu.

      MANENO YA YESU MWENYEWE

      (Yohana 8:58) Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye IBRAHIMU ASIJAKUWAKO, MIMI NIKO.

      (Yohana 10:30) MIMI NA BABA TU UMOJA.

      (Yohana 10:38) lakini nikizitenda, ijapokuwa hamniamini mimi, ziaminini zile kazi; mpate kujua na kufahamu ya kuwa BABA YU NDANI YANGU, NAMI NI NDANI YA BABA.

      (Yohana 14:9) Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? ALIYENIONA MIMI AMEMWONA BABA; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?

      (Ufunuo 1:17) MIMI NI WA KWANZA NA WA MWISHO

      (Ufunuo 22:13) MIMI NI ALFA NA OMEGA, MWANZO NA MWISHO, WA KWANZA NA WA MWISHO.


      MANENO YA YESU KUPITIA WATUMISHI WAKE
      (Yohana 1:1) Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye NENO ALIKUWA MUNGU.

      (Yohana 20:28) Tomaso akajibu, akamwambia, BWANA WANGU NA MUNGU WANGU!

      (Matendo 20:28) Jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo, ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi ndani yake, mpate kulilisha kanisa lake MUNGU, ALILOLINUNUA KWA DAMU YAKE MWENYEWE.

      (Wakolosai 1:16) Kwa kuwa KATIKA YEYE VITU VYOTE VILIUMBWA, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoonekana; ikiwa ni vitu vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia yake, na kwa ajili yake.

      (Wakolosai 2:9) Maana KATIKA YEYE UNAKAA UTIMILIFU WOTE WA MUNGU, kwa jinsi ya kimwili.

      (1Timotheo 3:16) MUNGU ALIDHIHIRISHWA KATIKA MWILI

      (Tito 2:13) tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa KRISTO YESU, MUNGU MKUU NA MWOKOZI WETU

      …………………………………………………….
      Ibra, kuhusu suala la Ishameli na taifa lake siwezi kukulazimisha kuamini vinginevyo. Nimeshakufafanulia jinsi Biblia inavyosema; huku nikikutolea ushahidi wa kimaandiko kutoka ndani ya Biblia.

      Wewe (au ninyi Waislamu) hamumpendi Paulo, lakini Mungu anampenda. Na hakuna mtume aliyefanya kazi kubwa na kwa uaminifu ya kumtetea Kristo na Injili ya Ufalme wa Mungu kama Paulo.

      Mimi ningekushauri hivi, badala ya kutumia hiyo chuki yako kwa Paulo kukataa ushahidi wa Biblia (maana mimi siwezi kukataa andiko la Biblia kwa sababu Ibra anasema hampendi mwandishi wake), ni vizuri basi utoe ushahidi wa kimaandiko juu ya hoja zako – na si kuniambia tu: “nukuu zako zote 98% ni za Paulo, ambae anapingana na yesu na mungu (shetani).”

      Utamshawishi nani kwa maneno kama haya? Of course, utamshawishi yule asiyejua, au asiyetaka kuchunguza ukweli wa mambo. Lakini rafiki yangu Ibra, mjadala mzuri ni ule unatokana na hoja zenye ushahidi si maoni (opinion).

      Delete
    4. Mr. John, biblia sio neno la mungu, bali ni kitabu cha historia. Ndio maana ukisoma dibaji yamewekwa wazi kabisa. Kwa mujibu wa dibaji, maendelezo ya majina yote ya watu na ya mahali, ilikuwa lazima YAFIKIRIWE tena na mengine KUTENGENEZWA; jambo hili lilikuwa kazi kubwa sana, kwa sababu yako majina zaidi ya 3500. Tena jina la kitabu chenyewe LILIFIKIRIWA kama kiitwe''maagano mapya'' au ''agano jipya''.
      2wakor. 11:17 Paulo anasema alinenalo aneni agizo la mungu, ila kwa kutaka kujisifu tu.
      Mr.John, maandiko uliyoyanukuu, hayamfanyi jesus awe mungu kwa sababu:
      Yeremia anajieleza mwenyewe katika Kitabu cha Yeremia 1: 4 – 5 kama ifuatavyo: “Mwenyezi Mungu aliniambia neno lake: ‘Kabla hujachukuliwa mimba, mimi nilikujua, kabla hujazaliwa, mimi nilikuweka wakfu; nilikuteua uwe nabii kwa mataifa”.
      Nabii Solomoni amenukuliwa katika Methali 8: 23 – 27, kuwa alisema: “Nilifanywa mwanzoni mwa nyakati, nilikuwako kabla ya dunia kuanza. Nilizaliwa kabla ya vilindi vya bahari, kabla ya chemchemi zibubujikazo maji. Kabla ya milima haijaumbwa, na vilima kusimamishwa mahali pake, mimi nilikuwako tayari. Kabla Mungu hajaumba dunia na mashamba yake, wala chembe za kwanza za mavumbi ya dunia. Nilikuwako wakati alipoziweka mbingu, wakati alipopiga duara juu ya bahari”.
      Kulingana na Yobu 38: 4 na 21, Mwenyezi Mungu anamuhotubia Nabii Yobu kama ifuatavyo: “Ulikuwa wapi nilipoiweka misingi ya dunia? Niambie, kama una maarifa. … Wewe unapaswa kujua, wewe ambaye umekwisha ishi miaka mingi”
      Hivyo, kauli ya yesu: “Kabla Abrahamu hajazaliwa mimi niko”, haiwezi kutumika kama dalili ya uungu wake. Katika muktadha wa Yohana 8: 54 – 58, Yesu anadaiwa kuwa alisema kuhusu elimu ya Mwenyezi Mungu kuhusu Manabii wake, ambayo ipo kabla ya kuumbwa kwa ulimwengu huu.
      (Yohana 10:30) MIMI NA BABA TU UMOJA.
      Ibara inaweza kumaanisha uungu wa Yesu, ikiwa sehemu nyengine za Injili hiyo zitapuuzwa. Hata hivyo, katika Yohana 14: 20, Yesu amenukuliwa akiwaambia wanafunzi wake, “Siku ile itakapofika mtajua kwamba mimi niko ndani ya Baba, nanyi mko ndani yangu, nami ndani yenu”. Hivyo, ikiwa kauli ya Yesu “Mimi niko ndani ya Baba, naye Baba yuko ndani yangu” inamaanisha kuwa yeye ni Mungu, wanafunzi wake pia watakuwa hivyo. Kauli hii ina maana ya umoja katika malengo na sio umoja katika dhati na asili. Maana ya tafsiri hii inazidi kuhimizwa katika Yohana 17: 20 – 21, pale Yesu aliposema: “Siwaombei hao tu, bali nawaombea pia wote watakaoamini kutokana na ujumbe wao. Naomba ili wote wawe kitu kimoja. Baba! Naomba wawe ndani yetu kama vile wewe ulivyo ndani yangu nami ndani yako. Naomba wawe kitu kimoja ili ulimwengu upate kuamini kwamba wewe ulinituma.
      Aya nyingine ambayo Wakristo wanapenda kuitumia ni Yohana 14:9. Ndani yake Yesu anamwambia Filipo:
      "Aliyeniona mimi amemuona Baba".
      Ni vizuri kwa Wakristo wanaotumia aya hii kuthibitisha uungu wa Yesu kwa kuangalia Yohana 5:37, ambapo Yesu anasema:
      "Naye Baba aliyenituma hunishuhudia. Nanyi hamjapata kamwe kusikia sauti Yake, wala kuuona uso wake".
      Kama Mkristo atakuwa hakuridhika na aya hiyo juu basi anaweza kuangalia Agano la Kale katika kitabu cha kutoka 33:20, Mungu anamwambia Musa:
      "Huwezi kuniona uso wangu, maana mwanadamu hataniona akaishi".
      Ili kuielewa vizuri aya hii ya Yohana 14:9, ni lazima tuiangalie kiusanifu: Kwa vile Yesu alikuwa ameleta ujumbe wa Mungu, kumuona na kumsikiliza yeye ilikuwa ni sawa na kuwepo Mwenyezi Mungu. Yesu alikuwa anafanya mambo kwa amri ya Mwenyezi Mungu - si kwamba yeye mwenyewe alikuwa Mungu. Hii inaonekana zaidi katika Yohana 8:19, ambapo Yesu anasema:
      "Kama mngenijua mimi, hata Baba pia mngemjua".

      Delete
    5. Katika Kitabu cha Ufunuo 1, ayah ya 8, inaonyeshwa kuwa Yesu alisema yafuatayo kuhusu yeye mwenyewe: “Mimi ni Alfa na Omega”, asema Bwana, aliyeko, aliyekuwako na anayekuja, Mwenye Nguvu”. Hizi ni sifa za Mwenyezi Mungu. Hivyo, Yesu, kulinagana na Wakristo wa mwanzo, hapa anadai uungu. Hata hivyo, maneno yaliyotajwa hapo juu, ni kulingana KJV. Katika RSV, wanazuoni wa Biblia walisahihisha tafsiri na kuandika: “Mimi ni Alfa na Omega”, asema Bwana Mungu, aliyeko, aliyekuwako na anayekuja, Mwenye Nguvu”. Masahihisho pia yalifanywa kwa New American Bible (Biblia Mpya ya Marekani) iliyochapishwa na Katoliki. Tafsiri ya Ayah hiyo imerekebishwa ili kuiweka katika muktadha wa sawa kaa ifuatavyo: “Bwana Mungu anasema: ‘Mimi ni Alfa na Omega, yule aliyeko na aliyekuwako na anayekuja, Mwenye Nguvu’”. Kwa masahihisho haya, ni dhahiri kuwa hii ni kauli ya Mwenyezi Mungu wala sio kauli ya Nabii yesu.
      HAPO MWANZO KULIKUWAPO NENO
      Neno la mungu limedhihirishwa...wapi mungu kupitia yesu kasema ili hili andiko liwe na uzito? yesu kasema tujifunze kwake. Usituletee kauli ambazo hazina ushahidi kama inatoka kwa mungu.
      Yohana 1: 1 na 14, “Hapo mwanzo, lilikuwepo Neno; na Neno lilikuwa na Mungu, na neno lilikuwa Mungu… Na Neno likawa nyama (mwanaadamu), na likakaa kwetu pamoja nasi, likiwa limejawa neema na ukweli”. Hata hivyo, kauli hizi hazikusemwa na Yesu Kristo wala hazikunasibishwa naye na mtunzi wa Injili kulingana na Yohana. Hivyo misitari hii si hoja wala dalili kwa uungu wa Yesu, hasa unapozingatia shaka walizonazo wanazuoni Wakristo kuhusu Injili ya Nne. Wanazuoni wa Biblia waliotunga The Five Gospels (Injili Tano) wamesema: “Sura mbili zilizochorwa na Yohana na waandishi wa Injili tatu nyengine (Synoptic Gospels, yaani Injili za Mathayo, Marko na Luka) haziwezi kuwa zote kwa pmaoja kuwa ni sahihi kihistoria. Maneno yaliyonasibishwa na Yesu katika Injili ya Nne ni kazi ya mwinjilisti kwa sehemu nyingi, na inatoa mawazo ya ukuuzi wa lugha ya jamii ya Yohana ya Kikristo”.
      Kabla ya wakolosai 1:16 anza na wakolosai 1:3.
      Pamoja na hayo yote huyu hawezi kututangazia mungu. Katoa wapi? Mbona injili 3 za mwanzo amna kitu icho cha yesu kuwa mungu? Usifanye masihara na jambo zito la namna hiyo ndugu yangu.
      Swala la Ishmaeli na isaka hata mimi nimekutolea maandiko yakukutosha kabisa. Wewe ndio mwenye chuki na ishmaeli. Mungu ametoa ahadi kwa ishmaeli na isaka.
      MUNGU ATAFANYA AGANO NA ISAKA KWA AJILI YA UZAO WAKE.
      ISHMAELI ATAKUWA TAIFA KUU KAMA BABA YAKE YAANI ANARITHI BARAKA ZA BABA YAKE.
      NARUDIA TENA KUKUELEKEZA. KUMBUKA MAANDIKO YASEMAVYO, YA KUWA MUNGU AMEFANYA MAAGANO MAWILI MOJA NA IBRAHIM NA JINGINE NA ISAKA.
      AGANO LA IBRAHIM NI KWA AJILI YA WATU WOTE (TAIFA KUU) NA LA ISAKA KWA AJILI YA UZAO WAKE. HILI TUMELIONA JUU YA MLOLONGO MZIMA YA UNABII.
      SASA BASI, ISMAELI NI MRITHI WA AGANO LA WATU WOTE TAIFA KUU), MAANDIKO NIMEKUONYESHA MR.JOHN UBISHI HAUTAKUSAIDIA KITU.
      Kuhusu Paulo mimi simchukii, nayachukia mafundisho yake hayaendani na maagizo ya mungu na amewatumbukiza watu wengi sana kwenye uongo.
      Mfano Paulo anahubiri imani peke yake pasipo matendo ambayo mungu ameagiza binadamu watekeleze kama kweli wana imani.
      Mr. amini na usiamini imani bila matendo sio kitu. Kwa sababu hata shetani anayo imani kuwa mungu yupo lakini matendo hana. Sasa wewe ukiwa una imani kama shetani alivyo nae unapishananae wapi?
      Anenalo paulo, aneni agizo la bwana....

      Delete
  13. Sasa ni watu wawili wanaosemwa kuwa wametabiriwa katika bishara hiyo. Wakristo wanasema ni Yesu, na Waislamu tunasema ni Muhammad s.a.w. Bishara yenyewe haitaji jina la mtu ye yote, ila tu imeeleza alama kumi za Nabii huyo.
    Basi tupeleleze alama hizo zinamwangukia nani katika manabii hawa wawili.
    (i) Katika bishara hiyo Waisraeli wanaambiwa kwamba hawatasikia tena sauti ya Mungu. Na inajulikana pote ya kuwa Yesu alikuwa Mwisraeli aliyezaliwa katika ukoo wa Daudi (Mathayo.
    1:1). Mtume Muhammad s.a.w. alikuwa Mwarabu. Hakuwa katika kizazi cha Waisraeli kilichonyimwa baraka za Mungu, kwa kukataa kwao kusikia sauti ya Mungu.
    (ii) Bishara inasema huyo anayebashiriwa kufika ni nabii.
    Wakristo wanaamini ya kwamba Yesu alikuwa “Mungu-Mwana”
    au Mungu Mwenyewe, nao hawataki kabisa Yesu itwe nabii. Lakini Mtume s.a.w. aliitwa Rasuulullaahi (Mtume wa Mungu) na pia Nabiyyullaahi (Nabii wa Mungu).
    (iii) lkumbukwe kwamba nabii Ibrahim - baba wa manabii - ndiye aliyemzaa Ismaeli na Isihaka. Wazao wa Ismaeli ndio Waarabu, na wazao wa
    Isihaka ndio Waisraeli. Mtume Muhammad s.a.w.
    alitokana na Waismaeli ambao ni ndugu wa waisraeli, kama inavyoagua bishara hiyo. Lakini Yesu mwenyewe ni Mwisraeli, wala hakutoka katika ndugu wa Waisraeli. Hivyo bishara hii si yake.
    (iv) Bishara inaeleza tena ya kuwa mtume huyo atakuwa mfano wa Musa. Nasi tunaona ya kuwa Mtume Muhammad s.a.w. ndiye anayeitwa mfano wa Musa katika Kurani tukufu (sura 73:16). Yesu
    angewezaje kujifanya kama Musa hali mwenyewe alikuwa chini ya Sheria ya Musa? (Mathayo 5:17, 7:12, Marko 10:19. Matendo 24:14). Hali ya Mtume Muhammad s.a.w. na ya Nabii Musa zinafanana sana. Nabii Musa alizaliwa na wazazi wawili wala
    hakulaumiwa katika kuzaliwa kwake. Tena Musa alioa, alipewa Sheria mpya, alihama nchi yake baada ya kupewa utume, alipigana na adui zake, nao wakaangamia mbele ya macho yake, alikufa
    kifo cha kawaida, walitokea maimamu na mawalii katika umati wake, na mwishowe alikuja Masihi kusimamisha Sheria ya Musa.
    Hayo yote yalipatikana kwa Mtume Muhammad s.a.w. na hivyo wamefanana kabisa. Lakini hakuna hata alama moja ya hizo inayopatikana katika dhati ya Yesu sawa na itikadi za Wakristo.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Ibra, katika (i) hapo juu umepindisha mambo tayari. Kitendo cha Israeli kuomba wasisikie sauti ya Mungu hakikuwanyima baraka kama unavyosema. Badala yake kilikuwa ni cha sifa mbele za Mungu. Mungu aliwasifu na hata akasema 'wametenda vema'. Katika (ii) ulichosema si kweli pia. Yesu ni nabii kabisa. Mafarisayo walipomchukia Yesu: Yesu akawaambia, NABII hakosi kupata heshima, isipokuwa katika nchi yake, na nyumbani mwake mwenyewe (Mat 13:57). Mafarisayo walimwambia Yesu aondoke Yerusalemu kwa sababu Herode anataka kumuua: Akawaambia, Nendeni, mkamwambie yule mbweha, Tazama, leo na kesho natoa pepo na kuponya wagonjwa, siku ya tatu nakamilika. Pamoja na hayo imenipasa kushika njia yangu leo na kesho na kesho kutwa; kwa kuwa haimkini NABII aangamie nje ya Yerusalemu (Lk 13:32-33). Kwa hiyo, Yesu ni nabii. Nabii ni mtu anayeleta ujumbe wa Mungu kwa wanadamu.

      Kuhusu masuala ya 'nabii kutoka miongoni mwa ndugu zao' na kuhusu suala la 'nabii kuwa mfano wa Musa', hayo nimeshayaongelea sana sijui kwa nini unayaleta tena hapa. Yote mawili hayahusiani KAMWE na Muhammad. Unarudi na masuala yaleyale ambayo tulishayamaliza!! Soma tena makala hayahaya ya "Je, Muhammad Ametabiriwa Kwenye Biblia? - Sehemu ya 2".

      Delete
  14. (v) Bishara inaendelea kusema: “Nami nitatia maneno yangu kinywani mwake”. Yaani Mungu atamteremshia maneno yake.
    Alama hii pia haionekani katika Yesu. Wakristo wanaamini ya kuwa Yesu alikuwa Mungu, kwa hivyo hakukuwa na haja ya kufunuliwa maneno kutoka kwa Mungu. Zaidi ya hayo, Kurani ndiyo Sheria ya pekee inayostahili kuitwa “Maneno ya Mungu”, maana haina hata neno moja lisilotoka kwa Mungu Mwenyezi.
    (vi) Mtume s.a.w. anaambiwa na Mwenyezi Mungu kufikisha yote aliyoteremshiwa (Kurani tukufu 5.68). Yesu aliwaambia wanafunzi wake ya kuwa hatawaambia yote (Yohana 16.12-13).
    Hivyo bishara hii haimhusu Yesu.
    (vii) Alama ya saba pia haionekani katika Yesu. Mtu anayesoma Injili anajua ya kwamba Injili yo yote haikuanzishwa kwa jina la Mungu. Yesu anasema mara kwa mara. “Bali mimi nawaambieni”
    (Mathayo 5:22. 28, 34. 39. 44). Luka anasema, ameandika Injili yake kwa sababu. “Nimeona vema mimi nami kwa kuwa nimejitafutia usahihi wa mambo hayo yote tangu mwanzo, kukuandikia kwa taratibu, Theofile Mtukufu” (Luka 1:3-4). Hasemi
    kwamba alifunuliwa na Mungu, au ameongozwa na Roho Mtakatifu, wala hakuandika Injili hiyo ili watu wote waisome, bali alimwandikia mtu mmoja tu, Theofile. Paulo alisema. “Kwa habari za wanawali, sina amri ya Bwana. Lakini natoa shauri langu” (Wakorintho 7:25).
    Ni dhahiri ya kwamba lnjili za leo ni mkusanyiko wa maneno ya watu mbali mbali. Lakini Kurani inataja jina la Mwenyezi Mungu katika mwanzo wa kila sura, na inaonekana Mungu alikusudia
    kutimiza alama hiyo wazi wazi. Tena Mtume s.a.w. kabla ya kuanza kazi yo yote alikuwa anataja jina la Mwenyezi Mungu.
    (viii) Waliokataa kusikiliza maneno ya Mungu yaliyotoka kinywani mwa Mtume s.a.w. waliadhibiwa hapa hapa duniani. Vita vikali
    vilivyoangamiza maadui wa Uislamu vilikuwa adhabu ya Mwenyezi Mungu iliyoahidiwa katika bishara hii, na bado kuna adhabu ya akhera itakayowawakia walio maadui wa haki.
    (ix) Wapinzani wa Uislamu wanasema ya kwamba Mtume s.a.w.alizua uwongo. Bishara hii inawajibu na kusema mtu yeyote atakayemzulia Mungu atauawa. Mtume s.a.w. alikaa miaka mingi duniani na akisha maliza kazi yake akafariki kifo cha kawaida.
    Lakini Yesu je? Tukifuata imani ya Wakristo kuwa aliuawa msalabani, tunashurutishwa kusema ya kuwa (Mungu apishe mbali) alikuwa mwongo, maana bishara yasema kuwa nabii wa uwongo ndiye atauawa. Hivyo kufaulu kwa Mtume s.a.w. na
    maendeleo ya kazi yake ni dalili zilizo wazi za ukweli wake.
    (x) Bishara inaeleza tena ya kuwa mwenye kusema neno kwa jina la miungu wengine “Nabii yule atakufa”. Kwa kuwa Mtume s.a.w. hakuuawa basi imethibitika ya kwamba yote aliyosema alifunuliwa na Mungu.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Ibra hebu kuwa na msimamo. Kila mara nawauliza ninyi waislamu swali hili: Ninyi mnasema kuwa Biblia imepindishwa hivyo haiaminiki. Kwa nini unatumia maneno unayoamini kuwa si ya Mungu kwa ajili ya kujenga hoja za kumtetea Mungu? Huo si unafiki? Ukiambiwa Biblia ni neno la Mungu unasema si neno la Mungu kwa sababu imeingizwa maneno ya kibinadamu. Ukiambiwa Muhammad si mtume wa Mungu wa kweli, unasema mbona “mbona maneno ya Mungu kwenye Biblia yanasema hivi na hivi?” Huo ni unafiki, si ndiyo?

      Sasa nakuuliza hivi, kwa kuwa hata wewe unatambua fika kwamba Mungu wa Biblia na wa Wakristo ni Baba, Yesu, Roho Mtakatifu (yaani Yehova) ina maana kuwa ujumbe wa Biblia unatoka kwa Yesu ni Mungu. Na nyie mnaamini kuwa Allah SI Yesu. Kwa hiyo, kwa kuwa Muhammad ni mtume wa Allah, ni wazi moja kwa moja kuwa SI mtume wa Yesu. Sasa, iweje maneno ya Yesu (Biblia) yamwongelee Muhammad. Kama ni hivyo, ina maana kwamba unakubali kuwa Yesu ni Mungu. Na kama Yesu ni Mungu, hoja zako zote hazina mantiki hata kidogo.

      Sasa, habari ya Mungu kutia maneno kwenye kinywa cha nabii nayo nimeshaiongelea kiasi cha kutosha. Kwanza ikishasoma makala yangu inayoonyesha kuwa Muhammad wala KAMWE hafanani na Musa, hizi hoja zingine hazina hata sababu ya kuzijibu, maana zinakosa mantiki. Unaposema kuwa Yesu aliwaambia kwamba ‘hatawaambia yote’, kwani katika Kumbukumbu la Torati 18.16-20 uliyonukuu juu ya nabii ajaye, ni wapi ambapo Mungu alisema kuwa nabii huyo atasema YOTE??? Andiko linasema tu kwamba nabii huyo atasema maneno ya Mungu; halisemi kuwa atasema YOTE! Kwa hiyo, Yesu kusema kuwa mengine angekuja kuyasema Roho Mtakatifu, ndivyo hivyo sasa alivyoambiwa aseme. Sasa kwa nini wewe unageuza mambo na kutaka aseme yeye YOTE?

      Ibra unasema kuwa injili yoyote haikuanzishwa kwa jina la Mungu. Unapingana na Quran yako ambayo unaamini ni neno la Mungu wa kweli. Je, Mungu wako anaposema kuwa alileta Injili na Zaburi anamaanisha nini? Na kama anamaanisha Injili na Zaburi za kwenye Biblia, hiyo inaonyesha kuwa kanuni yako ya kupima lipi ni neno la Mungu na lipi siyo haina maana. Kanuni yako unataka uone pale mwanzo kumeandikwa “Kwa jina la Mungu ….” Ni nani aliyesema kuwa hiyo ndiyo kanuni ya kupima neno la Mungu? Kama basi kigezo chako si sahihi, hata hoja zako nazo hazina mashiko, maana zimejengwa kwenye msingi usio sawa.

      Delete
    2. Ni vizuri kwamba unasema kuwa Muhammad alikufa kifo cha kawaida, na kwa mantiki yako, hiyo inaonyesha kwamba alikuwa ni nabii wa kweli. Na pia, kwa mantiki yako, unataka kusema kuwa kama Muhammad angekuwa si nabii wa kweli, basi asingekufa kifo cha kawaida. Basi napenda nikutangazie kuwa Muhammad alikufa kwa kunyweshwa sumu. Na kama wewe ni mwaminifu kwa hoja zako, inabidi uachane na Muhammad kuanzia leo. Hebu soma yafuatayo:


      From Bukhari's Hadith 4.394:
      Narrated Abu Huraira: When Khaibar was conquered, a roasted poisoned sheep was presented to the Prophet as a gift (by the Jews). The Prophet ordered, "Let all the Jews who have been here, be assembled before me." The Jews were collected and the Prophet said (to them), "I am going to ask you a question. Will you tell the truth?" They said, "Yes." The Prophet asked, "Who is your father?" They replied, "So-and-so." He said, "You have told a lie; your father is so-and-so." They said, "You are right." He said, "Will you now tell me the truth, if I ask you about something?" They replied, "Yes, O Abu Al-Qasim; and if we should tell a lie, you can realize our lie as you have done regarding our father." On that he asked, "Who are the people of the (Hell) Fire?" They said, "We shall remain in the (Hell) Fire for a short period, and after that you will replace us." The Prophet said, "You may be cursed and humiliated in it! By Allah, we shall never replace you in it." Then he asked, "Will you now tell me the truth if I ask you a question?" They said, "Yes, O Abu Al-Qasim." He asked, "Have you poisoned this sheep?" They said, "Yes." He asked, "What made you do so?" They said, "We wanted to know if you were a liar in which case we would get rid of you, and if you are a prophet then the poison would not harm you."

      Delete
    3. From Ibn Sa'd pages 251, 252:
      ....When the apostle of Allah conquered Khaibar and he had peace of mind, Zaynab Bint al-Harith the brother of Marhab, who was the spouse of Sallam Ibn Mishkam, inquired, "Which part of the goat is liked by Muhammad?" They said, "The foreleg." Then she slaughtered one from her goats and roasted it (the meat). Then she wanted a poison which could not fail. .... The apostle of Allah took the foreleg, a piece of which he put into his mouth. Bishr took another bone and put it into his mouth. When the apostle of Allah ate one morsel of it Bishr ate his and other people also ate from it. Then the apostle of Allah said, "Hold back your hands! because this foreleg; ...informed me that it is poisoned. Thereupon Bishr said, "By Him who has made you great! I discovered it from the morsel I took. Nothing prevented me from emitting it out, but the idea that I did not like to make your food unrelishing. When you had eaten what was in your mouth I did not like to save my life after yours, and I also thought you would not have eaten it if there was something wrong. Bishr did not rise form his seat but his color changed to that of "taylsan" (a green cloth)..........The apostle of Allah sent for Zaynab and said to her, "What induced you to do what you have done?" She replied, "You have done to my people what you have done. You have killed my father, my uncle and my husband, so I said to myself, "If you are a prophet, the foreleg will inform you; and others have said, "If you are a king we will get rid of you.""...... The apostle of Allah lived after this three years till in consequence of his pain he passed away. During his illness he used to say, "I did not cease to find the effect of the (poisoned) morsel, I took at Khaibar and I suffered several times (from its effect) but now I feel the hour has come of the cutting of my jugular vein."
      ……………………………………………….
      From Tabari Volume 8, page 124:
      The messenger of God said during the illness from which he died - the mother of Bishr had come in to visit him - "Umm Bishr, at this very moment I feel my aorta being severed because of the food I ate with your son at Khaybar."
      ……………………………………………
      Kuhusu kifo cha Yesu, hilo si jambo lililotokea kwa bahati mbaya. Ulikuwa ni mpango kamili wa Mungu tangu kuumbwa kwa ulimwengu. Tangu siku Adamu na Hawa walipofukuzwa Edeni, kifo cha Yesu kilitangazwa pale na Mungu. Imeandikwa: Bwana Mungu akamwambia nyoka, Kwa sababu umeyafanya hayo, umelaaniwa wewe kuliko wanyama wote, na kuliko hayawani wote walioko mwituni; kwa tumbo utakwenda, na mavumbi utakula siku zote za maisha yako; nami nitaweka uadui kati yako na huyo mwanamke, na kati ya uzao wako na UZAO WAKE; huo utakuponda kichwa, na wewe utamponda kisigino. (Mwanzo 3:14-15).

      Ni mwanadamu mmoja TU aliye uzao wa mwanamke – YESU KRISTO. Sisi wengine wote ni uzao wa mwanamume na mwanamke. Na manabii wote waliokuja walianza kutabiri kuhusu ujio wa Yesu, kufa kwake na kufufuka kwake.


      Kwa hiyo, huwezi kusema kuwa kufa kwa Yesu kulitokana na kusema uongo juu ya nabii ajaye. Kwanza ni kichekesho, alisemaje uongo kuhusu Muhammad ambaye alikuja miaka 600 baada ya Yesu. Angepinga jambo gani la Muhammad wakati mafunuo ya Muhammad yalikuwa bado hayajashushwa; yalikuwa hayajulikani??

      Delete
    4. Mr.John, Biblia inaposema kweli, tunaikubali kama imesema kweli na pale inaposema uongo tunakubali pia kwamba, biblia imesema uongo. Kwa hilo usiwe na wasiwasi. Mfano mmoja wa uongo wa biblia ni Isaya 23:17. Aya hii, inamtangaza mungu kwamba atakuja kufanya UKAHABA NA FALME ZOTE, huu ni uongo, mungu wa namna hiyo ni feki. Ndugu yangu Biblia ni kitabu cha kutilia mashaka, mfano Biblia ya yerusalemu, kule alikotoka yesu, katika kitabu cha daniel ina sura 14 na nyenginezo zina sura 12. Kuna nini hapa? Wewe kama ukubali, shauri yako lakini ukweli ndio huo kwamba maneno mengi ya biblia ni ya utunzi wa wanadamu.
      Na kuhusu swali lako, nyie wakristo ndio mnasema yesu ni mungu sasa iweje mlinganishe na mussa ambae ni mwanadamu?
      Uzito wa hoja ya pale upo! NDUGU WA WANA WA ISRAELI WALIOBARIKIWA NA MUNGU SIKU ZA NYUMA YA KWAMBA ATAKUWA TAIFA KUU NI HAKINA NANI?
      YESU KAMA SI MWISRAELI ATAKUWA NANI?
      Sasa basi, mungu wetu sisi ni yule ambae yesu alikuwa anammtegemea. ''MUNGU WANGU MUNGU WANGU, MBONA UNANIACHA?''
      Na hiyo biblia yako hiyo, hakuna sehemu waliposema kwamba, YESU, BABA, ROHO MTAKATIFU NI MIUNGU. Hakuna kitu kama hicho, na kikiwepo basi ni fikra za kibinadamu.
      Mr. inafika mahali unaonekana kabisa kwamba mada hii imekushinda, hivi kuna kitabu chochote kilichotolewa na roho mtakatifu, ya kumalizia ujumbe wa mungu kwa wanadamu ambao yesu kausemea?
      Kama hauna, imani yako ni ya bure! Muhammad unamchukia bure yeye ndiyo mfalme wako.
      yesu katika kuhubiri kwake alikuwa anasema na kuagiza wanafunzi wahubiri pia juu ya ufalme wa mbinguni kukaribia.
      QUR'AN TUKUFU NDIO UFALME WA MUNGU. MANENO YOTE YAMETOKA KWA MUNGU. HAKUNA FIKRA YA KIBINADAMU. HUKUMU YA WATU AMBAYO YESU ALLISEMEA IPO HUMO.
      Kuzaliwa na mwanamke tu ni muujiza wa mungu, lakina pia kuna watu hawakuzaliwa na baba wala mama, mi naona huo ndio muujiza wa juu sana.
      Kufa kwa yesu haukuwa mpango wa mungu. Tabia ya wayahudi kuwauwa manabii ulikuwepo tangu zama za kale hata yesu aliwaonya kuhusu hilo. Wapi kwenye kitabu chako, mungu anasema yesu auwawe hili watu wakombolewe katika dhambi zao?
      Kama huna , imani yako ni bure. Labda kwa fikra za kibinadamu.

      Delete
  15. BISHARA YA PILI.
    Katika kumbukumbu la Taurati 33:2-3 imeandikwa hivi, “Bwana alitoka Sinai, akawaondokea kutoka Seiri, akaangaza kutoka kilima cha Parani, na akaja na elfu kumi za watakatifu. Upande wa mkono wake wa kuume palikuwa na sheria ya moto moto kwao. Hakika awapenda hayo makabila ya watu, watakatifu wake wote wamo mkononi mwako, nao waliketi miguuni pako”.
    Hapa pameelezwa maonyesho matatu ya Mwenyezi Mungu.
    Musa alitoka Sinai. Seiri ni alama ya Yesu. Na Mtume Muhammad s.a.w. aliangaza kutoka kilima cha Parani. Wanazuoni wamekubali ya kwamba Parani ni kilima cha Makka (Mu’jamul Buldaan). Biblia inasema. Ismaili “akakaa katika jangwa la Parani” (Mwanzo 21:21)na Mtume Muhammad s.a.w. ni mjukuu wa lsmaili. Mtume s.a.w. alipoondoka Madina kwenda kuiteka Makka alikuwa na masahaba elfu kumi. Katika Biblia ya Kiingereza hesabu
    ya watakatifu hao imetajwa kuwa “ten thousand saints” yaani “watakatifu elfu kumi”, kama tulivyofasiri hapo juu. Lakini katika Biblia ya Kiswahili cha Mvita (Mombasa). Wamefasiri maneno hayo kuwa “Makumi ya elfu”, yaani elfu zile zilikuwa si kumi moja bali makumi mengi, wapate kuwavuruga wasomao Kiswahili wasijue hesabu ya Masahaba watakatifu wa Mtume s.a.w. aliotokea nao Parani katika bishara ya Biblia. lnasikitisha kuona ya kwamba Mapadri hawajatosheka na kiasi hicho cha mageuzi. Katika tafsiri mpya ya Biblia (Union Version) ya mwaka 1952 kifungu hicho cha maneno wamekiandika: “Akaja Meribath kadeshi”, ili wavuruge kabisa bishara hiyo isiweze kufafanuka. Ni ajabu maneno kama Tirshatha (uk. 478), Darkoni (uk. 479) na mengine yameelezwa chini katika kurasa, na mengine yameelezwa mwisho wa kitabu cha Biblia, lakini neno Meribath-kadeshi hawakulieleza chini ya ukurasa ule wala mwisho wa kitabu. Ingawa ni jipya kabisa lakini limefanywa lionekane kama jina la mtu au Malaika au hivi. Wale wanaofikiri ya kwamba Biblia ya Union Version imefasiriwa vizuri sana katika Kiswahili cha kisasa, watasemaje juu ya uaminifu huu wa wafasiri? llikuwaje wanazuoni wakubwa wakubwa wa Kiyunani
    na Kiebrania na Kiswahili kushindwa kufasiri au kueleza neno Meribath-kadeshi? Inaonekana dhahiri ya kwamba dhamiri za mapadri zinawalaumu juu ya tafsiri zao zisizo sahihi, zinazovurugwa
    ili kuficha haki.
    Alama nyingine ni kuleta Sheria. Mtume Muhammad s.a.w. ndiye aliyeleta Sheria baada ya Nabii Musa. Na ile Sheria ilileta joto katika mioyo ya Waislamu, nao wakainuka katika miaka michache. Pia imeitwa “Sheria ya Moto Moto” kwa ajili ya kuunguza maovu, madhambi na mabaya yote. Wale waliojaribu kuipinga 8Kurani wakaangamia wenyewe. Kweli, Kurani ikifuatwa sawa sawa,
    inaweza kuchoma dhambi za watu kama moto unavyochomatakataka. Je hamwoni Waarabu waliokuwa wakinywa ulevi kutwa mara tano waliacha wakawa wanasali kutwa mara tano?
    Mtume alizipenda sana kabila zote. Katika masahaba wake kulikuwa Waarabu wa makabila mbali mbali: Wahabeshi, Waajemi na Warumi, na Mtume s.a.w. aliwapenda wote. Hakuwaita mbwa na nguruwe watu wa mataifa mengine kama alivyowaita Yesu(Mathayo 7:6; 15:26).
    Masahaba wa Mtume s.a.w. pia walimpenda sana. Kwa hakika Mtume s.a.w. alipendwa na masahaba zake zaidi kuliko kila mtu anavyopendwa na wafuasi wake. Katika vita, kama mishale ilipigwa
    kutoka katika kila upande, masahaba walimzunguka Mtume kama kuta ili asipate kujeruhiwa. Hatuwezi kuwalinganisha na wanafunzi wa Yesu waliomtoroka wote wakakimbia na kumwacha Yesu peke yake katika matata (Mathayo 26:56. Marko 14:50).

    ReplyDelete
    Replies
    1. Ibra nawe huachi vituko? Umeacha andiko ulilonukuu unaanza kuongea mambo ambayo hata hayana uhusiano nalo!

      Kumbukumbu la Torati 33:2-3 haiongelei juu ya kuja kwa nabii. Inaongelea kuja kwa BWANA mwenyewe. Yaani bila aibu unasema kuwa BWANA ni Muhammad? Lo!

      Kwa nini nyie ndugu zangu mnabobea kwenye uongo hata ulio wazi namna hii? Au ndito TAKHIYA??

      Yaani hoja zako karibu zote unaanza kwa kuweka msingi wa uongo, kisha unaanza kuijenga kutokea hapo. Ukishaweka msingi wa uongo ukuta unaosimamisha hauna maana yoyote. Unaposema kuwa BWANA hapa ni Muhammad halafu unaanza kusema sijui masahaba, elfu kumi, nk, unapoteza tu wakati na unajidanganya mwenyewe.

      Sasa, hebu nikuulize: Kabla haujafika kwenye mstari wa 2na 3, mstari wa kwanza unasema hivi: Hii ndiyo baraka ya Musa, huyo mtu wa Mungu, aliyowabarikia wana wa Israeli kabla ya kufa kwake. (Kumb. 33:1). Kisha baada ya hapo Musa anaanza kutamka hizo baraka akisema kuwa BWANA alitoka Sinai ... n.k.

      Haya maneno aliyatamka miaka 2000 kabla ya kuzaliwa kwa Muhammad. Je, kama BWANA hapa ni Muhammad, alikuja akitokea wapi ili kwenda kuwabariki wana wa Israeli? Na tangu lini hasa Muhammad akakubali kuwabariki Israeli?

      Ibra, acha kujidanganya ndugu yangu. Apandaye upepo atavuna uharibifu. Be serious, stop investing your life in vanity!!!

      Delete
    2. Mr.John! Kati yangu mimi na wewe nani anaeleta vituko? Kwa mawazo yako wewe, ukisikia bwana atakuja, basi kiwiliwili chake kitaonekana katika hilo eneo lililotajwa? Sivyo! bali, ni ujumbe wa mungu kwa wanadamu kupitia manabii utapokelewa na nabii mwenyewe katika hilo eneo.
      Sasa, kwa kuwa wewe ni mvivu wa kuyaelewa maandiko, ngoja nikutafsirie kama mtoto wa chekechea.
      Bwana alitoka sinai: Katika mlima wa sinai, bwana mungu anampatia Mussa Unabii (ujumbe wa mungu kwa wanadamu); mlima seiri mungu anampatia unabii yesu; na katika mlima parani, mungu anampatia unabii Muhammad (saw). Kwa hiyo, ujumbe wa mungu kwa wanadamu umeshuka katika hiyo milima ambayo Mussa ameongelea. Siyo kuja mungu na kiwiliwili chake!!! watakucheka watu ndugu yangu.
      Halafu, unaposoma hizi commenti jaribu kuwa makini. Sijakwambia Muhammad kuwa Bwana. Nakushauri utoe ushahidi kwa kile unachokijadili kwa maandiko, sio kukaa na kulalamika tu.

      Delete
    3. Asante Ibra kwa hoja zako na pia kwa ushauri wako. Nakubali kuwa makini.

      Najua kuwa bado nina viporo vingi vya hoja zako. Nitajibu hoja hizo ZOTE. Imetokea tu kwamba kwa sasa nimekuwa na majukumu kadhaa ambayo yananifanya nisipate muda wa kutosha kukaa kwenye blog. Lakini nitajibu kila hoja uliyoweka humu.
      Mungu azidi kukubariki.

      Delete
  16. BISHARA YA TATU.
    Katika Wimbo ulio Bora (5:10) mmeandikwa “Mpenzi wangu ni mweupe tena mwekundu - mwekundu. Ndiye mkuu katika elfu kumi” (Biblia ya Kimvita).
    Huyu aliyetajwa hapa na Nabii Suleimani aliyekuwa mkuu katika watu elfu kumi si mwingine bali Mtume Muhammad. Maneno ya mbele ya haya yameeleza sifa zote za mwili wa Mtume s.a.w.
    kama ulivyokuwa.
    BISHARA YA NNE.
    Isaya 28:9-13 kinasema, “Atamfundisha nani maarifa?
    Atamfahamisha nani habari hii? Je! ni wale walioachishwa maziwa, walioondolewa matitini? Kwa maana ni amri juu ya amri, amri juu ya amri, kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni, huku kidogo na huku kidogo. La, bali kwa midomo ya watu wageni, na kwa lugha nyingine atasema na watu hawa; ambao aliwaambia, Hii ndiyo raha yenu, mpeni raha yeye aliyechoka; huku ndiko
    kuburudika; lakini hawakutaka kusikia.
    “Kwa sababu hiyo neno la Bwana kwao litakuwa hivi, amri juu ya amri, amri juu ya amri; kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni; huku kidogo na huku kidogo, ili waende na kuanguka nyuma, na kuvunjwa, na kunaswa, na kuchukuliwa”.
    Walioachishwa maziwa ni wana wa Ismaili ambao
    waliakhirishwa kupata ujumbe wa Mungu. Kurani tukufu iliteremshwa pole pole, amri juu ya amri, kama ielezavyo bishara hiyo. Baadhi ya sura zilishuka Makka na nyingine Madina (Huku
    kidogo na huku kidogo).
    Kurani tukufu iliteremshwa katika lugha ya Kiarabu ambayo ni “Midomo ya watu wageni na lugha nyingine” kwa wana wa Israeli. Mbele imeelezwa ya kwamba Mtume s.a.w. atakimbilia
    Madina kwenye raha, mapumziko na maburudiko, lakini watu wa Makka watazidi kukataa ujumbe wa Uislamu mpaka watashindwa, kuvunjwa na kunaswa, na kuchukuliwa.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Ha ha ha. Acha nicheke kidogo, Ibra. Mimi nadhani hapa sasa unafanya Ze Comedy kabsaaaaa!! hivi, huu ndio msingi ambao juu yake umejenga imani yako na unasema kuwa unaenda mbinguni kwa msingi huu?

      Ukisoma makala yangu yenye kichwa kisemacho: “Juhudi za Kupinga Ukristo za Mwanaharakati wa Kundi la Ahmadiah Kutoka Pakistani Zamfanya Aachane na Uislamu,” unakutana na kijana wa Kiislamu ambaye siku zote alidhani kuwa maneno ya Yesu katika Yohana 14:30: “Mimi sitasema nanyi maneno mengi tena, kwa maana yuaja mkuu wa ulimwengu huu, wala hana kitu kwangu,” maneno “mkuu wa ulimwengu” yanamtaja Muhammad. Kwa hiyo alikuwa akijua kuwa huo ni ushahidi mmojawapo kwamba Muhammad ametajwa kwenye Biblia. Maskini wee, hakujua kuwa maneno hayo yanamtaja ibilisi, shetani.

      Sasa, hiki ndicho unachofanya na wewe Ibra. Nauliza, “Hivi kumbe Muhammad alikuwa mwanamke? Siku zote mimi najua ni mwanamume!!

      Sasa Ibra, usiishie basi kusoma tu mstari wa 10. Hebu anzia wa 9. Imeandikwa hivi: Mpendwa wa namna gani ni mpendwa wako, Wewe uliye mzuri katika wanawake, Mpendwa wa namna gani ni mpendwa wako, Hata wewe utusihi hivyo? Mpendwa wangu ni mweupe, tena mwekundu, Mashuhuri miongoni mwa elfu kumi (Wimbo ulio bora 5:9-10).

      Kazi kwako.

      Delete
    2. Kwa kweli Ibra, nina-appreciate juhudi yako lakini inanisikitisha ambavyo juhudi yote hiyo ni kazi bure hadi hapo ulipofikia. Umewekeza nguvu kubwa sana lakini kwenye UONGO!!

      Hivi, mtu akikwambia: "Nimefanya kila kitu husikii; unataka nife?" Je, hapa anamaanisha anataka afe au hataki kufa? Haihitaji uwe mtaalamu wa lugha kujua kuwa hapa hataki kufa.

      Sasa Mungu anasema: "Atamfahamisha nani habari hii? Je! ni wale walioachishwa maziwa, walioondolewa matitini?" Iweje wewe na waislamu wenzako mtafsiri kwamba anataka kuwafahamisha walioondolewa matitini?

      Hapa nabii anauliza swali linaloonyesha jinsi alivyokerwa na watu wazima ambao hawataki kusikiliza maneno ya Mungu. Kwa maneno mengine anasema, "Ninyi watu wazima hamtaki kusikiliza, je, mnataka Mungu akaongee na watoto wachanga ambao ndio wametoka kuachishwa ziwa?"

      Si kwamba ndio eti anasema anaenda kuongea na hao. Hapana!

      Halafu we Ibra, kukimbilia kwa Muhammad Madina kunahusiana nini na raha ya andiko hili? Andiko linasema: "kwa midomo ya watu wageni, na kwa lugha nyingine atasema na watu hawa; ambao aliwaambia, Hii ndiyo raha yenu, mpeni raha yeye aliyechoka."

      Raha ya hapa inatokana na KUSEMA kwa lugha nyingine. SIO KUKIMBILIA mahali fulani. Kusema na kukimbia ni mambo mbalimbali.

      Unajua Ibra, hoja zako zingekuwa angalau zina mantiki, mtu angejiuliza na kuwaza, "Hivi inaweza kuwa kweli?" Lakini sasa hazina mantiki kabisa.

      Ndugu, jifikirie upya huko unakoelekea!!!!

      Delete
  17. BISHARA YA TANO.
    Katika Isaya 21.13-17 mmeandikwa: “Hili ni neno zito lililo juu ya Arabia. Ninyi mtalala ndani ya msitu wa Arabuni, enyi Wadedani wenye kusafiri pamoja, Wenyeji wa nchi ya Tema walimletea maji yule aliyekuwa na kiu, walimlisha mkate wao yule aliyekimbia. “Kwani walizikimbia hizo panga, huo upanga uliofutwa, na huo uta uliopindwa, na hayo mazito ya vita. Kwani yeye Jehova ameniambia neno hili, katika muda wa mwaka mmoja, kwa kuandama hesabu ya miaka ya mwenye kuajiriwa, huo utukufu wote wa Kedari utabatilika, na hao watakaosalia katika hesabu ya hao wenye kutumia uta, hao Mashujaa wa hao wana wa Kedari, watakuwa ni wachache kwa maana Jehova, yeye Mwenyezi Mungu wa Israeli, amenena neno hili.”
    1. Aya 13 inatabiri juu ya “Hijra” yaani kuhama kwa Mtume Muhammad s.a.w. kutoka Makka hadi Madina. Tukio hili ni mojawapo katika matukio matukufu sana katika historia ya dini ya Kiislamu, maana Kalenda ya Kiislamu huanzia tangu wakati huo.
    Mtume s.a.w. alipotoka Makka kwa amri ya Mwenyezi Mungu na kuhamia Madina ambako alistawi sana na baadaye akiwa na masahaba wake watakatifu elfu kumi alirudi kuingia Makka bila
    kizuizi.
    2. Maneno ya Aya 14 yanaeleza hali ya Mtume s.a.w. aliposafiri kuhamia Madina. Ikumbukwe ya kwamba Tema ndilo jina la nchi ambamo miji ya Makka na Madina yapatikana.
    3. Maelezo ya aya 15, ni juu ya ile hali ya nchi yenye mateso na usumbufu juu ya Mtume s.a.w. ambayo watu wa Makka walimtendea hata maisha yake yakawa katika hatari katika mji huo alimozaliwa. Katika kitabu cha Maisha ya Mtume Muhammad, kilichoandikwa na marehemu Al-Haj F. R. Hakeem uk. 22 imesimuliwa hivi :-“Mwisho saa ilifika. Wakimkuta Mtume s.a.w. akielekea kuwa peke yake kabisa, Wakubwa wa Kikureshi walifanya mkutano katika Dar-un-Nadwa.. ambako mambo ya kiserikali yalifikiriwa na mashauri kukatwa. Walikutana huko na kushauriana jambo gani afanyiwe. Baadhi yao walifikiri afungwe kamba na atupwe katika chumba cha giza na aachwe bila chakula mpaka afe.Wengine walifikiri asafirishwe mbali sana. Lakini, mwishowe Abu Jahli aliwapa mawazo yake ya kwamba vijana wa ukoo mkuu wapewe panga kali, ambao watatumia kwa kumhujumu kwamba wote watamshambulia wakati mmoja ili pasiwe na kabila maalumu la Makureshi la kushtakiwa kwa kuua. Bani Hashim (Kabila la Mtume, s.a.w.) lingeridhika, kwa hivyo kupewa pesa za damu badala ya kuwaadhibu. “Mpango huu ulikubaliwa na watu wote. Baadaye watu walio na silaha walijipanga nje ya nyumba ya Mtume s.a.w. tayari kumuua akitoka nje. Lakini Mwenyezi Mungu alimwepusha na hila zao mbaya na akamwepusha na panga zao zilizokuwa kali.”Hii ndiyo iliyokuwa hali ya mji wa Makka Mtume alipouhama, na hizi hasa ndizo hali zilizotabiriwa na maneno hayo ya Isaya.
    4. Aya 16 yatabiri juu ya vita vya Badr, ambavyo Mtume s.a.w. na wafuasi wake wachache walipigana na kundi kubwa la maadui wa Uislamu mwaka mmoja baada ya Mtume kuhamia Madina. Katika vita hivi vilivyopiganwa karibu na mji wa Madina, Waislamu wachache waliokuwa na silaha haba waliwashinda maadui zao waliokuwa wengi sana tena mahodari wa vita. Hesabu ya Waislamu ilikuwa 313 hali maadui zao walikuwa elfu moja. Lakini kwa kudra ya Mwenyezi Mungu, mwenye uwezo wote, maadui wa Uislamu walishindwa vibaya sana na bishara iliyotajwa hapo juu ikatimia barabara. Pia ikumbukwe ya kwamba Kedar ni jina la mtoto mmoja wa Ismaili ambaye wazao wake waliishi katika sehemu ya Hijaz ulipo mji wa Makka. Wataalamu wa historia wamethibitisha kuwa Makureshi wa Makka (ambao ndio wale waliopeleka jeshi Madina kwenda kuwasaga Waislamu, lakini badala yake wakasagwa wao) walitokana na hao wazao wa Kedar. Na kule kushindwa kwao baada ya mwaka mmoja baada ya Mtume s.a.w. kuhamia Madina kunakamilisha bishara hii ya Isaya bila upungufu wo wote.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Hivi ninyi ndugu zangu waislamu vipi lakini? Unaposoma sura ya 13 hadi 24, Mungu anatamka hukumu juu ya mataifa na maeneo na watu mbalimbali. Katika sura ya 21, aya ya 13 anakuwa amefika kwenye kutamka hukumu juu Arabuni.


      Katika aya ya 13-17 tunaona makundi manne ya watu. Waarabu (mfano, Wakedari) waliofikwa na hukumu, Wadedani (hawa walikuwa wafanyabiashara wakipita Arabuni kwenda hadi Misri), Watemani, na pia lile taifa ambalo lilivamia Arabuni. Na wala aya hizi haziongelei mtu mmoja au mtume.


      Kwenye aya hii ya 13 Mungu anawaambia Wadedani kuwa safari hii hamtaweza kupita maana Arabuni kutakuwa kumevamiwa na taifa lenye nguvu – hakuna amani au usalama tena. Matokeo yake itabidi wao na misafara yao ya ngamia wajifiche porini.
      Aya ya 14 haihusu mtu, inahusu watu. Kwa kuwa Waarabu wanakimbia vita (aya ya 15), Mungu anawaambia wenyeji wa Tema wawakirimu Waarabu hao kwa kuwapa maji na mkate. Hao ni watu wengi waliokimbia vita kwenye miji yao. Na wala hii si vita ya Badr kama mnavyosema ninyi.


      Kwa ujumla, unabii huu ulitimizwa kwenye mwaka 715 KK pale mfalme Sargon II wa Ashuru alipovamia eneo hilo na hata akawachukua waarabu wengi kuwapeleka uhamishoni. Unaweza ku-search kwenye intaneti. Hii ni historia ya kawaida.

      Delete
    2. Na hii ni nyongeza tu kwa faida yako na waislamu wenye nia ya kwenda mbinguni. Unaweza kufanya utafiti juu ya mambo haya wewe mwenyewe. Acheni kubeba kila kitu bila kujua ukweli kamili. Siku zote mimi huwa nasema, hata haya ninayokuambia mimi, usibebe tu bila kutafiti na kupata uhakika.


      Sasa, umetaja juu ya vita vya Badr. Na nyie mnaamini kuwa hivyo vilikuwa ni vita vyenye Baraka za mungu ndani yake. Ni kweli waislamu wachache waliwashinda wapinzani wao waliokuwa wengi. Lakini ndugu, vita hivyo havikuwa na suala la Mungu hata chembe!! Jihoji mwenyewe juu ya haya ambayo yameandikwa kwenye hadithi zenu wenyewe (sin a Biblia au na Wakristo) kisha utaamua mwenyewe kile unachotaka kuamini.


      Ilikuwa ni suala la kusaka mali; utajiri na wala si suala la kutetea uislamu kama mlivyodanganywa na walimu wenu miaka nenda miaka rudi. Mfanyabiashara Abu sufyan alikuwa na msafara wa ngamia ukiwa na mali nyingi; zake na za maquraish wengine. Muhammad alipopata habari, akahimiza watu wake (ambao wewe unawaita masahaba watakatifu?!), kwamba wakaotee msafara huo ili wanyang’anye mali zao. Hilo ndilo lilikuwa lengo.


      1. Tabari VII:29 "Abu Sufyan and the horsemen of the Quraysh were returning from Syria following the coastal road. WHEN ALLAH’S APOSTLE HEARD ABOUT THEM HE CALLED HIS COMPANIONS TOGETHER AND TOLD THEM OF THE WEALTH THEY HAD WITH THEM AND THE FEWNESS OF THEIR NUMBERS. The Muslims set out with no other object than Sufyan and the men with him. They did not think that this raid would be anything other than easy booty."
      2. Ishaq: 289 "Muhammad summoned the Muslims and said, 'This is the Quraysh caravan CONTAINING THEIR PROPERTY. Go out and attack it. PERHAPS ALLAH WILL GIVE IT TO US AS PREY."
      3. Bukhari:V5B59N702 "Allah did not admonish anyone who had not participated in the Ghazwa [raid] of Badr, FOR IN FACT, ALLAH’S APOSTLE HAD ONLY GONE OUT IN SEARCH OF THE QURAYSH CARAVAN SO THAT HE COULD ROB IT. But Allah arranged for the Muslims and their enemy to meet by surprise. I was at the Aqabah pledge with Allah’s Apostle when we gave our lives in submission, but the Badr battle is more popular amongst the people. I was never stronger or wealthier than I was when I followed the Prophet on a Ghazwa.'"
      Hivi unawezaje kumfanya mtu kama huyu kuwa mtume wako, Ibra na ukamkabidhi roho yako na maisha yako ya milele??!!
      ……………………….
      Lakini Abu Sufyan naye alipata taarifa juu ya hila za Muhammad. Akapeleka taarifa kwa wafanyabiashara wenzake kwamba waje watetee mali zao.


      Tabari VII:29 "When Abu Sufyan heard that Muhammad’s Companions were on their way to intercept his caravan, he sent a message to the Quraysh. 'Muhammad is going to intercept our caravan, so protect your merchandise.' When the Quraysh heard this, the people of Mecca hastened to defend their property and protect their men as they were told Muhammad was lying in wait for them."


      Wakati wa vita Muhammad aliwahimiza vijana wake akiwaambia:
      Ishaq:300/Tabari VII:55 "Allah’s Messenger went out to his men and incited them to fight. He promised, 'EVERY MAN MAY KEEP ALL THE BOOTY HE TAKES.' Then Muhammad said, 'By Allah, if any man fights today and is killed fighting aggressively, going forward and not retreating, Allah will cause him to enter Paradise.'"


      Yaani kwamba atakayepigana leo akapona basi mali yote atakayokuwa amepora itakuwa yake!!! Huyu ndiyo mtume wako, Ibra. Lilikuwa ni sula la mali, mali, mali, utajiri, utajiri, utajiri. Si suala la kwenda mbinguni. Hapo mwisho anasema kuwa na kwa yule ambaye atakufa vitani, Allah atamwingiza peponi moja kwa moja. Hata kama ningekuwa mimi nataka upigane vita vyangu, unadhani ningekwambia kitu gani kama nimegundua kwamba wewe ni mtu wa kupenda malipo? Tafakari!!!!

      Delete
  18. 5. Ile aya ya mwisho, yaani 17, inatabiri ushindi wa Mtumes.a.w. juu ya maadui zake katika hivyo vita vilivyotokea mwaka mmoja baada ya Mtume kuhamia Madina.Kwa jumla bishara hii nzima haina uhusiano wo wote na Nabii mwingine ila tu Nabii Muhammad s.a.w. Wala hapana ushahidi wa historia unaoweza kutufanya tuseme ya kwamba pana Mtume mwingine aliyehama mji wake kwa ajili ya maadui zake na kisha akawashinda hao hao baada ya mwaka mmoja. Hayo yote yalitokea kwa Mtume wetu mutukufu Muhammad s.a. w. pekee.
    BISHARA YA SITA.
    Katika Isaya 42:1-17 mmeandikwa maelezo kamili juu yaMtume Muhammad s.a.w. nasi hatuna budi kuyanakili kamaifuatavyo.
    1. Tazama mtumishi wangu nimtegemezaye, mteule wangu. ambaye nafsi yangu imependezwa naye, nimetia roho yangu juu yake, naye atawatolea mataifa hukumu.
    2. Hatalia wala hatapaaza sauti yake, wala kuifanya isikiwe katika njia kuu.
    3. Mwanzi uliopondeka hatauvunja wala utambi utokao moshi hatauzima, atatokeza hukumu kwa kweli.
    4. Yeye hatalegea, wala hatakata tamaa, hata atakapoweka hukumu duniani, na visiwa vitaingojea sheri a yake.
    5. Mungu Bwana anena, yeye aliyeziumba mbingu na
    kuzitanda; yeye aliyetandaza nchi na mazao yake; yeye awapaye pumzi watu walio juu yake; yeye awapaye roho wao waendao ndani yake.
    6. Mimi. BW ANA. nimekuita katika haki, nami nitakushika mkono na kukulinda na kukutoa uwe agano la watu na nuru ya mataifa.
    7. Kuyafunua macho ya vipofu, kuwatoa gerezani
    waliofungwa.
    8. Mimi ni BWANA, ndilo jina langu, na utukufu wangu sitampa mwingine, wala sitawapa sanamu sifa zangu.
    9. Tazama mambo ya kwanza yamekuwa nami nayahubiri mambo mapya, kabla hayajatokea nawapasheni habari zake.
    10. Mwimbieni BWANA wimbo mpya, na sifa zake tokea mwisho wa dunia, ninyi mshukao baharini, na vyote viIivyomo visiwani, nao wakaao humo.
    11. J angwa na miji yake na ipaze sauti zao, vijiji vinavyokaliwa na Kedari; na waimbe wenyeji wa Sela, wapige kelele toka vilele vya milima.
    12. Na wamtukuze BWANA, na kutangaza sifa zake visiwani.
    13. BWANA atatokea kama shujaa, ataamsha wivu kama mtu wa vita, atalia, naam, atanguruma, atawashinda adui zake.
    14. Siku nyingi nimenyamaza kimya, nimetulia. nikajizuia, sasa nitapiga kelele kama mwanamke, aliye katika kuzaa, nitaugua na kutweta pamoja.
    15. Nitaharibu milima na Vilima, nitavikausha vyote vimeavyo, nitaifanya mito ya maji kuwa visiwa, na kuyakausha maziwa ya maji.
    16. Nitawaleta vipofu kwa njia wasiyoijua, katika mapito wasiyoyajua nitawaongoza, nitafanya giza kuwa nuru mbeIe yao, na mahali palipopotoka kuwa pamenyoka. Nitawafanyia haya wala sitawaacha.
    17. Watarudishwa nyuma, wataaibishwa sana, hao
    wanaotumainia sanamu za mawe, na kuziambia sanamu za madini, Ninyi ndinyi miungu yetu.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Ibra ningependa ujiulize na kujijibu maswali yafuatayo:
      Aya ya 1 inaongelea juu ya Mungu kutia roho yake juu ya mtumishi huyo. Isaya huyuhuyu anasema hivi:
      Basi litatoka chipukizi katika shina la Yese, na tawi litakalotoka katika mizizi yake litazaa matunda. Na roho ya Bwana atakaa juu yake, roho ya hekima na ufahamu, roho ya shauri na uweza, roho ya maarifa na ya kumcha Bwana (Isaya 11:1-2).

      Yese ni baba yake Daudi. Yesu anaitwa Mwana wa Daudi. Je, unadhani huyo ambaye roho ya Bwana itakaa juu yake hapa ni Muhammad?

      Pia Isaya bado anasema: Roho ya Bwana MUNGU i juu yangu; kwa sababu Bwana amenitia mafuta niwahubiri wanyenyekevu habari njema; amenituma ili kuwaganga waliovunjika moyo, kuwatangazia mateka uhuru wao, na hao waliofungwa habari za kufunguliwa kwao (Isaya 61:1).

      Na Yesu alipokuja duniani miaka mingi baadaye, siku moja aliingia hekaluni kisha:
      (Luk 4:17) Akapewa CHUO CHA NABII ISAYA, akakifungua chuo, akatafuta mahali palipoandikwa,

      (Luk 4:18) ROHO WA BWANA YU JUU YANGU, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa,

      (Luk 4:19) Na kutangaza mwaka wa Bwana uliokubaliwa.

      (Luk 4:20) Akakifunga chuo, akamrudishia mtumishi, akaketi; na watu wote waliokuwamo katika sinagogi wakamkazia macho.

      (Luk 4:21) Akaanza kuwaambia, LEO MAANDIKO HAYA YAMETIMIA MASIKIONI MWENU.

      Sasa, kama mara zote Isaya anaongelea juu ya roho wa Bwana kuwa juu ya Yesu; na hata Bwana Yesu mwenyewe anathibitisha hilo, hivi mimi nitakuwa sawasawa kweli kuamini tafsiri ya Ibra na waislamu kwamba roho ya Bwana ilikuwa juu ya Muhammad?
      ………………………….
      Aya ya 2 inasema: 2. Hatalia wala hatapaaza sauti yake, wala kuifanya isikiwe katika njia kuu.
      Muhammad kweli asilie wala kupaza sauti yake? Muhammad? Hili wala halihitaji maelezo. Lakini Isaya huyuhuyu anasema hivi:
      (Isa 53:7) Alionewa, lakini alinyenyekea, Wala hakufunua kinywa chake; Kama mwana-kondoo apelekwaye machinjoni, Na kama vile kondoo anyamazavyo Mbele yao wakatao manyoya yake; Naam, hakufunua kinywa chake.

      Una kazi kubwa kumfanya mtu yeyote aamini kuwa anayesemwa hapa ni Muhammad.
      ……………………….
      Aya ya 3 inasema: Mwanzi uliopondeka hatauvunja wala utambi utokao moshi hatauzima, atatokeza hukumu kwa kweli. Hii ni tabia ya mtu mpole, mnyenyekevu, mwenye huruma. Na Muhammad hakuwa kamwe mtu wa aina hiyo. Muhammad alikuwa ni mtu asiye na simile na wale waliokuwa kinyume naye – aliwatesa, aliwateka, aliwapora mali na wake zao akawaoa yeye, na aliwaua.
      ………………………………
      Aya ya 4 inasema: Yeye hatalegea, wala hatakata tamaa, hata atakapoweka hukumu duniani, na visiwa vitaingojea sheri a yake. Bwana Yesu alipingwa na viongozi wa wakati wake ambao waliona kama anahatarisha nafasi zao. Hadi anafika kumwambia Mungu Baba: Mimi nimekutukuza duniani, hali nimeimaliza kazi ile uliyonipa niifanye (Yohana 17:4). Na hata baada ya hapo alitukanwa, alidhihakiwa, aliteswa na kuuawa na watu hao. Lakini alivumilia yote hadi akaikamilisha kazi aliyotumwa na Mungu Baba. Hadi wakati wa kukata roho pale msalabani, anasema, “Imekwisha” (Yohana 19:30).

      Bwana Yesu alimaliza kazi na akaileta sheria ya uzima, amani, furaha na wokovu. Najua unaweza kusema kuwa Muhammad naye alivumilia hadi akaleta sheria. Hiyo ni kweli na si kweli. Muhammad hakuleta sheria alinakili sheria zilezile zilizokuwapo miaka maelfu kabla yake kwenye torati ya Wayahudi, kisha akaongezea na mambo yake mengine.

      Lakini tofauti kati yake na Yesu ni kuwa, Yesu alileta sheria ya uzima ilhali Mohammad alileta sheria ya mauti. Kwa sheria ya Yesu tunasamehewa dhambi na kupokea wokovu bure. Kwa sheria ya Muhammad unapata ukandamizaji, chuki, na mauti kwa yeyote asiyekubali.

      Hata hivyo, Isaya haongelei KAMWE kuhusu Muhammad.

      Hakuna haja ya kuendelea kufafanua mistari inayofuta maana kama msingi haumhusu Muhammad, ukuta wa juu bila shaka hauwezi kumhusu yeye.

      Delete
  19. i. Maelezo yale yaliyo katika bishara hii yanamhusu Mtume Muhammad s.a.w. pekee. Aya ya kwanza tu yasema, “Tazama mtumishi wangu”. Bishara hii inalingana sana na Kalima (Tashahud
    ya Kiislamu) inayosema: Nashuhudia kuwa hapana anayepasa kuabudiwa isipokuwa Mwenyezi Mungu, na nashuhudia ya kuwa Muhammad ni “Mtumishi wake” na “Mtume wake”. Wakristo wanasema Yesu alikuwa mwana wa Mungu au Mungu mwenyewe. Hivyo hawezi kuitwa “Mtumishi” wa Mungu. Huyu Mtumishi wa
    Mungu anayetajwa hapa si mwingine minghairi ya Mtume Muhammad s.a.w.
    ii. Kisha bishara inasema “Mteule Wangu” Ingawa maneno haya ya Isaya yalibashiriwa miaka mingi kabla ya kuzaliwa Mtume Muhammad s.a.w. lakini ajabu moja ni hii kwamba jina jingine la Mtume Muhammad s.a.w. ni "Mustafa" ambalo maana yake ni“Mteule”.
    iii. Bishara inaendelea kusema, “ambaye nafsi yangu imependezwa naye”, na katika Kurani tukufu tunasoma,“Hakukuacha Mola wako wala Hakukasirika” (93:4). Maneno haya ya Mwenyezi Mungu yanathibitisha wazi ya kuwa Mtume s.a.w.
    alipendwa mno na Mola wake.
    iv. lkiendelea mbe!e bishara hii inasema, “Nimetia roho yangu juu yake”. Akitimiza ahadi hii Mwenyezi Mungu anasema katika Kurani tukufu. “Na bila shaka hii (Kurani) ni uteremsho wa Mola
    wa walimwengu. Ameteremka nayo Roho mwaminifu juu ya moyo wako ili uwe miongoni mwa Waonyaji” (26: 193-195). Hii yaonyesha ya kuwa bishara hii yatabiri kuja kwa Mtume Muhammad s.a.w. wala si nabii mwingine.
    v. Kadhalika bishara inasema, “Naye atawatolea mataifa hukumu.” Ikumbukwe ya kuwa Manabii wote waliokuja kabla ya nabii Muhammad s.a.w. walikuwa manabii wa kitaifa, hivyo walipelekwa kwa mataifa yao pekee. Akitilia mkazo juu ya ujumbe wa kitaifa, Yesu aliwaagiza wanafunzi wake akisema, “Katika njia ya Mataifa msiende, wala katika mji wa Wasamaria msiingie, afadhali shikeni njia kuwaendea kondoo waliopotea wa nyumba ya israeli” (Mathayo 10:5). Akizidi kuutetea ujumbe wake wa kitaifa Yesu anasema, “Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba
    ya Israeli” (Mathayo 15:24). Hivyo Yesu hawezi kusemwa kuwa alileta hukumu kwa mataifa. Mtume aliyetolea hukumu mataifa ni Muhammad s.a.w. Yeye tu ndiye aliyetumwa kwa mataifa yote
    duniani. Mwenyezi Mungu anahakikisha ukweli wa jambo hili kwa kusema katika Kurani tukufu: “Hakika Tumekuteremshia Kitabu kwa haki ili upate kuhukumu baina ya watu kama alivyokufahamisha Mwenyezi Mungu” (4.106).
    vi. Tukiendelea mbe!e tunaona bishara inasema. “Yeye hatalegea wala hatakata tamaa hata atakapoweka hukumu duniani,” Ahadi hii pia Mwenyezi Mungu aliitimiza katika dhati ya Mtume Muhammad s.a.w. pekee. Kwani katika Kurani tukufu Mwenyezi Mungu anasema. “Bila shaka tumekupa ushindi ulio dhahiri”, (48.2). Wenye kusoma historia ya dini mbali mbali wanajua
    ya kuwa miongoni mwa manabii wa Mungu wanaojulikana ni Nabii Muhammad s.a.w. peke yake aliyewashinda maadui zake wote katika uhai wake. Kabla hajafariki dunia, nchi nzima ya Arabia
    ilikuwa chini ya uongozi wake. Hivyo tunaona mtumishi wa Mwenyezi Mungu anayetabiriwa hapa si mwengine minghairi ya Mtume Muhammad s.a.w.
    vii. Maneno ya kifungu cha tano ingawa hatukuandika hapo juu, lakini yanahakikisha kuwa bishara hii imetoka kwa Mungu. Aya ya sita katika bishara hii inasema “Mimi BWANA nimekuita
    katika haki, nami nitakushika mkono, na kukulinda na kukutoa uwe agano la watu, na nuru ya mataifa” (Isaya 42.6). Ama sehemu
    hii ni bishara tukufu mno na ambayo muradi wake Mwenyezi Mungu aliutekeleza juu ya Mtume s.a.w. ili kuondoa tashwishi yo yote katika nyoyo za watu. Kuhusu jambo hili Mwenyezi Mungu akamfunulia Mtume wake akisema. “Na Mwenyezi Mungu atakulinda na watu”.
    (5.68).

    ReplyDelete
    Replies
    1. Lakini Ibra, nukuu unazotoa za Quran, anayezungumza humo ni Allah, si Yehova. Allah na Yehova ni wawili tofauti. Huwezi ukachukua aya ya Biblia (ya Yehova) halafu ukaithibitisha kwa maneno ya Allah.

      Kama ukisema, kwa mfano, Muhammad alipendwa mno na Mola wake, hilo ni kweli kabisa. Allah aliagiza Muhammad aue na Muhammad, kwa kweli, alikuwa mwaminifu mno kwa Mola wake. Sasa, kwa nini asipendwe?

      Na kwa yeye kuitwa Mustafa (mteule) ni sahihi kabisa. Hata kama mimi ningekuwa Allah, ningeteua mtu wa aina ya Muhammad kabisa; maana anaendana na kile nitakacho hasa.
      Unasema Yesu hakuwa nabii wa kimataifa bali wa kitaifa. Jambo hili nalo nimeshaliongea nawe kwa kina kabisa. Je, nini maana ya maneno haya ya Yesu?

      Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu; na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari (Mathayo 28:19-20).

      Nami nautoa uhai wangu kwa ajili ya kondoo. Na kondoo wengine ninao, ambao si wa zizi hili; na hao nao imenipasa kuwaleta; na sauti yangu wataisikia; kisha kutakuwako kundi moja na mchungaji mmoja (Joh 10:15-16)

      ………………………
      Unasema Muhammad ni NURU ya mataifa? Hivi anawezaje mtu anayeua, anayechukia, anayeteka, anapanda chuki akawa NURU? Siku zote nyie ndugu zangu mnanishangaza jinsi mnavyotumia maneno. Kama kwa mambo haya, Muhammad ni nuru ya mataifa, je, mtu ambaye angefaa kuitwa GIZA la mataifa, anatakiwa aweje sasa?
      …………………………

      Umesema Mwenyezi Mungu akamfunulia Mtume wake akisema, “Na Mwenyezi Mungu atakulinda na watu” (5.68). Mbona Muhammad alikufa kwa kulishwa sumu na wale ambao walichoshwa na ukandamizaji wake?

      Delete
  20. Na hivyo hasa ndivyo ilivyokuwa, maana kila adui mwasialiyetaka kumdhuru Mtume s.a.w. Mwenyezi Mungu aliuzuia mkono wake usimfikie Mtumishi wake wa haki. Mambo hayo hayawezi kusemwa juu ya Yesu. Wakristo wanasema Yesu alishikwa na
    maadui zake na akauawa juu ya msalaba. Kwa mujibu wa imani hii ya Wakristo inakuwa wazi sana kwamba bishara hii ya Isaya haimhusu Yesu asilani.
    viii. Maneno yaIiyoandikwa katika aya ya 8 ni haya.“Wala sitayapa masanamu sifa zangu”. Muradi wa maneno haya ni huu ya kuwa ibada ya masanamu haikubaliki na Mwenyezi Mungu na ya kwamba hapo atakapofika huyo Mtumishi wa Mungu sifa za miungu ya uwongo (masanamu) zitatoweka kwa njia iliyo bayana zaidi. Na kusema kweli hivi ndivyo ilivyotokea. Alipodhihiri Nabii Muhammad s.a.w. ibada ya masanamu ilikuwa imesitawi sana hususa katika bara Arabu. Katika nyumba ya Mwenyezi
    mungu, Al-Kaaba, mliwekwa masanamu yasiyopungua 360. Lakini Muhammad, Mtumishi wa Mungu, aliyachukia masanamu toka utoto wake. Wala hakupata kuyaabudu hata mara moja. Na wakati
    ulipowadia yeye alifanikiwa katika kuisitawisha dini ya kweli ya Mwenyezi Mungu na akaitakasa tena nyumba ya Mungu kwa kuyavunjilia mbali masanamu yote yaliyokuwemo humo. Na pia kabla hajafariki dunia ibada ya masanamu ilifagiliwa kote Arabuni na watu wote walizama katika kumwabudu Mungu mmoja tu. Ufanisi huu alioupata Muhammad s.a.w. unaonyesha wazi ya kuwa bishara hii ya Isaya inamhusu yeye tu wala si nabii mwinginewe.
    ix. “Mwimbieni BWANA wimbo mpya.” Hapa ufasaha wa Kurani tukufu umetajwa kama wimbo. Kadhalika waandishi wengi wa Ulaya wakivutiwa na mpango wa maneno ya Kurani tukufu,wameiita Mashairi. Na katika maneno haya ya Biblia, Kurani tukufu
    imepewa mfano wa mashairi na kwa kuwa ni ufunuo mpya ndio ukaitwa “Wimbo Mpya”. Hapa ni lazima ifahamike ya kuwa Yesu hakuleta sheria yo yote mpya. Yeye mwenyewe anasema,“Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua Torati au manabii, la, sikuja
    kutangua bali kutimiza” (Mathayo 5.:17). Kwa mujibu wa maneno haya ya Biblia, Yesu hawezi kusema alimwimbia BWANA wimbo mpya, bali alikuja kutimiza sheria ya Musa. Kurani tukufu ndiyo
    Sheria mpya, na ndio wimbo mpya wa BWANA.
    x. Katika maneno haya, “Na waimbe wenyeji wa Sela”, Sela yaashiria kwenye mlima mmoja katika Madina. Neno Sela ni alama nyingine ya kuwa bishara hii inamhusu Mtume Muhammad (s.a.w.)
    pekee.
    xi. Maneno haya, “Ninyi mshukao baharini”, yanaashiria misafara ya wabashiri wa Kiislamu ambao walisafiri katika bahari ili kulieneza Neno la Mungu, Kurani Tukufu, miongoni mwa watu
    wa visiwa na nchi mbali mbali. Ikumbukwe ya kuwa Waislamu walifanya safari nyingi ili kuweza kuihubiri dini ya Mwenyezi Mungu. Ni kweli ya kwamba Wahubiri wa Kristo pia walisafiri ulimwenguni kueneza dini yao. Lakini ipo tofauti iliyoko baina yao na Wabashiri wa Kiislamu. Waislamu walihubiri ili kutekeleza maagizo ya nabii mtukufu, Muhammad s.a.w. ya kuwa ni wajibu wa kila Mwislamu kuitangaza dini, lakini kwa upande wa Wakristo tunaona ya kwamba ni wao wenyewe walioamua kuhubiri duniani kote bila kuamrishwa na Yesu, bali kwa kufanya hivyo wakaasi amri za Yesu. Katika Mathayo (10;5-6). tunasoma, “Hao Thenashara Yesu aliwatuma, akisema. Katika njia ya Mataifa msiende, wala katika mji wo wote wa Wasamaria msiingie”. Kwa mujibu wa maneno haya, ujumbe wa Yesu haukutumwa kwa ajili ya watu wa mataifa yote. Hivyo muradi wa msemo huu, “Ninyi mshukao baharini,” haumhusu Yesu wala wanafunzi wake, bali unaashiria safari za Waislamu kwani wao ndio waliopewa amri ya kuyahubiria mataifa yote ulimwenguni. Nasi tunaona visiwa kama vile Indonesia vikiwa mfano mwema miongoni mwa nchi zile zilizoupokea Uislamu kutokana na wabashiri wa Kiislamu waliofika huko toka Arabu.

    ReplyDelete
  21. xii. Maneno ya aya ya 11 yanasema “Jangwa na miji yake na ipaaze sauti zao, vijiji vinavyokaliwa na Kedari, na wakaao katika
    majabali na waimbe, na wapige kelele kutoka juu ya milima.” Neno hili Kedari lilitotajwa hapa linaashiria ukweli kwamba nabii anayebashiriwa katika bishara hii atakuwa Mwarabu, maana Kedari
    ni jina la mmoja wa wana wa Ismaili walioishi katika jimbo la Hijaz, Arabu. Kwa kuwa Yesu hakuwa Mwarabu bishara hii haimhusu. Bishara hii yamhusu Nabii Muhammad s.a.w. kwa sababu yeye
    ndiye aliyetokana na wazao wa Ismaili walioishi katika Hijaz.
    xiii. Katika Isaya 42:13 tunaambiwa ya kuwa nabii anayebashiriwa atapigana vita na maadui zake na ya kuwa yeye atawashinda wote. Historia inashuhudia ya kuwa nabii Muhammad s.a.w. aliwashinda maadui zake wote. Hivyo bishara hii inatimia katika dhati yake.
    14. Ama maneno ya aya ya 17 katika mfululizo huu
    yanatueleza hali ya wenye kuabudu masanamu pindi
    watakaposhindwa na kuletwa chini ya himaya ya Mungu wa kweli, mwumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo baina yao. Bishara hii pia ilitimia sawa sawa katika dhati ya Mtume Muhammad s.a.w.
    Dini ya Mwenyezi Mungu ilipopata ushindi na maadui wa Waislamu wakaletwa mbele ya Mtume s.a.w., watu hawa walionekana dhalili na walioona haya sana machoni pa wenzi fungwa, kuwatoa wale walioketi gizani katika nyumba ya kufuwao. Yaani masanamu yao hayakuwafanyia cho chote, na mtu yule ambaye hapo mwanzoni walimwita yatima na mnyonge sasa Mwenyezi Mungu akampa ushindi juu yao, nao wamekuwa chini ya mamlaka yake. Ushindi kama huu hakuupata Yesu, hivyo bishara hii haimhusu.
    BISHARA YA SABA.
    Mojawapo ya bishara kubwa inayoashiria kuja kwa Nabii Muhammad s.a.w. ni hii. “Naye atawatwekea bendera mataifa toka mbali, naye atawapigia miunzi tokea mwisho wa nchi. Na tazama watakuja mbio mbio upesi sana. Miongoni mwao hakuna achokaye wala kukwaa; Hakuna asinziaye wala kulala usingizi. Wala mshipi wa viuno vyao hautalegea. Wala ukanda wa viatu vyao hautakatika; Mishale yao ni mikali na pinde zao zote zimepindika. Kwato za farasi zao zitahesabika kama gumegume. na gurudumu zao kama
    kisulisuli. Ngurumo yao itakuwa kama ya simba, watanguruma kama wana-simba. Naam, watanguruma na kukamata mateka,na kuyachukua na kwenda zao salama, wala hakuna mtu atakayeokoka. Nao watanguruma juu yao siku hiyo kama ngurumo ya bahari. Na mtu akiitazama nchi, ataona giza na dhiki, nayo nuru imetiwa giza katika mawingu yake” (Isaya 5:26-30). Maelezo ya bishara hii ni haya ya kwamba wakati utafika ambapo mtu mmoja atainua bendera nje ya Falastina (Palestine).
    Mtu huyu atayaita mataifa ya ulimwengu nao wataitikia wito wake na kumfuata upesi tena kwa wingi. Wale watakaomfuata wataacha uvivu na uzembe na watajitoa wakfu kwa imani yao.
    Watapigana vita na kwato za farasi zao zitatoa moto kama risasi. Watawashambulia maadui zao kwa kasi, mfano wa kisulisuli au kimbunga. Watawashinda maadui zao kwa njia ambayo hakuna
    atakayeweza kuwaokoa. Na watafanya haya yote kwa sababu gani? Kwa sababu wataona dunia imejaa giza ambalo lingeondoka tu kwa kila mmoja wao kujitolea kufa na kupona.Bishara hii nzima inamhusu Mtume Muhammad s.a.w. nayo ilitimia barabara katika dhati yake. Kurani tukufu pia imegusia jambo hili. Nabii Muhammad s.a.w. alidhihiri katika Makka, mbali na Falastina, na akainua bendera yake toka Madina, naye ndiye
    aliyetoa wito huu kwa uIimwengu wote. “Enyi watu, hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu nyote,” (Kurani Tukufu: 7:159).

    ReplyDelete
  22. Ni wito wake huu uliowavuta wake kwa waume kote duniani kama nguvu za umeme. Katika uhai wake Yesu hakumbatiza hata mtummoja nje ya nyumba ya Waisraeli. Vivyo hivyo. wanafunzi wake wote waliishi hatua chache tu kutoka maskani pa Yesu.
    Lakini wafuasi wa Mtume wa Uislamu mwanzoni tu, walitoka sehemu mbali mbali kama vile Yeman, Iran na Uhabeshi. Na miongoni mwa waliosilimu walikuwemo waliokuwa zamani waabuduo masanamu, Mayahudi na hata Wakristo. Waaminio hao, (Mungu awe radhi nao), kwa kufuatia mwito wa Mtume s.a.w. walijitoa wakfu kwa dini yao na wakadumu katika imani katika kila hali hivi kwamba hata maadui wa dini ya Kiislamu wamelazimika
    kuusifu uthabiti na ushupavu wa masahaba hao wa Mtume s.a.w. Akitukumbusha jambo hili Mwenyezi Mungu anasema. “Mwenyezi Mungu amewaridhia nao pia wamemridhia,” (9:100). Wafuasi wa Mtume walilazimika kupigana vita kuilinda dini yao, nao humo vitani wakatumia pinde na mishale. Kwato za farasi wao wepesi zilikuwa kama risasi na gurudumu zao kama kinyamkela. Ukali huu wa
    majeshi ya Waislamu pia umetajwa katika Kurani tukufu. “Naapa kwa (Farasi) wakimbiaji wanaotweta. na kwa wale watoao moto kwa kupiga, tena kwa wale washambuliao wakati wa asubuhi, basi wao wanapeperusha mavumbi, kisha wanaingia ndani ya kundi” (100:2-6). Hizi ndizo sifa za majeshi ya Waislamu na ni ajabu vile zinavyolingana na bishara hiyo ya Isaya tuliyoitaja hapo juu.

    ReplyDelete
  23. BISHARA YA NANE
    Bishara nyingine bayana juu ya kufika kwa Mtume Muhammad s.a.w. imo katika Isaya 62:2. “Nawe utaitwa jina jipya, litakalotajwa na kinywa cha BW ANA”. Ni wazi ya kuwa bishara hii inaashiria
    kufika kwa dini mpya itakayopewa jina na Mungu mwenyewe katika ufunuo wake. Madaktari wa Biblia wamekosea sana kwa kudhani ya kuwa bishara hii inahusu kuundwa kwa Kanisa la Kristo. Wanasahau
    kwamba majina kama “Wakristo” au “ukristo” au majina yale mengine mengi ambayo makundi mbali mbali ya Wakristo wanayatumia, si majina yaliyofunuliwa na Mwenyezi Mungu, bali ni majina waliyojitungia wao wenyewe. Waila bishara hii inasema juu ya jina litakalotoka katika kinywa cha Mungu. Dini ya Kiislamu pekee ndiyo iliyopewa jina “Islamu”, kwa ufunuo wa Mwenyezi
    Mungu, haya yanathibitishwa na Kurani Tukufu inayosema: “Yeye (Mwenyezi Mungu) aliwaiteni Waislamu tangu zamani na katika (Kurani) hii pia” (22.79). Aya hii ya Kurani Tukufu ina uhusiano dhahiri na bishara hiyo ya Isaya.
    Ni kana kwamba Mwenyezi Mungu anasema, “Tulibashiri tangu zamani ya kuwa jina lenu hamtajichagulia ninyi wenyewe bali litatoka Kwetu Sisi. Na leo hii basi tunawaiteni Waislamu.” Jina hili “Islamu” linatokana na neno 'Salm' lililo na maana ya amani.
    Ikumbukwe ya kuwa katika bishara nyingine Nabii Muhammad s.a.w, ameitwa “Mfalme wa amani” (Isaya 9:6). Ama hii ni bishara ya ajabu mno. Kadhalika juu ya ukweli ya kwamba miongoni mwa dini zote ni Waislamu peke yao wanaotangaza ya kuwa wamepewa jina la “Islamu” na Mwenyezi Mungu ndani ya ufunuo wake - Kurani tukufu. Isaya alitabiri kufika kwa nabii ambaye wafuasi wake
    watapewa jina na Mwenyezi Mungu kwa njia ya ufunuo. Nabii huyu ndiye Muhammad s.a.w. na Mwenyezi Mungu kawaita wafuasi wake “Waislamu” na dini yake “Islam”.
    BISHARA YA TISA
    Injili ya Yohana inatuambia ya kwamba Mayahudi walitazamia ufikaji wa Manabii watatu. Waliwatuma watu kumwuliza Yohana Mbatizaji, “Wewe U nani? Naye alikiri wala hakukana, alikiri kwamba mimi siye Kristo. Wakamwuliza ni nani basi? U Eliya wewe? Akasema, Mimi siye. Wewe u nabii yule? akajibu, La,” (1:19-
    21). Kristo, Eliya na Nabii Yule ndio Mitume watatu waliotazamiwa kufika, waliongojewa na Waisraeli. Injili inaeleza ya kwamba Yohana Mbatizaji ndiye Eliya, (Matt.17:10-13, Luka 1: 18), na Kristo ni Yesu. Sasa amebaki mmoja, naye ni Nabii Yule, ambaye si mwingine ila ni Mtume Muhammad s.a.w. maana baada ya Kristo hakuna mtu aliyedai kuwa bishara zake zimo katika Biblia, kisha akafaulu. isipokuwa Mtume Muhammad tu.

    ReplyDelete
  24. BISHARA YA KUMI
    Katika Yohana 14.16 imeandikwa. “Nami nitamwomba Baba naye atawapa Msaidizi Mwingine, ili akae nanyi hata milele”. Tena Yesu alisema, “Hayo ndiyo niliyowambia wakati nilipokuwa nikikaa
    22kwenu. Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa jina langu, atawafundisha yote na kuwakumbusha yale niliyowambia”. (Yohana 14.25,26). Tena Yesu alisema, “Hata bado nikali ninayo mengi ya kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahamili hivi sasa. Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa
    kweli, atawaongoza awaite kwenye kweli yote” (Yohana 16:12-13).
    Wakristo wanasema “Msaidizi Mwingine” aliyeahidiwa kufika katika Injili ya Yohana si Mtume Muhammad, bali ni Roho Mtakatifu.
    Waislamu tunajibu hivi:-
    (i) Kama Msaidizi huyo ni Roho Mtakatifu, Yesu asingesema, “Yawafaa ninyi mimi niondoke, kwa maana mimi nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu,” (Yohana 16:7). Yesu asingesema hivyo kwa sababu huyo Roho Mtakatifu wa
    Wakristo alikuweko duniani siku zote hata kabla ya Yesu kuzaliwa. Yesu alipobatizwa, Roho huyo alimshukia (Math. 3:16). Tena kabla ya kuwaacha wanafunzi wake aliwapulizia, akawaambia, “Pokeeni Roho Mtakatifu” (Yohana 20:22). Ilmuradi
    wanafunzi wa Yesu walikuwa na Roho huyo kabla ya kufa kwa
    Yesu, au tuseme, kabla hajatengana nao.
    (ii) Zile alama zilizobainishwa na Yesu hazipatikani katika Roho Mtakatifu, kama (a) kuwaongoza watu kwenye kweli yote na kuwakumbusha maneno ya Yesu, (b) kumtukuza Yesu (Yohana 16:14).
    Mtume Muhammad s.a.w. ndiye aliyekuja miaka mingi baada ya Yesu akileta sheria yenye amri nyingi za Sheria za zamani, na mengi yaliyo mapya, ili kukamilisha Sheria. Kurani yenyewe inadai kuwa ni Sheria iliyo kamili (sura 5:4.) Tena Mtume s.a.w. alimtukuza Yesu na kumkinga na masingizio yote ya Mayahudi na Wakristo, akamwonyesha kama mtu mwema asiye na dhambi, na pia kuwa hakufa kifo cha laana msalabani.
    Ikiwa Wakristo wangali wanaongozwa na Roho Mtakatifu, mbona basi wanayo makanisa mengi yanayopingana? Je kila kanisa lina Roho Mtakatifu wake? Kisha Roho Mtakatifu wa kila
    kanisa anakuwa adui wa Roho Mtakatifu wa kanisa jingine? Hata watu wa kanisa moja hawachelei kuwaita Wakristo wa kanisa
    jingine “Wapinzani wa Kristo na watu wa Shetani.” Au je, Yesu akitoka mbinguni atakwenda kwa nani na atamuacha nani katika wale ambao wamekwisha pata ubatizo au wanaopewa misa na
    sakramenti nyingine mara kwa mara, lakini wanaitwa na Wakristo wa kanisa jingine “Wapinzani wa Kristo na watu wa Shetani”? Hakika ni hii ya kuwa hawana dalili yo yote ya kuhakikisha kuwa yule Roho wa kweli aliyeahidiwa ni Roho Mtakatifu wanayedhani kuwa wanaye anawaongoza. Ni jambo wasiloweza kuhakikisha;
    yaliyobaki ni madai ya mdomo tu.

    ReplyDelete
  25. BISHARA YA KUMI NA MOJA.
    Katika barua aliyoandika Yuda (Yuda 1: 14-15) tunasoma maneno haya, “Na Henoko, mtu wa saba baada ya Adamu, alitoa maneno ya unabii juu ya hao akisema, angalia, Bwana alikuja na
    Watakatifu wake, maelfu maelfu, ili afanye hukumu juu ya watu wote, na kuwaadhibisha wote wasiomcha Mungu, kwa ajili ya kazi zao zote za upotevu walizotenda bila kumcha Mungu, na kwa ajili ya maneno magumu yote ambayo hao wenye dhambi wasiomcha Mungu wameyanena juu yake”.
    Maneno ya juu yamenakiliwa toka katika tafsiri mpya ya Biblia ya Kiswahili iitwayo “Union Version”. Katika tafsiri hii mpya wameandika "Bwana alikuja na watakatifu wake maelfu maelfu"
    Lakini katika tafsiri za zamani katika Kiswahili, mpaka mwaka 1949 walitafsiri “Elfu kumi za watakatifu wake”. Kila mtu atafahamu ya
    kwamba hayo si tofauti ya maneno tu, bali maana na mradi pia vimegeuzwa. Maana bishara hiyo inabashiri kufika kwa Mtume Muhammad s.a.w. pamoja na watakatifu elfu kumi, na ilitimia wakati Mtume alipoingia Makka na idadi hiyo ya watakatifu. Hakuna Nabii ye yote aliyetimiliwa na bishara hiyo isipokuwa Muhammad s.a.w.
    Ni kwa sababu hiyo mapadre wamependa kubadili maneno hayo 24ili kuwadanganya na kuwavuruga wasomao Kiswahili. Juu ya hayo Injili za Kiingereza bado zina maneno “Ten Thousand of his saints” (Elfu kumi za watakatifu wake).

    ReplyDelete
  26. BISHARA YA KUMI NA MBILI.
    Bishara hii yenye nguvu imo katika Mathayo 21:33-40. Hii ni mojawapo ya methali za Yesu ambamo ndani yake mna utabiri wa kufika Mtume Mtukufu. Bishara yenyewe ni hii:-
    “Kulikuwa na mtu mwenye nyumba naye alipanda shamba la mizabibu, akalizungushia ua, akachimba shimo la shinikizo ndani yake, akajenga mnara akapangisha wakulima akasafiri. Wakati wa matunda ulipokuwa karibu akawatuma watumishi wake kwa wale wakulima, wapokee matunda yake. Wale wakulima wakawakamata watumishi wake, huyu wakampiga na huyu wakamwua, na huyu wakampiga kwa mawe. Akawatuma tena watumishi wengi kuliko wa kwanza, ikawa tena vile vile. Mwisho
    akamtuma mwanawe kwao, akisema watamsitahi mwanangu. “Lakini wale wakulima walipomwona yule mwana, wakasemezana wao kwa wao, Huyu ni mrithi haya na tumwue, tuutwae urithi wake, Wakamkamata wakamtupa nje ya shamba la mizabibu, wakamwua. Basi atakapokuja yule bwana wa shamba
    la mizabibu atawatendaje wale wakulima? Wakamwambia, Atawaangamiza vibaya wale wabaya, na shamba la mizabibu atawapangisha wakulima wengine, watakaomlipa matunda kwa wakati wake. Yesu akawaambia, Hamkupata kusoma katika
    maandiko, Jiwe walilolikataa waashi, hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni. Kwa sababu hiyo nawambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake. naye aangukaye juu ya jiwe hilo atavunjika , na
    yeyote ambaye litamwangukia litamsaga tikitiki. Wakuu wa makuhani na Mafarisayo waliposikia mifano yake, walitambua ya kuwa anawanenea wao. Nao walipotafuta kumkamata, waliwaogopa makutano, kwa maana wao walimwona kuwa nabii.”

    ReplyDelete
  27. Katika methali hii iliyo nzuri Yesu ameeleza historia ya mfululizo wa kuja kwa Mitume. Ni wazi hapa kwamba shamba la mizabibu ndiyo ulimwengu, wakulima maana yake ni walimwengu kwa jumla, matukio ambayo bwana wa shamba alitaka kuvuna ndiyo wema, uaminifu na ucha-Mungu, watumishi ndiyo manabii wa Mungu waliokuja duniani mmoja baada ya mwingine; mwana ndiye Yesu aliyekuja baada ya mfululizo wa manabii wengi. Mwana huyu aliadhibiwa na wakulima. Baada ya kusema mambo haya, Yesu ameendelea kunena juu ya “Jiwe” walilolikataa waashi, hilo limekuwa “jiwe kuu la pembeni.” Jiwe lililokataliwa ndiyo wazao wa Ismaili, waliodharauliwa na wana wa Isihaka. Kulingana na bishara hii ya Yesu, mtu mmoja angekuwa jiwe kuu la pembeni -
    “Muhuri wa Manabii,” katika lugha mashuhuri ya Qur’an tukufu - hangekuwa nabii wa cheo cha chini, bali m’bora wa manabii atakayeleta Sheria ya mwisho na kamili toka kwa Mwenyezi Mungu. Kuinuliwa kwa Nabii toka katika nyumba ya Ismaili lilionekana jambo geni, kwani wengi katika mfululizo wa manabii wa hapo mbele walitoka katika nyumba ya Isihaka (Israel). Lakini Yesu anasisitiza ya kuwa Mwenyezi Mungu ataondoa ufalme wake kutoka nyumba ya Israeli na kuwapa wana wa Ismaili, watakaotoa matunda yake; yaani wana wa Ismaili ndiyo watakaokuwa taifa
    litakalodumisha ucha-Mungu na ibada ya Mwenyezi Mungu duniani. Kila mtu anaweza kuona hapa ya kuwa hapana mtu yeyote aliyedai utume baada ya Yesu, na akafanikiwa, isipokuwa Mtume mtukufu Muhammad s.a.w. Ni yeye ambaye mafundisho
    yake yalihitilafiana na dini ya Mayahudi na akavunja kabisa nguvu za dini hiyo. Ni yeye ambaye taifa lake lilidharauliwa na kuchukiwa.
    Kama tulivyosema hapo mbele, nabii Muhammad s.a.w. ndiye mjumbe wa Mungu wa pekee aliyejaaliwa kushinda maadui zake wote katika uhai wake, hivyo ni yeye tu ambaye ndiye lile jiwe ambalo yeyote aliyeanguka juu yake alivunjika-vunjika na yeyote liliyemwangukia likamsaga tikitiki. Wakristo wamekosea sana
    kwa kudhani Yesu ndiye “Jiwe” linalotajwa hapa. Lakini wanasahau ya kuwa Yesu alikuwa Mwisraeli, hali yeye amesema “Ufalme wa Mungu utaondolewa kutoka kwa Waisraeli na kupewa taifa jingine,”
    yaani Waismaili. Isitoshe, ikiwa jiwe ni Yesu, basi ingefaa kufahamishwa aliwasaga akina nani tikitiki?

    ReplyDelete
  28. This comment has been removed by the author.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Sehemu hii inaonyesha kuna comment nimeifuta hapa. Sijui ilikuwaje, lakini kama unaweza kunitumia tena comment hii, Ibra, nitashukuru.

      Delete
    2. James John kwa nini unabishana na watu wanaofuata kitabu kinachomtukuza shetani?(rejea AYA ZA SHETANI-S.RUSHID).Hata ndugu muhammad apambweje anasubiri Huruma ya yesu.Uislam ni unyama,upagani na ushetani.Angalia nchi za kiislam,eti wanadai uislam ni unyenyekevu,kujisalimisha,Kumbe ni uongo,Dini ya kishetani,Biblia haiwesi kumtabiri mtu aliyeleta upang duniani.Siku ya hukumu wao na ndugu muhammad moto unawasubiri.

      Delete
  29. mhhhhhhhhh.......waislam mmepotea kwel jmn......

    ReplyDelete
  30. hahahah mtume john kakimbia..kashindwa kujibu hoja..ibra was clear winner.i wud like to think john umekua muislam teyar

    ReplyDelete
  31. mr john read gospel of barnabas, and the rest of chapters of isaiah and encyclopedia brittanica and bibile properly to know about prophet muhammad. he is mentioned clearly in original taurat and injeel

    ReplyDelete
    Replies
    1. there is a post in this blog titles INJILI YA BARNABA, BELESHI LINALOCHOTA WAISLAMU NA KUWATUMBUKIZA JEHANAMU. Find it and read it.

      Delete
  32. James. Vizuri sana. James ameishiwa hija hadi kafikiri muhamad ni wa kike aliponukuu wimbo uliobora

    ReplyDelete
  33. Nilimanisha Ibra kachanganyikiwa mno hata hakuelewa wimbo uliobora wamanisha ninu

    ReplyDelete
  34. Haya Mambo ya Imani hayahitaji nguvu au uashawishi Kama siasa yanahitaji fikra za Kiroho zaidi kuliko za Kimwili ,,,Mungu ni Mmoja Mitume ni Wengi ,,,,kazi kwetu Kumwomba Mungu atujuze Yupi ndo wa Mwisho tumfate bila kudharau wote waliokuwemo Kabla

    ReplyDelete
  35. Katika hali ya kawaida ukichunguza maandiko hasa aya hii ya 7:157 unaona kuwa Muhammad aliishusha kwa makusudi ya kuwashawishi wayahudi na wakristo wamuamini na yeye kuwa ni nabii wa kweli wa Mungu, akiwadanganya kuwa watakaomwamini hata walibaki kuwa wakristo basi watamuona Mungu. Lakini ukweli ni kwamba wayahudi na wakristo walimkataa Muhammad kabisa, ndiyo maana alianza kuwaua na kuwalazimisha kuingia kwenye uislamu nguvu, au waliotoa jizya waliachwa waendelee na dini zao, na hii inaonyesha Muhammad alikuwa anatafuta utajiri na ufalme. Kwahiyo aya hiyo hauna maana yoyote zaidi ya girba ya Muhammad kwa wayahudi akitafuta kuungwa mkono na kukubaliwa na wayahudi na wakristo.

    ReplyDelete